Tazama Bombardier Q400 mbili za JAMBOJET Kenya nchini canada zikishukwa!!!!

Kama ambavyo Tanzania ilijifinza makosa ya Kenya katika ujenzi wa SGR na kuchagua njia tofauti na waliyotumia Kenya hatimae Tanzania inajenga more superior SGR than Kenya at half the price.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na hii ndio maana ya kuishi vizuri na majirani sio kukurupuka kufanya mambo hovyo ukitafuta sifa za kijinga
 
Kama ambavyo Tanzania ilijifinza makosa ya Kenya katika ujenzi wa SGR na kuchagua njia tofauti na waliyotumia Kenya hatimae Tanzania inajenga more superior SGR than Kenya at half the price.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na hii ndio maana ya kuishi vizuri na majirani sio kukurupuka kufanya mambo hovyo ukitafuta sifa za kijinga
Kuongezea, kuna watu wanasema kuhusu Ethiopia electric sgr failure will also happen in Tz, Kwa njia hiyo hiyo ya kujifunza as we speak kuna vijana wa Tz wapo Ethiopia wanajifunza darasani na kwa vitendo kuhusu electric sgr na changamoto zake. Prophets of doom are in for a shock

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
Simba mwenda pole ndio mla nyama..
 
Simba mwenda pole ndio mla nyama..
Wakenya wanajifanya wanajua kila kitu, hawataki kuwa humble ili waweze kujifinza kwa wengine, from individuals to National level wanataka wao kuonekana wanajua kila kitu wakati uwezo wao ni mdogo sana, matokeo yake kila wanalofanya wanakosea lakini hawataki kukubaliana na ukweli badala yake wanaendelea kufanya makosa kila siku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…