Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inafikirisha mno..Halafu bado mtu anapiga madeal kweli!!?? binadamu tuna tamaa sana
kwa mambo yenyewe ndio haya wacha watu wauane kwa ajili ya hiyo positionInafikirisha mno..
Mbona asiziache kusaidia raia Kama alivyofanya Nyerere?Marais wengi wa kenya ni mayajiri wakubwa ,hizo benefit kwa kenyata ni utopolo tu kulinganisha na mali zake alizorithi kwa baba yake
Nyerere aliziacha wapi ?alizipokea,walinzi,wapishi,wasaidizi,magari,nyumba,bima ya afya,nenda msasani uoneMbona asiziache kusaidia raia Kama alivyofanya Nyerere?
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kama rais mstaafu, atatembelewa na ma-dignitaries. Ndo maana amepewa masecretary sita. Hizo allowance ndo za kuentertain watu kama hao.nimepapenda hapo kwenye entertainment allowance.
Wewe ninahisi wakati anastahafu 1984 ulikua hujazaliwa au bado ulikua bado ni mchanga unanyonya, uliza wakubwa zako watakuambia zawadi za mifugo, tractors na vitu vingine lukuki alizopewa na watanzania Kama alizichukuaNyerere aliziacha wapi ?alizipokea,walinzi,wapishi,wasaidizi,magari,nyumba,bima ya afya,nenda msasani uone
Unaongelea zawadi,umeona hapo kenyata kapewa zawadi,hizo ni stahiki muhimu kwa mstaafu zipo kisheria,nyerere anastaafu niikuwa kijana nimetoka balekheWewe ninahisi wakati anastahafu 1984 ulikua hujazaliwa au bado ulikua bado ni mchanga unanyonya, uliza wakubwa zako watakuambia zawadi za mifugo, tractors na vitu vingine lukuki alizopewa na watanzania Kama alizichukua
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app