Tazama baadhi ya mapungufu yaliyojitokeza katika majina ya ajira za Ualimu yaliyotolewa. Jina la 'ABADALLAH LEONARD SHONDE lajirudia mara 196

Tazama baadhi ya mapungufu yaliyojitokeza katika majina ya ajira za Ualimu yaliyotolewa. Jina la 'ABADALLAH LEONARD SHONDE lajirudia mara 196

Mh raisi alitumia nguvu kubwa sana kutumbua wafanyakazi hewa

Lakini cha kushangaza tamisemi wanakosa weredi kabisa kwa kuendelea kuajiri watu hewa, ambao hawana vigezo,sijui wanafanya maksudi au ndio utendaji wao kazi

Mh raisi wanakuaibisha sana hawa tamisemi, wanaajiri watu hewa, majina ya kihuni yamejaa humo

Mh raisi ingilia hili swala, pitia majina ujionee mwenyewe, nenda kule tamisemi tumbua wote wanaofanya huo uhuni, futa majina yote

Ni aibu kubwa sana, serikali inatoa ajira kihuni namna hii

Uzi tayar
umehakikisha vipi kuwa hawana vigezo?
 
Taifa lisha poteza muelekeo hili kila kukicha afadhari ya jana
 
Anaitwa nani na kapangwa shule gani huyo aliyemaliza form 4, 2019.
 
Pitia orodha, jina LA kwanza Ni lile mwanzo mwisho!
 
Anaitwa nani na kapangwa shule gani huyo aliyemaliza form 4, 2019.
Hao ni baadhi tu mkuu ila wapo wengi sanaa.. ni udanganyifu uliokithiriView attachment 1636642View attachment 1636643View attachment 1636644View attachment 1636645View attachment 1636646View attachment 1636647View attachment 1636648View attachment 1636649
Screenshot_2020-11-28-11-52-09-24_c37d74246d9c81aa0bb824b57eaf7062.jpg
 
Acha kuichafua serikali wewe, serikali haiwezi kufanya huo ujinga kama umekosa kwasababu una GPA ndogo acha tuliochaguliwa tukaanze kazi jumanne (1.12.2020)
Hahahhaha wewe ndo yule jamaa uliyeajiriwa kila sehemu. Maana wakitaja Benki upo, TRA upo, Bandarini upo Sasa na kwenye ualimu upo n.k
 
Ali Maulid Mtawatawa-1997

Beatrice Apolinary Lyimo -1999

Charles Nyagaya John -1995

Miaka 20+ iliyopita alikuwa wapi hadi mwaka huu ndio waajiriwe?
Inawezekana alikua anafundisha private schools akaona aombe ajira serikalini
 
Hapana sio GPA wala nini....kama haya majina nayoyaona mitandaoni yametoka kwa viongozi wa umma tena wa taasisi nyeti basi tunasafari ndefu...

Na Rais asipoliangalia hili nitakuwa na mashaka na anayokuwa anahubiri kila siku.

Penye ukweli tuseme....nimeona jina la mtu kurudiwa zaidi ya mara 100.
Mbona hutaji majina yanayojirudia ili kuthibitisha madai yako, ili ueleweke? Au toa kasoro unazoziona ili tufahamu.
 
Wakuu Kuna udanganyifu mwingi Sana kwenye hizi ajira watu wa Tamisemi wamefanya uhuni mkubwa Sana Kuna majina hewa na namba fake nyingi Sana mpaka unajiuliza Kuna nn,Tamisemi ichunguzwe huu ni upumbavu zama za Teknolojia.
 
Back
Top Bottom