Kwa hio katumwa na ofisi kufanya uhalifuArmed robbery huwa inafanyika vipi? Kwani mtu akifa na ofisi huwa inakufa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hio katumwa na ofisi kufanya uhalifuArmed robbery huwa inafanyika vipi? Kwani mtu akifa na ofisi huwa inakufa?
Kuna ushahidi wowote kuwa ni kweli alitumwa?Tujiulize kwa kutumia akili za kawaida tu. Mkuu wa wilaya atoke wilaya nyingine alafu aende kufanya uhalifu wilaya nyingine? Hii ni ngumu.
Kwanini Kenan Kihongosi aliyekuwa mkuu wa wilaya Arusha aliruhusu huu uhalifu?
Kwa nini magari ya serikali yalitumika kufanya uharifu?
Kwa nini Sabaya awachukue aliowapora na kuwapekeleka polisi kama wahalifu?
My take: Ofisi ya Dpp imejaa uozo na kukosa weledi. Maana inapoteza rasilimali za umma kushitaki pasipo busara. Kosa la ujambazi liliingia vipi?
Bro unahaha sana na Sabaya..!!Tujiulize kwa kutumia akili za kawaida tu. Mkuu wa wilaya atoke wilaya nyingine alafu aende kufanya uhalifu wilaya nyingine? Hii ni ngumu.
Kwanini Kenan Kihongosi aliyekuwa mkuu wa wilaya Arusha aliruhusu huu uhalifu?
Kwa nini magari ya serikali yalitumika kufanya uharifu?
Kwa nini Sabaya awachukue aliowapora na kuwapekeleka polisi kama wahalifu?
My take: Ofisi ya Dpp imejaa uozo na kukosa weledi. Maana inapoteza rasilimali za umma kushitaki pasipo busara. Kosa la ujambazi liliingia vipi?
Alifata sheria inavyosema Au alitumia utashi binafsi?!Acha upuuzi. JPM alitoa amri ya kudhibiti uhujumu uchumi sio kufanya uporaji pesa.
Alitoa chozi kuliko hata mama Janet.🤣🤣🤣Kumbe ndo maana alilia kama mjane jiwe alipovuta....
Magu alikuwa kiongozi muovu na wengi hilo wanalijua. Anachofanya Sabaya ni kupigia mstari jibu kwa kile kinachofahamika. Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule mtu muovu bila damu kumwagika.Tujiulize kwa kutumia akili za kawaida tu. Mkuu wa wilaya atoke wilaya nyingine alafu aende kufanya uhalifu wilaya nyingine? Hii ni ngumu.
Kwanini Kenan Kihongosi aliyekuwa mkuu wa wilaya Arusha aliruhusu huu uhalifu?
Kwa nini magari ya serikali yalitumika kufanya uharifu?
Kwa nini Sabaya awachukue aliowapora na kuwapekeleka polisi kama wahalifu?
My take: Ofisi ya Dpp imejaa uozo na kukosa weledi. Maana inapoteza rasilimali za umma kushitaki pasipo busara. Kosa la ujambazi liliingia vipi?
Kabisa mke wangu. Amri zote chafu hizi alikuwa anatoa Magu maana katiba yetu ni mbovu.MwarubIni wa haya yote ni katiba mpya
Hii katiba ilitutengenezes mtawala aliyegeuka kuwa monster.Kabisa mke wangu. Amri zote chafu hizi alikuwa anatoa Magu maana katiba yetu ni mbovu.
Exactly.Hii katiba ilitutengenezes mtawala aliyegeuka kuwa monster.
Dada ile zawadi yako bado ipo palepale kw sababu nilikuahidi. ..ni inbox tuone utaipatajeMwarubIni wa haya yote ni katiba mpya
Hii katiba ilitutengenezes mtawala aliyegeuka kuwa monster.
Ilitutengenezea mtetezi wa wanyonge. .uliza watanzania utaambiwa majibu yakeHii katiba ilitutengenezes mtawala aliyegeuka kuwa monster.
😂😂😂😂 Aliye wachapa bakora wanaotoa ajira kwa wanyonge.Ilitutengenezea mtetezi wa wanyonge. .uliza watanzania utaambiwa majibu yake
Haya jiandae mumeo atakuwa huru soonTujiulize kwa kutumia akili za kawaida tu. Mkuu wa wilaya atoke wilaya nyingine alafu aende kufanya uhalifu wilaya nyingine? Hii ni ngumu.
Kwanini Kenan Kihongosi aliyekuwa mkuu wa wilaya Arusha aliruhusu huu uhalifu?
Kwa nini magari ya serikali yalitumika kufanya uharifu?
Kwa nini Sabaya awachukue aliowapora na kuwapekeleka polisi kama wahalifu?
My take: Ofisi ya Dpp imejaa uozo na kukosa weledi. Maana inapoteza rasilimali za umma kushitaki pasipo busara. Kosa la ujambazi liliingia vipi?
Hahaha ndio nini sasa mbona watu wote wana makalio hata wewe?Makalio ya baba yako na mama yako
Hahaha ndio nini sasa mbona watu wote wana makalio hata wewe?Makalio ya baba yako na mama yako
Kuna ubaya umepangwa kuchafua jina na heshima ya magufuli. Vinginevyo wala hii kesi isingekuepo. Kilichojitokeza sabaya alikua anafanya kazi maalum alizokua anatumwa na mteule wake.Tujiulize kwa kutumia akili za kawaida tu. Mkuu wa wilaya atoke wilaya nyingine alafu aende kufanya uhalifu wilaya nyingine? Hii ni ngumu.
Kwanini Kenan Kihongosi aliyekuwa mkuu wa wilaya Arusha aliruhusu huu uhalifu?
Kwa nini magari ya serikali yalitumika kufanya uharifu?
Kwa nini Sabaya awachukue aliowapora na kuwapekeleka polisi kama wahalifu?
My take: Ofisi ya Dpp imejaa uozo na kukosa weledi. Maana inapoteza rasilimali za umma kushitaki pasipo busara. Kosa la ujambazi liliingia vipi?
Sabaya bor...o limeingia bila kilainishi,ameisaidia mahakama kumhukumu kwa kukubali alikua jambazi sugu,ndio mana mnaambiwa kila siku kasomeni muwe na akili plus maarifaTujiulize kwa kutumia akili za kawaida tu. Mkuu wa wilaya atoke wilaya nyingine alafu aende kufanya uhalifu wilaya nyingine? Hii ni ngumu.
Kwanini Kenan Kihongosi aliyekuwa mkuu wa wilaya Arusha aliruhusu huu uhalifu?
Kwa nini magari ya serikali yalitumika kufanya uharifu?
Kwa nini Sabaya awachukue aliowapora na kuwapekeleka polisi kama wahalifu?
My take: Ofisi ya Dpp imejaa uozo na kukosa weledi. Maana inapoteza rasilimali za umma kushitaki pasipo busara. Kosa la ujambazi liliingia vipi?
Kwa bahati mbaya sana kauli alizotoa Sabaya mahakamani kama utetezi huo ndio ukweli halisi. Kwa bahati mbaya sana kuna visa vingi kama hivi havijaripotiwa wala kuibuliwa iwe na wahusika au waathirika
Hadithi ya kutekwa kwa Mohamed Dewji bado ni fumbo na naamini "MAMLAKA" ya sasa ikimruhusu au ikimtaka aseme ukweli mtupu kwa yale yaliyotokea Watanzania tunaweza kujiuliza kulikua na mtu wa aina gani pale jumba jeupe
Yaliyotokea pale Mawingu Radio katika sakata lililowahusisha Nape, Paul Christian na Ruge na staff wake pengine hatutajua ukweli wote lakini kwa wakati ule ushahidi wa mazingira ulijionyesha wazi nani alikua nyuma ya maagizo yale. Aliyeunda tume ya kuchunguza uhalifu ule akapokonywa wadhiwa wake with immediate effect huku akinusurika kutekwa baada ya jaribio la kufanya hivyo kuonekana public! The culprit aliyetakiwa kuchunguzwa ndio akawa anatamba kwenye vyombo vya habari vya umma huku MAMLAKA yake ya uteuzi ikimpa support
Mimi hapa tu:Usia wangu kwa wateule wa "MAMLAKA": OBEY LAWFUL ORDERS FROM LAWFUL AUTHORITY
Unajua nyinyi mmevurugwa sijui hamuelewi. .hakuna tatizo la Sabaya kutumwa na mteuzi wake....I Sabaya ameeleza wazi kabisa mambo aliyokuwa akielekezwa afanye. .na inaonekana wazi kabisa wale wafanya biashara walikuwa wakwepa ķodi na taarifa ilikuwa inamfikia mkubwa mezani kwake. ..ilimbidi kufuatilia kwa kumuagiza Sabaya. Sabaya amesema wziwaz kwamba hajafanya uhalifu huo uliotungwa na wanasiasa. .it's very clear..msitake hapa kumuunganisha mtetezi wa wanyonge JPM na mambo yenu ya kutunga. ..hamtaweza kamwe. .lipeni kodi Bila shuruti Msi take advantage ya JPM kutokuwepoMimi hapa tu:
If this is the case, it means Sabaya OBEYED UNLAWFUL ORDER but FROM LAWFUL AUTHORITY...
Sasa tujiulize maswali mawili ya msingi;
1. Je, kuna sheria hapa Tanzania inayoweza kutumiwa na hakimu/mahakama kumpa nafuu mtu aliyetenda jinai kwa kutumwa na mamlaka iliyo halali kisheria...?
2. Kama hiyo mamlaka halali kisheria (lawful authority) ilikuwa ni lazima itende jinai hiyo, kwanini inamkana mtu iliyomtuma kuitenda hiyo jinai...?
NOTE: Binafsi akili yangu inakataa kabisa kukubali na kuamini kama mamlaka ya Urais ilimtuma huyu bwana kufanya ujinga huu kwa sababu ziwazo zozote..
Na kama ilimtuma, basi ina maana moja tu, kuwa, huyu Sabaya na mamlaka hiyo (ya Urais wa Magufuli) ni wahalifu (criminals) na wanastahili kuadhibiwa na sheria za nchi...
Bahati njema, shina lilishakula adhabu yake. Yamebaki matawi....