Tayari Sabaya amechomoka, kama alipewa maagizo toka juu ujambazi anahusika vipi?

Tayari Sabaya amechomoka, kama alipewa maagizo toka juu ujambazi anahusika vipi?

Mimi hapa tu:

If this is the case, it means Sabaya OBEYED UNLAWFUL ORDER but FROM LAWFUL AUTHORITY...

Sasa tujiulize maswali mawili ya msingi;

1. Je, kuna sheria hapa Tanzania inayoweza kutumiwa na hakimu/mahakama kumpa nafuu mtu aliyetenda jinai kwa kutumwa na mamlaka iliyo halali kisheria...?

2. Kama hiyo mamlaka halali kisheria (lawful authority) ilikuwa ni lazima itende jinai hiyo, kwanini inamkana mtu iliyomtuma kuitenda hiyo jinai...?

NOTE: Binafsi akili yangu inakataa kabisa kukubali na kuamini kama mamlaka ya Urais ilimtuma huyu bwana kufanya ujinga huu kwa sababu ziwazo zozote..

Na kama ilimtuma, basi ina maana moja tu, kuwa, huyu Sabaya na mamlaka hiyo (ya Urais wa Magufuli) ni wahalifu (criminals) na wanastahili kuadhibiwa na sheria za nchi...

Bahati njema, shina lilishakula adhabu yake. Yamebaki matawi....
Stuuu pid
 
Hii katiba ilitutengenezes mtawala aliyegeuka kuwa monster.
Sasa tumwangalie huyu Monster sifa Zale
1)aliweza kununua midege 11 ndani ya miaka 5
2)ameweza kujenga meli kubwa Lila Zima
3)ameweza kujenga vivuko vikubwa zaidi ya 10 kila eneo lenye shiva
4)ameweza kuongeza bajeti ya afya kufikia bilion 260 kwa mwaka kutoka bilion 20
5)ameweza kuongeza bajeti ya mikopo ya elimu ya juu kufikia bilioni 250 kutoka bilioni 30 kwa mwaka
6)ameweza kuondoa watumishi hewa zaidi ya 50000..watumishi
7)ameweza kubaini vyeti feki zaidi ya 30000 watumishi
8) amejenga mabarabara lukuki ma flyovers kupanua barabara nyingi kwa mbinu zake mfano Morocco mwenge
9)ameweza kuleta nidhamu ya Hali ya juu katika utumishi WA Uma.
10)amepambana na mafisadi na wakwepa kodi na walinyooka. .Hao Sasa waliishi kama mashetani tu. Na wanyonge SAS waliishi kama malaika peponi
11)upande WA madini Ndio usiseme. .Tanzanite ukuta ukajengwa Mere rani
12)Gold na mengineyo mikataba ikafungwa na kutngenezwa upya kwa faida ya wote. .win win situation
13)mabepari wale WA madini walinywea na ku bow down kwa JPM
14) elimu Bure primary to secondary
15)hivi ni wapi hakugusa. ..taja mengine meeeengi mnayajua aliyofanya monster huyu mzalendo. .na alikuwa akisaidiwa na mama Samia. .laolilikuwa Moja. So msimchukulie poa mama oooooh. ...
Wakati mnaongea tafadhali muwe mnatukumbusha na mazuri haya ambayo ameyafanya. .na nikwambie watanzania walimkubali asilimia 95...na itikadi yake JPM tayari ipo katika mioyo ya watanzania wote karibu. .na wanamkumbuka sana...kuifuta hiyo sio leo jomba. Na wewe huwajui watanzania vizuri. ..nenda
 
Sasa tumwangalie huyu Monster sifa Zale
1)aliweza kununua midege 11 ndani ya miaka 5
2)ameweza kujenga meli kubwa Lila Zima
3)ameweza kujenga vivuko vikubwa zaidi ya 10 kila eneo lenye shiva
4)ameweza kuongeza bajeti ya afya kufikia bilion 260 kwa mwaka kutoka bilion 20
5)ameweza kuongeza bajeti ya mikopo ya elimu ya juu kufikia bilioni 250 kutoka bilioni 30 kwa mwaka
6)ameweza kuondoa watumishi hewa zaidi ya 50000..watumishi
7)ameweza kubaini vyeti feki zaidi ya 30000 watumishi
8) amejenga mabarabara lukuki ma flyovers kupanua barabara nyingi kwa mbinu zake mfano Morocco mwenge
9)ameweza kuleta nidhamu ya Hali ya juu katika utumishi WA Uma.
10)amepambana na mafisadi na wakwepa kodi na walinyooka. .Hao Sasa waliishi kama mashetani tu. Na wanyonge SAS waliishi kama malaika peponi
11)upande WA madini Ndio usiseme. .Tanzanite ukuta ukajengwa Mere rani
12)Gold na mengineyo mikataba ikafungwa na kutngenezwa upya kwa faida ya wote. .win win situation
13)mabepari wale WA madini walinywea na ku bow down kwa JPMORGAN
14) elimu Bure primary to secondary
15)hivi ni wapi hakugusa. ..taja mengine meeeengi mnayajua aliyofanya monster huyu mzalendo. .na alikuwa akisaidiwa na mama Samia. .laolilikuwa Moja. So msimchukulie poa mama oooooh. ...
Wakati mnaongea tafadhali muwe mnatukumbusha na mazuri haya ambayo ameyafanya. .na nikwambie watanzania walimkubali asilimia 95...na itikadi yake JPM tayari ipo katika mioyo ya watanzania wote karibu. .na wanamkumbuka sana...kuifuta hiyo sio leo jomba. Na wewe huwajui watanzania vizuri. ..nenda
Wakati wa utawala wa Waingereza, walisambaza mabomba na kupump maji yakawafikia wananchi, walijenga shule, reli, madaraja. Lakini wananchi hawakuwa na uhuru na uhuru wa mawazo wala kuamua hatima ya maisha yao. Wananchi waliishi kama raia wa daraja la pili. Walipigania uhuru mpaka ukaptikana.

Makaburu wa Afrika Kusini walijenga mji na kufanya vyote walivyofanya lakini raia waligombania Uhuru.

Na kujenga kote madaraja bado monster aliona kura na kulazimisha Ndungai apeleke masecretary wake 19 bungeni.
 
Magu alikuwa kiongozi muovu na wengi hilo wanalijua. Anachofanya Sabaya ni kupigia mstari jibu kwa kile kinachofahamika. Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule mtu muovu bila damu kumwagika.
Hahahaha hamuwezi kuwadanganya watanzania kirahisi hivyo. ..Magu alikuwa kiongozi aliyefanya haya apa.
wa mwaka
6)ameweza kuondoa watumishi hewa zaidi ya 50000..watumishi
7)ameweza kubaini vyeti feki zaidi ya 30000 watumishi
8) amejenga mabarabara lukuki ma flyovers kupanua barabara nyingi kwa mbinu zake mfano Morocco mwenge
9)ameweza kuleta nidhamu ya Hali ya juu katika utumishi WA Uma.
10)amepambana na mafisadi na wakwepa kodi na walinyooka. .Hao Sasa waliishi kama mashetani tu. Na wanyonge SAS waliishi kama malaika peponi
11)upande WA madini Ndio usiseme. .Tanzanite ukuta ukajengwa Mere rani
12)Gold na mengineyo mikataba ikafungwa na kutngenezwa upya kwa faida ya wote. .win win situation
13)mabepari wale WA madini walinywea na ku bow down kwa JPM
14) elimu Bure primary to secondary
15)hivi ni wapi hakugusa. ..taja mengine meeeengi mnayajua aliyofanya monster huyu mzalendo. .na alikuwa akisaidiwa na mama Samia. .laolilikuwa Moja. So msimchukulie poa mama oooooh. ...
Wakati mnaongea tafadhali muwe mnatukumbusha na mazuri haya ambayo ameyafanya. .na nikwambie watanzania walimkubali asilimia 95...na itikadi yake JPM tayari ipo katika mioyo ya watanzania wote karibu. .na wanamkumbuka sana...kuifuta hiyo sio leo jomba. Na wewe huwajui watanzania vizuri. ..nenda


China
dini Ndio usiseme. .Tanzanite ukuta ukajengwa Mere rani

12)Gold na mengineyo mikataba ikafungwa na kutngenezwa upya kwa faida ya wote. .win win situation

13)mabepari wale WA madini walinywea na ku bow down kwa JPM

14) elimu Bure primary to secondary

15)hivi ni wapi hakugusa. ..taja mengine meeeengi mnayajua aliyofanya monster huyu mzalendo. .na alikuwa akisaidiwa na mama Samia. .laolilikuwa Moja. So msimchukulie poa mama oooooh. ...

Wakati mnaongea tafadhali muwe mnatukumbusha na mazuri haya ambayo ameyafanya. .na nikwambie watanzania walimkubali asilimia 95...na itikadi yake JPM tayari ipo katika mioyo ya watanzania wote karibu. .na wanamkumbuka sana...kuifuta hiyo sio leo jomba. Na wewe huwajui watanzania vizuri. ..nenda kule
 
Tujiulize kwa kutumia akili za kawaida tu. Mkuu wa wilaya atoke wilaya nyingine alafu aende kufanya uhalifu wilaya nyingine? Hii ni ngumu.

Kwanini Kenan Kihongosi aliyekuwa mkuu wa wilaya Arusha aliruhusu huu uhalifu?

Kwa nini magari ya serikali yalitumika kufanya uharifu?

Kwa nini Sabaya awachukue aliowapora na kuwapekeleka polisi kama wahalifu?

My take: Ofisi ya Dpp imejaa uozo na kukosa weledi. Maana inapoteza rasilimali za umma kushitaki pasipo busara. Kosa la ujambazi liliingia vipi?
Kuthibitisha kama kweli mamlaka za juu ndio zilizomtuma ndio shida,Dr Mpango mpaka aje akubali kua alitumwa Arusha kwa kazi maalum
 
Badala ya kuchomoka amejishindilia. Kwa nchi zinazofuata sheria huyu sabaya ndio kwanzaa kajichimbia gerezani. Ksbb kwanza amekiri kwa kinywa chake kwamba amefanya huo ujambazi hilo tu kwa kufuata sheria kwa haki linamfunga miaka 30.

Hayo mambo ya kutumwa ni nadharia tu. Vipi wewe tukutume leo ukafanye ujambazi je utaenda? Labda utasema mimi sio mkuu wako kwenye nyanja yoyote. Namna nyingine babaako mzazi anakutuma kwenda kufanya ujambazi,kwa akili yako utaenda?. Hata kama utaenda huo ni msala wako ukikamatwa. Ksbb kila mtu atabeba msalaba wake mwenyewe kwenye sheria na mbinguni pia. Kwa hiyo sabaya utetezi wake ni wa kujifunga tu.

1. Huyo mkuu wa wilaya arusha kuna uwezekano hakujua kabisa kwamba kuna majambazi yamevamia wilayani kwake.
2. Sabaya kama sabaya anapenda amri,anapenda kutumia madaraka vibaya. Hapo kuna uwezekano alitoa tu amri ya kutumia magari ya serikali. (Kumbuka hapo wengi aliwafanya kama underdog Kwame,hata wakuu wa polisi,mikoa, wilaya zingine. Mpaka alikuwa na vitambulisho feki vya usalama, vya kutishia watu)
3. Jibu hilo hapo juu #2
 
Sasa tumwangalie huyu JPM sifa Zake
Rais WA wanyonge
1)aliweza kununua midege 11 ndani ya miaka 5
2)ameweza kujenga meli kubwa Lila Zima
3)ameweza kujenga vivuko vikubwa zaidi ya 10 kila eneo lenye shiva
4)ameweza kuongeza bajeti ya afya kufikia bilion 260 kwa mwaka kutoka bilion 20
5)ameweza kuongeza bajeti ya mikopo ya elimu ya juu kufikia bilioni 250 kutoka bilioni 30 kwa mwaka
6)ameweza kuondoa watumishi hewa zaidi ya 50000..watumishi
7)ameweza kubaini vyeti feki zaidi ya 30000 watumishi
8) amejenga mabarabara lukuki ma flyovers kupanua barabara nyingi kwa mbinu zake mfano Morocco mwenge
9)ameweza kuleta nidhamu ya Hali ya juu katika utumishi WA Uma.
10)amepambana na mafisadi na wakwepa kodi na walinyooka. .Hao Sasa waliishi kama mashetani tu. Na wanyonge SAS waliishi kama malaika peponi
11)upande WA madini Ndio usiseme. .Tanzanite ukuta ukajengwa Mere rani
12)Gold na mengineyo mikataba ikafungwa na kutngenezwa upya kwa faida ya wote. .win win situation
13)mabepari wale WA madini walinywea na ku bow down kwa JPM
14) elimu Bure primary to secondary
15)hivi ni wapi hakugusa. ..taja mengine meeeengi mnayajua aliyofanya monster huyu mzalendo. .na alikuwa akisaidiwa na mama Samia. .laolilikuwa Moja. So msimchukulie poa mama oooooh. ...
Wakati mnaongea tafadhali muwe mnatukumbusha na mazuri haya ambayo ameyafanya. .na nikwambie watanzania walimkubali asilimia 95...na itikadi yake JPM tayari ipo katika mioyo ya watanzania wote karibu. .na wanamkumbuka sana...kuifuta hiyo sio leo jomba. Na wewe huwajui watanzania vizuri. ..nendeni mkayahubirieni mataifa Yote matendo haya Ya mzalendo
 
Utetezi wa Sabaya hauna mashiko kisheria pengine kaona njia Bora ya kujinasua ni kumjumuisha marehemu
Utetezi wake hauna mashiko kabisa. Kibaya zaidi ndio kajifunga zaidi kisheria ksbb kakubali kufanya ujambazi ila anajitetea alitumwa. Kama ana akili,kwa nini hao waliokutuma asije nao kufanya huo ujambazi ili wakikamatwa sheria inapochukua mkondo wake washitakiwe pamoja?.

Hapo ni sawa na mfa maji tu
 
Badala ya kuchomoka amejishindilia. Kwa nchi zinazofuata sheria huyu sabaya ndio kwanzaa kajichimbia gerezani. Ksbb kwanza amekiri kwa kinywa chake kwamba amefanya huo ujambazi hilo tu kwa kufuata sheria kwa haki linamfunga miaka 30.

Hayo mambo ya kutumwa ni nadharia tu. Vipi wewe tukutume leo ukafanye ujambazi je utaenda? Labda utasema mimi sio mkuu wako kwenye nyanja yoyote. Namna nyingine babaako mzazi anakutuma kwenda kufanya ujambazi,kwa akili yako utaenda?. Hata kama utaenda huo ni msala wako ukikamatwa. Ksbb kila mtu atabeba msalaba wake mwenyewe kwenye sheria na mbinguni pia. Kwa hiyo sabaya utetezi wake ni wa kujifunga tu.

1. Huyo mkuu wa wilaya arusha kuna uwezekano hakujua kabisa kwamba kuna majambazi yamevamia wilayani kwake.
2. Sabaya kama sabaya anapenda amri,anapenda kutumia madaraka vibaya. Hapo kuna uwezekano alitoa tu amri ya kutumia magari ya serikali. (Kumbuka hapo wengi aliwafanya kama underdog Kwame,hata wakuu wa polisi,mikoa, wilaya zingine. Mpaka alikuwa na vitambulisho feki vya usalama, vya kutishia watu)
3. Jibu hilo hapo juu #2
Mtaandika sana mnajifanya mahakimu lakini mahakimu ndio Wanajua
 
Ukipewa maagizo kutoka juu, popote utakapoingia au kuingilia hakuna wa kukufanya chochote wala kukugusa...
 
Tujiulize kwa kutumia akili za kawaida tu. Mkuu wa wilaya atoke wilaya nyingine alafu aende kufanya uhalifu wilaya nyingine? Hii ni ngumu.

Kwanini Kenan Kihongosi aliyekuwa mkuu wa wilaya Arusha aliruhusu huu uhalifu?

Kwa nini magari ya serikali yalitumika kufanya uharifu?

Kwa nini Sabaya awachukue aliowapora na kuwapekeleka polisi kama wahalifu?

My take: Ofisi ya Dpp imejaa uozo na kukosa weledi. Maana inapoteza rasilimali za umma kushitaki pasipo busara. Kosa la ujambazi liliingia vipi?
Kama hujui uliza uelimishwe au subiri usikilize
 
K
Armed robbery huwa inafanyika vipi? Kwani mtu akifa na ofisi huwa inakufa?
Kama unabisha subiri uone hatma ya hiyo kesi itakuwaje,naona sasa wewe unataka kujifanya ndiye hakimu wa kesi hiyo.
 
Tujiulize kwa kutumia akili za kawaida tu. Mkuu wa wilaya atoke wilaya nyingine alafu aende kufanya uhalifu wilaya nyingine? Hii ni ngumu.

Kwanini Kenan Kihongosi aliyekuwa mkuu wa wilaya Arusha aliruhusu huu uhalifu?

Kwa nini magari ya serikali yalitumika kufanya uharifu?

Kwa nini Sabaya awachukue aliowapora na kuwapekeleka polisi kama wahalifu?

My take: Ofisi ya Dpp imejaa uozo na kukosa weledi. Maana inapoteza rasilimali za umma kushitaki pasipo busara. Kosa la ujambazi liliingia vipi?
A bandit even if is president will remain a bandit. Sabaya is lying. He is seeking refuge in the "mwendazake".
 
U
Kuna Precedent ,Kutumwa hakukuondolei msala wa kesi ,rejea kesi ya wafanyabiashara wa madini morogoro , mtuhumiwa badeni alikutwa na hatia ya mauaji ila yeye alijitetea kwamba alitumwa na zombe(mkuu wake) ,zombe na yeye akasema hajashika silaha na hajawahi kuua huko msitu wa pande kwahiyo ikala kwa badeni.

Hata kama alitumwa na magufuli ,aliyefanya tukio ni sabaya kwahiyo hakumuondolei msala na hakuna kinga ya kufanya uhalifu maana hakuna aliye juu ya sheria.
Uko sahihi. Mleta mada ana mapenzi na Sabaya.
 
Hahahaha hamuwezi kuwadanganya watanzania kirahisi hivyo. ..Magu alikuwa kiongozi aliyefanya haya apa.
wa mwaka
6)ameweza kuondoa watumishi hewa zaidi ya 50000..watumishi
7)ameweza kubaini vyeti feki zaidi ya 30000 watumishi
8) amejenga mabarabara lukuki ma flyovers kupanua barabara nyingi kwa mbinu zake mfano Morocco mwenge
9)ameweza kuleta nidhamu ya Hali ya juu katika utumishi WA Uma.
10)amepambana na mafisadi na wakwepa kodi na walinyooka. .Hao Sasa waliishi kama mashetani tu. Na wanyonge SAS waliishi kama malaika peponi
11)upande WA madini Ndio usiseme. .Tanzanite ukuta ukajengwa Mere rani
12)Gold na mengineyo mikataba ikafungwa na kutngenezwa upya kwa faida ya wote. .win win situation
13)mabepari wale WA madini walinywea na ku bow down kwa JPM
14) elimu Bure primary to secondary
15)hivi ni wapi hakugusa. ..taja mengine meeeengi mnayajua aliyofanya monster huyu mzalendo. .na alikuwa akisaidiwa na mama Samia. .laolilikuwa Moja. So msimchukulie poa mama oooooh. ...
Wakati mnaongea tafadhali muwe mnatukumbusha na mazuri haya ambayo ameyafanya. .na nikwambie watanzania walimkubali asilimia 95...na itikadi yake JPM tayari ipo katika mioyo ya watanzania wote karibu. .na wanamkumbuka sana...kuifuta hiyo sio leo jomba. Na wewe huwajui watanzania vizuri. ..nenda


China
dini Ndio usiseme. .Tanzanite ukuta ukajengwa Mere rani

12)Gold na mengineyo mikataba ikafungwa na kutngenezwa upya kwa faida ya wote. .win win situation

13)mabepari wale WA madini walinywea na ku bow down kwa JPM

14) elimu Bure primary to secondary

15)hivi ni wapi hakugusa. ..taja mengine meeeengi mnayajua aliyofanya monster huyu mzalendo. .na alikuwa akisaidiwa na mama Samia. .laolilikuwa Moja. So msimchukulie poa mama oooooh. ...

Wakati mnaongea tafadhali muwe mnatukumbusha na mazuri haya ambayo ameyafanya. .na nikwambie watanzania walimkubali asilimia 95...na itikadi yake JPM tayari ipo katika mioyo ya watanzania wote karibu. .na wanamkumbuka sana...kuifuta hiyo sio leo jomba. Na wewe huwajui watanzania vizuri. ..nenda kule
Naona umecopy na kupaste, umejichanganya hadi ukaweka duplicate copy. Angekuwa anakubalika hivyo asingenajisi uchaguzi ili akae madarakani kwa shuruti. Hayo unayoyaita mazuri, hata Kaburu Pieter Botha wa Afrika kusini aliyafanya tena mara elfu ya huyo dhalimu, mbona kina Mandela na weusi hawakumpenda?
 
Naona umecopy na kupaste, umejichanganya hadi ukaweka duplicate copy. Angekuwa anakubalika hivyo asingenajisi uchaguzi ili akae madarakani kwa shuruti. Hayo unayoyaita mazuri, hata Kaburu Pieter Botha wa Afrika kusini aliyafanya tena mara elfu ya huyo dhalimu, mbona kina Mandela na weusi hawakumpenda?
Duplicate copy ndio kiswahili gani hicho. .jomba umesoma mpaka darasa la ngapi. .chombo gani kinachosimamia uchaguzi kimesema alinajisi uchaguzi..wewe unaumwa nini. ..hivi mnadhani watanzania ni wajinga eeeh. ..mnalishwa maneno na gaidi wenu nanyinyi mnachukua duplicate copy mnatumia. .hahaha. ..ujinga mmtupu..shwainnnnmyyy
 
Wakati wa utawala wa Waingereza, walisambaza mabomba na kupump maji yakawafikia wananchi, walijenga shule, reli, madaraja. Lakini wananchi hawakuwa na uhuru na uhuru wa mawazo wala kuamua hatima ya maisha yao. Wananchi waliishi kama raia wa daraja la pili. Walipigania uhuru mpaka ukaptikana.

Makaburu wa Afrika Kusini walijenga mji na kufanya vyote walivyofanya lakini raia waligombania Uhuru.

Na kujenga kote madaraja bado monster aliona kura na kulazimisha Ndungai apeleke masecretary wake 19 bungeni.
Hahaha hivi unajua maendeleo ya nchi yanakuja kwa uhuru unautaka we we Mbingu. ..uliza historia za nchi zikizofanya mapinduzi ya kiuchumi zilifanyaje. ...ukishasoma njoo Sasa kwa hoja. ..umesahau mababu zetu walifanywa watumwa kwa kazi zipi. .waliteswa walibebeshwa mizigo walishinda njaa mvua jua zilikuwa zinaishia vichwani mwao. .yote nikwa sababu walikuwa wanajenga chumi zao hao mabwana zenu. Utasahauje historia au nawewe unakaririshwa...uliza chumi za Marekani Uingereza Urusi German China na nyinginezo nyingi...nenda kasome sasak
 
Back
Top Bottom