Tayari Sabaya amechomoka, kama alipewa maagizo toka juu ujambazi anahusika vipi?

Tayari Sabaya amechomoka, kama alipewa maagizo toka juu ujambazi anahusika vipi?

Wewe nakujua una chuki na hayati JPM. Jambazi gani atumie gari la serikali na kuwapeleka aliowapora polisi?
Justification ya kuwa ni gari la serikali ni plate number pekee na ambayo ni kibao tu kinachoweza kutolewa na kikawekwa kingine na gari husika ikasomeka tofauti. So mtu mwenye nia ovu anabadilisha tu,sidhan inaweza kumbeba kwa lolote. Lenye kufikirisha hapo ni issue ya kutekeleza jambo kinyume cha sheria lkn mwishoni anavihusisha vyombo vya kisheria km jeshi la polis.
Kwan case ni yeye kufanya ujambaz,how comes aliwapeleka polis na polis wakarespond positively...anyway ndiyo maana watu wameaminiwa kuwa majaji na mahakimu,tuvute subira na tuwe na imani kuwa haki itatendeka na kuonekana imetendeka!
 
Tujiulize kwa kutumia akili za kawaida tu. Mkuu wa wilaya atoke wilaya nyingine alafu aende kufanya uhalifu wilaya nyingine? Hii ni ngumu.

Kwanini Kenan Kihongosi aliyekuwa mkuu wa wilaya Arusha aliruhusu huu uhalifu?

Kwa nini magari ya serikali yalitumika kufanya uharifu?

Kwa nini Sabaya awachukue aliowapora na kuwapekeleka polisi kama wahalifu?

My take: Ofisi ya Dpp imejaa uozo na kukosa weledi. Maana inapoteza rasilimali za umma kushitaki pasipo busara. Kosa la ujambazi liliingia vipi?
Huna akili wewe na jambazi mwenzako Sabaya.

Sasa nakutuma kamlale mamaako kwa mamlaka nilopewa
 
Tujiulize kwa kutumia akili za kawaida tu. Mkuu wa wilaya atoke wilaya nyingine alafu aende kufanya uhalifu wilaya nyingine? Hii ni ngumu.

Kwanini Kenan Kihongosi aliyekuwa mkuu wa wilaya Arusha aliruhusu huu uhalifu?

Kwa nini magari ya serikali yalitumika kufanya uharifu?

Kwa nini Sabaya awachukue aliowapora na kuwapekeleka polisi kama wahalifu?

My take: Ofisi ya Dpp imejaa uozo na kukosa weledi. Maana inapoteza rasilimali za umma kushitaki pasipo busara. Kosa la ujambazi liliingia vipi?
Roho inakupwerepweta Jambazi kushitakiwa?
Utaumia zaidi pale atakapoolewa na Nyapara yenye miraba 4.

By the way utetezi wake haujakaa kisheria na atatiwa nyavuni ili wajivuni kama ninyi mjue kuwa Karma is a bitch!
 
Roho inakupwerepweta Jambazi kushitakiwa?
Utaumia zaidi pale atakapoolewa na Nyapara yenye miraba 4.

By the way utetezi wake haujakaa kisheria na atatiwa nyavuni ili wajivuni kama ninyi mjue kuwa Karma is a bitch!
🖕
 
Justification ya kuwa ni gari la serikali ni plate number pekee na ambayo ni kibao tu kinachoweza kutolewa na kikawekwa kingine na gari husika ikasomeka tofauti. So mtu mwenye nia ovu anabadilisha tu,sidhan inaweza kumbeba kwa lolote. Lenye kufikirisha hapo ni issue ya kutekeleza jambo kinyume cha sheria lkn mwishoni anavihusisha vyombo vya kisheria km jeshi la polis.
Kwan case ni yeye kufanya ujambaz,how comes aliwapeleka polis na polis wakarespond positively...anyway ndiyo maana watu wameaminiwa kuwa majaji na mahakimu,tuvute subira na tuwe na imani kuwa haki itatendeka na kuonekana imetendeka!
Prosecution walipinga kuwa sio gari la serikali lilitumika?

Tulia upate ukweli soon kuwa Sabaya hahusiki na armed robbery.
 
Prosecution walipinga kuwa sio gari la serikali lilitumika?

Tulia upate ukweli soon kuwa Sabaya hahusiki na armed robbery.
Kusema hahusik labda ithibitike kuwa siyo armed robery,lkn keshakir alihusika kwene tukio. Swali linabak kuwa hiyo armed robery aliicomit kihalali au??? Mmhh! Cjui halal ya kutumwa kuvunja sheria itakubalika?....man lets wait!
 
Hii ngoma ni ngumu kwa kijana mwenzetu Sabaya ila tuheshimu watu aiseee ya kesho hatuyajuwi. Leo Sabaya jeuri yote imemuishia.
 
Tujiulize kwa kutumia akili za kawaida tu. Mkuu wa wilaya atoke wilaya nyingine alafu aende kufanya uhalifu wilaya nyingine? Hii ni ngumu.

Kwanini Kenan Kihongosi aliyekuwa mkuu wa wilaya Arusha aliruhusu huu uhalifu?

Kwa nini magari ya serikali yalitumika kufanya uharifu?

Kwa nini Sabaya awachukue aliowapora na kuwapekeleka polisi kama wahalifu?

My take: Ofisi ya Dpp imejaa uozo na kukosa weledi. Maana inapoteza rasilimali za umma kushitaki pasipo busara. Kosa la ujambazi liliingia vipi?
Hakuna kuchomoka hapo amekubali kutenda uhalifu, swali fikikirishi je mamlaka ya uteuzi inaweza mtuma kwenda kufanya uhalifu?
 
Tujiulize kwa kutumia akili za kawaida tu. Mkuu wa wilaya atoke wilaya nyingine alafu aende kufanya uhalifu wilaya nyingine? Hii ni ngumu.

Kwanini Kenan Kihongosi aliyekuwa mkuu wa wilaya Arusha aliruhusu huu uhalifu?

Kwa nini magari ya serikali yalitumika kufanya uharifu?

Kwa nini Sabaya awachukue aliowapora na kuwapekeleka polisi kama wahalifu?

My take: Ofisi ya Dpp imejaa uozo na kukosa weledi. Maana inapoteza rasilimali za umma kushitaki pasipo busara. Kosa la ujambazi liliingia vipi?
Christopher bageni yupo jela. Anasubir kunyongwa mpaka kufa! Aliyemtuma kuwauwa wafanyabiashara wale wa mahenge alikuwa Abdalla zombe. Leo zombe yupo huru bageni yupo wapi? Kwann hawajamuachia bageni kwakuwa alipokea amri kutoka juu?
Muwe mnasoma kabla ya kuandika
 
Christopher bageni yupo jela. Anasubir kunyongwa mpaka kufa! Aliyemtuma kuwauwa wafanyabiashara wale wa mahenge alikuwa Abdalla zombe. Leo zombe yupo huru bageni yupo wapi? Kwann hawajamuachia bageni kwakuwa alipokea amri kutoka juu?
Muwe mnasoma kabla ya kuandika
Christopher bageni yupo jela. Anasubir kunyongwa mpaka kufa! Aliyemtuma kuwauwa wafanyabiashara wale wa mahenge alikuwa Abdalla zombe. Leo zombe yupo huru bageni yupo wapi? Kwann hawajamuachia bageni kwakuwa alipokea amri kutoka juu?
Muwe mnasoma kabla ya kuandika
Unauhakika Zombe alimtuma mtu kufyatua risasi? Unafahamu historia ya kesi ya Zombe mpaka akachomoka? Kasome section 23 ya Penal code cap 16 R.e 2019.
 
Mahakama inahitaji ushahidi tu. Siyo maneno ya niambiwa hivi na fulani. Kam atamleta JPM mahakamani kuthibitisha alichokisema, sawa. Na athibitishe kuwa alimtuma kunyang'anya watu pesa na kuwatesa pia. Na aimbie mahakama ni sheria gani inampa uwezo huo.
Tujiulize kwa kutumia akili za kawaida tu. Mkuu wa wilaya atoke wilaya nyingine alafu aende kufanya uhalifu wilaya nyingine? Hii ni ngumu.

Kwanini Kenan Kihongosi aliyekuwa mkuu wa wilaya Arusha aliruhusu huu uhalifu?

Kwa nini magari ya serikali yalitumika kufanya uharifu?

Kwa nini Sabaya awachukue aliowapora na kuwapekeleka polisi kama wahalifu?

My take: Ofisi ya Dpp imejaa uozo na kukosa weledi. Maana inapoteza rasilimali za umma kushitaki pasipo busara. Kosa la ujambazi liliingia vipi?
 
Hii kesi itamhukumu tu jela lazima aende kwa maana kama alitumwa kweli kuna mlolongo wa watu ambao itawagusa kuanzia ofisi ya rais hadi wizara ya ulinzi
 
Mahakama inahitaji ushahidi tu. Siyo maneno ya niambiwa hivi na fulani. Kam atamleta JPM mahakamani kuthibitisha alichokisema, sawa. Na athibitishe kuwa alimtuma kunyang'anya watu pesa na kuwatesa pia. Na aimbie mahakama ni sheria gani inampa uwezo huo.
Punguani na popoma kama wewe unajua nini?
 
Armed robbery huwa inafanyika vipi? Kwani mtu akifa na ofisi huwa inakufa?

..Sabaya hajalenga kukwepa hukumu, amelenga kupata "shushi" ikiwa atahukumiwa, na kupewa msamaha wa raisi.

..hoja itakuwa kwamba Sabaya alikuwa anatumwa kwenye " operesheni maalum " na vijana wanaotumwa ktk shughuli hizo huwa wanalindwa.

..hoja nyingine itakuwa ni kwamba kumfunga Sabaya kutawavunja nguvu na kupunguza utii wa vijana wanaotumwa kufanya " operesheni maalum. "
 
..Sabaya hajalenga kukwepa hukumu, amelenga kupata "shushi" ikiwa atahukumiwa, na kupewa msamaha wa raisi.

..hoja itakuwa kwamba Sabaya alikuwa anatumwa kwenye " operesheni maalum " na vijana wanaotumwa ktk shughuli hizo huwa wanalindwa.

..hoja nyingine itakuwa ni kwamba kumfunga Sabaya kutawavunja nguvu na kupunguza utii wa vijana wanaotumwa kufanya " operesheni maalum. "
Did armed robbery happen?
 
Did armed robbery happen?

..may be it happened or it did not happen.

..it is up to sabaya to tell the court that weapons were not involved during the entire "operation."

..it is also sabaya's responsibility to dispute that there was money and items stolen or taken forcefully from the victims / the ppl he was sent / ordered to arrest.

..tatizo wanaomshtaki wana PF3 forms na ushahidi wa madaktari kuwa waliumizwa. Sasa walipigwa na kitu gani? Je, walinyang'anywa vitu vyao?
 
Tujiulize kwa kutumia akili za kawaida tu. Mkuu wa wilaya atoke wilaya nyingine alafu aende kufanya uhalifu wilaya nyingine? Hii ni ngumu.

Kwanini Kenan Kihongosi aliyekuwa mkuu wa wilaya Arusha aliruhusu huu uhalifu?

Kwa nini magari ya serikali yalitumika kufanya uharifu?

Kwa nini Sabaya awachukue aliowapora na kuwapekeleka polisi kama wahalifu?

My take: Ofisi ya Dpp imejaa uozo na kukosa weledi. Maana inapoteza rasilimali za umma kushitaki pasipo busara. Kosa la ujambazi liliingia vipi?
Kitendo cha kutoa tu Siri kimeichafua taasisi ya boss wake hata kama walikuwa na nia ya kumchomoa wataacha.
Ashapotea huyo tafuta Kazi nyingine ndugu,kama ajakulipa mshahara wako samehe tu.
 
Back
Top Bottom