Tayari Sabaya amechomoka, kama alipewa maagizo toka juu ujambazi anahusika vipi?

Tayari Sabaya amechomoka, kama alipewa maagizo toka juu ujambazi anahusika vipi?

Tujiulize kwa kutumia akili za kawaida tu. Mkuu wa wilaya atoke wilaya nyingine alafu aende kufanya uhalifu wilaya nyingine? Hii ni ngumu.

Kwanini Kenan Kihongosi aliyekuwa mkuu wa wilaya Arusha aliruhusu huu uhalifu?

Kwa nini magari ya serikali yalitumika kufanya uharifu?

Kwa nini Sabaya awachukue aliowapora na kuwapekeleka polisi kama wahalifu?

My take: Ofisi ya Dpp imejaa uozo na kukosa weledi. Maana inapoteza rasilimali za umma kushitaki pasipo busara. Kosa la ujambazi liliingia vipi?
Kuna ushahidi wowote kuwa ni kweli alitumwa?
 
Tujiulize kwa kutumia akili za kawaida tu. Mkuu wa wilaya atoke wilaya nyingine alafu aende kufanya uhalifu wilaya nyingine? Hii ni ngumu.

Kwanini Kenan Kihongosi aliyekuwa mkuu wa wilaya Arusha aliruhusu huu uhalifu?

Kwa nini magari ya serikali yalitumika kufanya uharifu?

Kwa nini Sabaya awachukue aliowapora na kuwapekeleka polisi kama wahalifu?

My take: Ofisi ya Dpp imejaa uozo na kukosa weledi. Maana inapoteza rasilimali za umma kushitaki pasipo busara. Kosa la ujambazi liliingia vipi?
Bro unahaha sana na Sabaya..!!
 
Tujiulize kwa kutumia akili za kawaida tu. Mkuu wa wilaya atoke wilaya nyingine alafu aende kufanya uhalifu wilaya nyingine? Hii ni ngumu.

Kwanini Kenan Kihongosi aliyekuwa mkuu wa wilaya Arusha aliruhusu huu uhalifu?

Kwa nini magari ya serikali yalitumika kufanya uharifu?

Kwa nini Sabaya awachukue aliowapora na kuwapekeleka polisi kama wahalifu?

My take: Ofisi ya Dpp imejaa uozo na kukosa weledi. Maana inapoteza rasilimali za umma kushitaki pasipo busara. Kosa la ujambazi liliingia vipi?
Magu alikuwa kiongozi muovu na wengi hilo wanalijua. Anachofanya Sabaya ni kupigia mstari jibu kwa kile kinachofahamika. Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule mtu muovu bila damu kumwagika.
 
Tujiulize kwa kutumia akili za kawaida tu. Mkuu wa wilaya atoke wilaya nyingine alafu aende kufanya uhalifu wilaya nyingine? Hii ni ngumu.

Kwanini Kenan Kihongosi aliyekuwa mkuu wa wilaya Arusha aliruhusu huu uhalifu?

Kwa nini magari ya serikali yalitumika kufanya uharifu?

Kwa nini Sabaya awachukue aliowapora na kuwapekeleka polisi kama wahalifu?

My take: Ofisi ya Dpp imejaa uozo na kukosa weledi. Maana inapoteza rasilimali za umma kushitaki pasipo busara. Kosa la ujambazi liliingia vipi?
Haya jiandae mumeo atakuwa huru soon
 
Tujiulize kwa kutumia akili za kawaida tu. Mkuu wa wilaya atoke wilaya nyingine alafu aende kufanya uhalifu wilaya nyingine? Hii ni ngumu.

Kwanini Kenan Kihongosi aliyekuwa mkuu wa wilaya Arusha aliruhusu huu uhalifu?

Kwa nini magari ya serikali yalitumika kufanya uharifu?

Kwa nini Sabaya awachukue aliowapora na kuwapekeleka polisi kama wahalifu?

My take: Ofisi ya Dpp imejaa uozo na kukosa weledi. Maana inapoteza rasilimali za umma kushitaki pasipo busara. Kosa la ujambazi liliingia vipi?
Kuna ubaya umepangwa kuchafua jina na heshima ya magufuli. Vinginevyo wala hii kesi isingekuepo. Kilichojitokeza sabaya alikua anafanya kazi maalum alizokua anatumwa na mteule wake.
 
Tujiulize kwa kutumia akili za kawaida tu. Mkuu wa wilaya atoke wilaya nyingine alafu aende kufanya uhalifu wilaya nyingine? Hii ni ngumu.

Kwanini Kenan Kihongosi aliyekuwa mkuu wa wilaya Arusha aliruhusu huu uhalifu?

Kwa nini magari ya serikali yalitumika kufanya uharifu?

Kwa nini Sabaya awachukue aliowapora na kuwapekeleka polisi kama wahalifu?

My take: Ofisi ya Dpp imejaa uozo na kukosa weledi. Maana inapoteza rasilimali za umma kushitaki pasipo busara. Kosa la ujambazi liliingia vipi?
Sabaya bor...o limeingia bila kilainishi,ameisaidia mahakama kumhukumu kwa kukubali alikua jambazi sugu,ndio mana mnaambiwa kila siku kasomeni muwe na akili plus maarifa
 
Kwa bahati mbaya sana kauli alizotoa Sabaya mahakamani kama utetezi huo ndio ukweli halisi. Kwa bahati mbaya sana kuna visa vingi kama hivi havijaripotiwa wala kuibuliwa iwe na wahusika au waathirika

Hadithi ya kutekwa kwa Mohamed Dewji bado ni fumbo na naamini "MAMLAKA" ya sasa ikimruhusu au ikimtaka aseme ukweli mtupu kwa yale yaliyotokea Watanzania tunaweza kujiuliza kulikua na mtu wa aina gani pale jumba jeupe

Yaliyotokea pale Mawingu Radio katika sakata lililowahusisha Nape, Paul Christian na Ruge na staff wake pengine hatutajua ukweli wote lakini kwa wakati ule ushahidi wa mazingira ulijionyesha wazi nani alikua nyuma ya maagizo yale. Aliyeunda tume ya kuchunguza uhalifu ule akapokonywa wadhiwa wake with immediate effect huku akinusurika kutekwa baada ya jaribio la kufanya hivyo kuonekana public! The culprit aliyetakiwa kuchunguzwa ndio akawa anatamba kwenye vyombo vya habari vya umma huku MAMLAKA yake ya uteuzi ikimpa support

Usia wangu kwa wateule wa "MAMLAKA": OBEY LAWFUL ORDERS FROM LAWFUL AUTHORITY
Mimi hapa tu:

If this is the case, it means Sabaya OBEYED UNLAWFUL ORDER but FROM LAWFUL AUTHORITY...

Sasa tujiulize maswali mawili ya msingi;

1. Je, kuna sheria hapa Tanzania inayoweza kutumiwa na hakimu/mahakama kumpa nafuu mtu aliyetenda jinai kwa kutumwa na mamlaka iliyo halali kisheria...?

2. Kama hiyo mamlaka halali kisheria (lawful authority) ilikuwa ni lazima itende jinai hiyo, kwanini inamkana mtu iliyomtuma kuitenda hiyo jinai...?

NOTE: Binafsi akili yangu inakataa kabisa kukubali na kuamini kama mamlaka ya Urais ilimtuma huyu bwana kufanya ujinga huu kwa sababu ziwazo zozote..

Na kama ilimtuma, basi ina maana moja tu, kuwa, huyu Sabaya na mamlaka hiyo (ya Urais wa Magufuli) ni wahalifu (criminals) na wanastahili kuadhibiwa na sheria za nchi...

Bahati njema, shina lilishakula adhabu yake. Yamebaki matawi....
 
Mimi hapa tu:

If this is the case, it means Sabaya OBEYED UNLAWFUL ORDER but FROM LAWFUL AUTHORITY...

Sasa tujiulize maswali mawili ya msingi;

1. Je, kuna sheria hapa Tanzania inayoweza kutumiwa na hakimu/mahakama kumpa nafuu mtu aliyetenda jinai kwa kutumwa na mamlaka iliyo halali kisheria...?

2. Kama hiyo mamlaka halali kisheria (lawful authority) ilikuwa ni lazima itende jinai hiyo, kwanini inamkana mtu iliyomtuma kuitenda hiyo jinai...?

NOTE: Binafsi akili yangu inakataa kabisa kukubali na kuamini kama mamlaka ya Urais ilimtuma huyu bwana kufanya ujinga huu kwa sababu ziwazo zozote..

Na kama ilimtuma, basi ina maana moja tu, kuwa, huyu Sabaya na mamlaka hiyo (ya Urais wa Magufuli) ni wahalifu (criminals) na wanastahili kuadhibiwa na sheria za nchi...

Bahati njema, shina lilishakula adhabu yake. Yamebaki matawi....
Unajua nyinyi mmevurugwa sijui hamuelewi. .hakuna tatizo la Sabaya kutumwa na mteuzi wake....I Sabaya ameeleza wazi kabisa mambo aliyokuwa akielekezwa afanye. .na inaonekana wazi kabisa wale wafanya biashara walikuwa wakwepa ķodi na taarifa ilikuwa inamfikia mkubwa mezani kwake. ..ilimbidi kufuatilia kwa kumuagiza Sabaya. Sabaya amesema wziwaz kwamba hajafanya uhalifu huo uliotungwa na wanasiasa. .it's very clear..msitake hapa kumuunganisha mtetezi wa wanyonge JPM na mambo yenu ya kutunga. ..hamtaweza kamwe. .lipeni kodi Bila shuruti Msi take advantage ya JPM kutokuwepo
 
Back
Top Bottom