Goli la Namungo shida yake ninRefa ana assist,Simba ndio timu inayo ongoza kwa assist za marefa, Goli la namungo refa hajafunga yeye ila Refa msaidizi/Mshika kibendera katoka assist kwa mfungaji. Nikama Jonesia Rukyaa alipotoa assist kwa kagere afunge kwa njia ya penati dhidi ya Yanga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app