Wangetengeneza nzuri mngesema wanajipendelea, sasa wameamua kuwatengenezea zenu kwanza mnawalaumu! Kweli duniani hakuna jema.Hali ya Barabara za masaki. Sehemu yenye watalii wanaokuja kutembelea Tanzania, hotel za kimataifa, balozi mbali mbali.nk
Wengi wakija Tanzania na kuona aina ya hiz barabara wanaona Tanzania haina uongozi na corruption imetamalaki. Wazungu uchukulia Tanzania hivyo
Hiv serikali inashindwa kutenga Billion hata 7 kufumua na kujenga upya barabara hiz at least kuanza na Toure, Haile selasie, kimweri Avenue na chole road ifanane kama ile inayopita coco beach?
Mpaka Magufuli afufuke tena?View attachment 3075107View attachment 3075108View attachment 3075109
Ukisikia ushuani ndio huko bongo hii 😄Huko ndio masaki ninapopaskiaga pakiongelewa
Mshana Jr analizungumziaje hili katika ulimwengu wa rohoHali ya Barabara za masaki. Sehemu yenye watalii wanaokuja kutembelea Tanzania, hotel za kimataifa, balozi mbali mbali.nk
Wengi wakija Tanzania na kuona aina ya hiz barabara wanaona Tanzania haina uongozi na corruption imetamalaki. Wazungu uchukulia Tanzania hivyo
Hiv serikali inashindwa kutenga Billion hata 7 kufumua na kujenga upya barabara hiz at least kuanza na Toure, Haile selasie, kimweri Avenue na chole road ifanane kama ile inayopita coco beach?
Mpaka Magufuli afufuke tena?View attachment 3075107View attachment 3075108View attachment 3075109
Ni aibu sana.Huko ndio masaki ninapopaskiaga pakiongelewa
Ukienda masaki na wew utaanzisha uzi tu. Ni aibuThread 'Barabara za Masaki na Oysterbay zimechoka mno, haziendani na hadhi yake na zinafedhehesha' KERO - Barabara za Masaki na Oysterbay zimechoka mno, haziendani na hadhi yake na zinafedhehesha
Hali ya Barabara za masaki. Sehemu yenye watalii wanaokuja kutembelea Tanzania, hotel za kimataifa, balozi mbali mbali.nk
Wengi wakija Tanzania na kuona aina ya hiz barabara wanaona Tanzania haina uongozi na corruption imetamalaki. Wazungu uchukulia Tanzania hivyo
Hiv serikali inashindwa kutenga Billion hata 7 kufumua na kujenga upya barabara hiz at least kuanza na Toure, Haile selasie, kimweri Avenue na chole road ifanane kama ile inayopita coco beach?
Mpaka Magufuli afufuke tena?View attachment 3075107View attachment 3075108View attachment 3075109
Namaanisha ni kawaida ya mwanadamu kutafuta na ku stick kwenye sehemu yenye dosari tuUlitaka nizunguke masaki nzima? Hio ni sample tu. Na hio sehemu ni nzr sana kwa hali ya masaki ilivyo
Washua walishahama Masaki kitambo tu, sasa hivi huko wanaishi akina Manara na akina Kitenge na bongofleva na wazee wa KinondoniUkisikia ushuani ndio huko bongo hii 😄