Kenyata kazaliwa ikulu kashazoea hayo maisha familia yao wanaweza kuilisha zanzibar mwaka mzima na chenji ikabaki labda RuttoKwa marupurupu haya, mtu anaweza kumwomba Dokta amwahirishie kifo kisimtembelee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kenyata kazaliwa ikulu kashazoea hayo maisha familia yao wanaweza kuilisha zanzibar mwaka mzima na chenji ikabaki labda RuttoKwa marupurupu haya, mtu anaweza kumwomba Dokta amwahirishie kifo kisimtembelee.
Then unaziacha baada ya mda ukiondoka dunianiAnapata yote hii na bado anauchu wa mali za nchi, uroho wa mengine mengi.
Kwakuwa yeye ni mtumishi wa kwenda kuishi baada ya ustaafu wakeSalaam Wakuu,
Kweli Urais sio jambo la kitoto. tazama hapa malupulupu anayopata Rais wa Kenya akiondoka madarakani.
View attachment 2310806malupulupu ya ustaafu kwa Rais wa Kenya
Hahah, mkuu vizazi vyake vitakulaaa. Unadhani JMK kwa mali alizonazo zitaisha leo, atakufa na vizazi vyake vitakula, watu wanatengeneza empire, nikisema empire naamini unaelewa nini namaanisha.Then unaziacha baada ya mda ukiondoka duniani
Na hawa ndio huwa tunaambiwa wana katiba bora kuliko yetuSalaam Wakuu,
Kweli Urais sio jambo la kitoto. tazama hapa malupulupu anayopata Rais wa Kenya akiondoka madarakani.
View attachment 2310806malupulupu ya ustaafu kwa Rais wa Kenya
Watafaidi watoto na kizazi chako,kenyata hapa anakula pesa za baba yake za kwake hajazigusaThen unaziacha baada ya mda ukiondoka duniani
Matunda ya UHURU wanakula walioupiganiaWatafaidi watoto na kizazi chako,kenyata hapa anakula pesa za baba yake za kwake hajazigusa
Alienacho anaongezewa ,yule mwenye kidogo ananyanganywa...hii maneno ipo hata kwenye BibbleHuko ndiko bajeti kubwa na GDP ya Kenya inakoishia, raia wa kawaida hawamudu hata kununua unga
Tony254
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Yule mkalenjin ananjaa sana bora babu odingaKenyata kazaliwa ikulu kashazoea hayo maisha familia yao wanaweza kuilisha zanzibar mwaka mzima na chenji ikabaki labda Rutto
Odinga ana mkwanja,baba yake odinga na baba yake uhuru walijichukulia ardhi ya kenya kama ya kwao vileYule mkalenjin ananjaa sana bora babu odinga
Mali ni Mali, iwe ni stahiki za kisheria au umepewa kama zawadi, ukitaka kuwasaidia watu huchagui umeipataje. Kwanza Nyerere hakuwa tajiri Kama Uhuru Kenyatta, alikua ni masikini Sana, alikua na kila sababu ya kuzichukua zile Mali ili zimsaidie kwasababu hapakua na Sheria ya marupurupu ya rais mstaafu Kama ilivyo Sasa hivi, lakini aliamua kutozichukua, vipi jitu Kama Uhuru Kenyatta ambaye baba yake alishaibia wakenya na kuachiwa utajiri mkubwa lakini hataki kuwasaidia wananchi masikini?Unaongelea zawadi,umeona hapo kenyata kapewa zawadi,hizo ni stahiki muhimu kwa mstaafu zipo kisheria,nyerere anastaafu niikuwa kijana nimetoka balekhe
Kenyata family ni tajiri sababu mzee jomo.ni kweli aliibia watu wake hasa ardhi,ila kusema nyerere alikuwa masikini sio kweli,alipata alichohitaji huo ndio utajiri wenyeweMali ni Mali, iwe ni stahiki za kisheria au umepewa kama zawadi, ukitaka kuwasaidia watu huchagui umeipataje. Kwanza Nyerere hakuwa tajiri Kama Uhuru Kenyatta, alikua ni masikini Sana, alikua na kila sababu ya kuzichukua zile Mali ili zimsaidie kwasababu hapakua na Sheria ya marupurupu ya rais mstaafu Kama ilivyo Sasa hivi, lakini aliamua kutozichukua, vipi jitu Kama Uhuru Kenyatta ambaye baba yake alishaibia wakenya na kuachiwa utajiri mkubwa lakini hataki kuwasaidia wananchi masikini?
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Salaam Wakuu,
Kweli Urais sio jambo la kitoto. tazama hapa malupulupu anayopata Rais wa Kenya akiondoka madarakani.
View attachment 2310806malupulupu ya ustaafu kwa Rais wa Kenya