Tazama harusi ya kigogo wa CHADEMA, Henry Kilewo alivyofunga ndoa na Joyce Kiria

Tazama harusi ya kigogo wa CHADEMA, Henry Kilewo alivyofunga ndoa na Joyce Kiria

Heeheee ama kweli usimdharau mtu

Ukaona bora kamanda ana future mbele ya kua mbunge, baada ya kuukosa imekua shida.
....eti nalipa bills so wht!? Kwani wangapi wanasimamia show za waume zao?
Angekua mbunge ungeongea sshv?!
Na bado ,unafikiri kuvunja agano ni kirahirahisi
 
Back
Top Bottom