Tayari Sabaya amechomoka, kama alipewa maagizo toka juu ujambazi anahusika vipi?

Tayari Sabaya amechomoka, kama alipewa maagizo toka juu ujambazi anahusika vipi?

... ni aibu amiri jeshi Mkuu kutuhumiwa sembuse kutajwa mbele ya vyombo vya sheria kushiriki uhalifu! Ila dhana ya Mel. Ikulu ni mahali patakatifu aliondoka nayo mwenyewe.
Acha upuuzi. JPM alitoa amri ya kudhibiti uhujumu uchumi sio kufanya uporaji pesa.
 
... Pengine asingefanya hivyo. Hoja ya msingi ni KUTUMWA NA RAIS kufanya uhalifu hata kama asingetekeleza.
exactly na hicho ndicho kitamtia matatani..

ina maana ana uwezo wa kufikiria na kutumia akili zake.. kufanya mema au mabaya... na huo uwezo wake binafsi wa kuchambua ndio utaomfunga

kutumwa kwenda fuatilia A na B Arusha hakuna maana kafanye uharifu na ujambazi Arusha.... au kampige Diwani ambaye alikua mbaya wako ambaye itathibitishwa na polisi, hospitali hadi mashahidi 11 alafu wewe uje tu useme simply huyu ana chuki binafsi nami...
 
Kama alitumwa na Rais, lazima kuwe na kumbukumbu somewhere maana ile ni Taasisi

Kama alitumwa na raia mmoja kutokea Chato, then huo utetezi hauna mashiko mahakamani na ofisi ya Rais itamruka tu
 
Kama alituma na Rais, lazima kuwe na kumbukumbu somewhere maana ile ni Taasisi

Kama alitumwa na raia mmoja kutokea Chato, then huo utetezi hauna mashiko mahakamani na ofisi ya Rais itamruka tu
... unamaanisha ofisi ya taasisi ya urais ikapekuliwe kutafuta au kulinganisha ushahidi atakaotoa Sabaya na kilichomo kwenye mafaili Ikulu ama? Mechi ngumu hii.
 
exactly na hicho ndicho kitamtia matatani..

ina maana ana uwezo wa kufikiria na kutumia akili zake.. kufanya mema au mabaya... na huo uwezo wake binafsi wa kuchambua ndio utaomfunga

kutumwa kwenda fuatilia A na B Arusha hakuna maana kafanye uharifu na ujambazi Arusha.... au kampige Diwani ambaye alikua mbaya wako ambaye itathibitishwa na polisi, hospitali hadi mashahidi 11 alafu wewe uje tu useme simply huyu ana chuki binafsi nami...
Whether armed robbery happened?
 
Acha upuuzi. JPM alitoa amri ya kudhibiti uhujumu uchumi sio kufanya uporaji pesa.
Wewe ndiye uliye pewa hiyo order? Aliye pewa order kesha sema aliyo yafanya alitumwa na magufuli sasa wewe karubandika huku mtandaoni na wewe una tuletea porojo zako.
Acha mahaba yako kwa JPM ambaye ametajwa kuhusika na ujambazi .
 
Hili Shauri ni nyeti na maalumu tuiachie Mahakama ifanye maamuzi huru Bila maelekezo na mashinikizo, litakuwa rejea katika masomo ya sheria na utawala.
Hakuna rejea hapo wewe
 
... unamaanisha ofisi ya taasisi ya urais ikapekuliwe kutafuta au kulinganisha ushahidi atakaotoa Sabaya na kilichomo kwenye mafaili Ikulu ama? Mechi ngumu hii.
Naam. Na Rais wa sasa alikuwa Makamu wa Rais. So, na yeye kama vipi aitwe kama shahidi #7
 
Kutumwa ni jambo moja.....unatekelezaje ni jambo lingine.

Hata kama Mamlaka inakuambia kamdhibiti fulani wewe ukienda ukambaka ni kwa kuwa umetumwa na Mamlaka au ni kuwa wewe tayari ni Mbakaji?.

Huenda labda kweli hao Wahanga wana makosa wanayotuhumiwa nayo lakini Sabaya hilo tukio kalitekeleza kijambazi na anastahili aadhibiwe kama Jambazi.
 
Kuna Precedent ,Kutumwa hakukuondolei msala wa kesi ,rejea kesi ya wafanyabiashara wa madini morogoro , mtuhumiwa badeni alikutwa na hatia ya mauaji ila yeye alijitetea kwamba alitumwa na zombe(mkuu wake) ,zombe na yeye akasema hajashika silaha na hajawahi kuua huko msitu wa pande kwahiyo ikala kwa badeni.

Hata kama alitumwa na magufuli ,aliyefanya tukio ni sabaya kwahiyo hakumuondolei msala na hakuna kinga ya kufanya uhalifu maana hakuna aliye juu ya sheria.
Kweli
 
Tujiulize kwa kutumia akili za kawaida tu. Mkuu wa wilaya atoke wilaya nyingine alafu aende kufanya uhalifu wilaya nyingine? Hii ni ngumu.

Kwanini Kenan Kihongosi aliyekuwa mkuu wa wilaya Arusha aliruhusu huu uhalifu?

Kwa nini magari ya serikali yalitumika kufanya uharifu?

Kwa nini Sabaya awachukue aliowapora na kuwapekeleka polisi kama wahalifu?

My take: Ofisi ya Dpp imejaa uozo na kukosa weledi. Maana inapoteza rasilimali za umma kushitaki pasipo busara. Kosa la ujambazi liliingia vipi?

Waliomtuma waunganishwe naye kwenye kesi
 
Back
Top Bottom