Tazama hali ya Barabara za masaki 2024! Ni aibu ya nchi

Tazama hali ya Barabara za masaki 2024! Ni aibu ya nchi

instanbul

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2016
Posts
12,037
Reaction score
17,212
Hali ya Barabara za Masaki. Sehemu yenye watalii wanaokuja kutembelea Tanzania, hotel za kimataifa, balozi mbali mbali.nk

Wengi wakija Tanzania na kuona aina ya hiz barabara wanaona Tanzania haina uongozi na corruption imetamalaki. Wazungu uchukulia Tanzania hivyo

Hiv serikali inashindwa kutenga Billion hata 7 kufumua na kujenga upya barabara hiz at least kuanza na Toure, Haile selasie, kimweri Avenue na chole road ifanane kama ile inayopita coco beach?
Mpaka Magufuli afufuke tena?

PXL_20240820_133738467.NIGHT.jpg
PXL_20240820_133848089.NIGHT.jpg
PXL_20240820_133738467.NIGHT.jpg


Pia Soma:
- KERO - Barabara za Masaki na Oysterbay zimechoka mno, haziendani na hadhi yake na zinafedhehesha
 
Hali ya Barabara za masaki. Sehemu yenye watalii wanaokuja kutembelea Tanzania, hotel za kimataifa, balozi mbali mbali.nk

Wengi wakija Tanzania na kuona aina ya hiz barabara wanaona Tanzania haina uongozi na corruption imetamalaki. Wazungu uchukulia Tanzania hivyo

Hiv serikali inashindwa kutenga Billion hata 7 kufumua na kujenga upya barabara hiz at least kuanza na Toure, Haile selasie, kimweri Avenue na chole road ifanane kama ile inayopita coco beach?
Mpaka Magufuli afufuke tena?View attachment 3075107View attachment 3075108View attachment 3075109
Wangetengeneza nzuri mngesema wanajipendelea, sasa wameamua kuwatengenezea zenu kwanza mnawalaumu! Kweli duniani hakuna jema.
 
Hali ya Barabara za masaki. Sehemu yenye watalii wanaokuja kutembelea Tanzania, hotel za kimataifa, balozi mbali mbali.nk

Wengi wakija Tanzania na kuona aina ya hiz barabara wanaona Tanzania haina uongozi na corruption imetamalaki. Wazungu uchukulia Tanzania hivyo

Hiv serikali inashindwa kutenga Billion hata 7 kufumua na kujenga upya barabara hiz at least kuanza na Toure, Haile selasie, kimweri Avenue na chole road ifanane kama ile inayopita coco beach?
Mpaka Magufuli afufuke tena?View attachment 3075107View attachment 3075108View attachment 3075109
Mshana Jr analizungumziaje hili katika ulimwengu wa roho
 
Huko ndio masaki ninapopaskiaga pakiongelewa
Ni aibu sana.
Mimi napokea watalii wengi sana. Kusema ukweli nashindwa hata kuitetea masaki.
Barabara zake ni mbovu mno

Wangetengeza hata zile mainroads kwanza. Zifananane kama ya coco beach.

Masaki ina nyumba na maghorofa mazuri barabara sasa
 
Juzi nilikua naongea na jamaa mmoja anaishi Goba mpakani manjspaa ya Ubungo anasema barabara waliahidiwa itajengwa na mradi wa vank ya dunia mwez wa 6. Lkn za ndaaaaani kabisa anasema kuna wajanja wamepiga hela na mradi umepepea
 
Hali ya Barabara za masaki. Sehemu yenye watalii wanaokuja kutembelea Tanzania, hotel za kimataifa, balozi mbali mbali.nk

Wengi wakija Tanzania na kuona aina ya hiz barabara wanaona Tanzania haina uongozi na corruption imetamalaki. Wazungu uchukulia Tanzania hivyo

Hiv serikali inashindwa kutenga Billion hata 7 kufumua na kujenga upya barabara hiz at least kuanza na Toure, Haile selasie, kimweri Avenue na chole road ifanane kama ile inayopita coco beach?
Mpaka Magufuli afufuke tena?View attachment 3075107View attachment 3075108View attachment 3075109

Jamani ukiona vyaelea, jua vimeundwa. Hakuna mtu atakayekuopa kitu ambacho hana. Tujipongeze sana kwa hilo na kutulia tuli
 
Back
Top Bottom