MNFUMAKOLE
JF-Expert Member
- Nov 14, 2014
- 1,502
- 1,886
Kati ya Magufuli na Lissu nani hana busara! Unapojibu swali hili, tafadhali uwe mkweli kwa nafsi yako na kwa Mungu!!Hivi unajua Lissu anagombea Urais na anataka awe Rais wa Jamhuri. Hiki alichofanya ni ujinga na amethibitisha Hana Busara hata kidogo. Sasa hapo amemkomoa nani Kama siyo hao Wananchi ambao anataka wampigie kura awaongoze
Muziki wa Lissu babu kubwa. Amewafunua macho Watanzania. Ana akili sana, jasiri, mkweli, mpenda haki, mwanasheria nguli, MTU wa watu, mwema, mzalendo wa kweli na mleta maendeleo ya watu. Hao waongoza kivuko ni wajinga na watoto sana kiuongozi. Wamejiaibisha.Kwenye video hapa chini kinaonekana kivuko ambacho kipo upande wa Mwibara. Kilitoka Ukerewe kwenda Mwibara ambapo kimemuacha ndugu Lissu akiwa Ukerewe kwenye mkutano. Yani Lissu amefika Ukerewe na kivuko kikatoka Ukerewe (Na tuliambiwa kuwa ni kibovu)
Tazama mbele ya kivuko yanaonekana magari. Magari haya ni pamoja na gari la Tundu Lissu (Prado nyeupe) na magari mengine ya msafara wa Lissu ambayo walitaka kuyavusha kwa kutumia kivuko hicho kutoka Mwibara kwenda Ukerewe. Sasa kwa kuwa waliambiwa kuwa kivuko ni kibovu, wakamua kuyaacha magari yao hapo (kama yanavyoonekana) kisha wakaenda zao Ukerewe kwa kutumia Mtumbwi.
Sasa ajabu kivuko kimetoka Ukerewe kimefika Mwibara hatimaye wameshindwa kushusha mizigo na mabasi waliyopaki ndani ya kivuko kwa kuwa magari ya msafara wa Lissu yaliachwa hapo na madereva wote wameenda Ukerewe pamoja na Lissu (Yame block njia).Sasa wanalazimika kusubiri hadi atoke Ukerewe ndipo waje watoe hayo magari ili kivuko kiweze kushusha mizigo na hayo mabasi.
Angalizo: Tundu Lissu aliambiwa kuwa kivuko ni kibovu na kwa leo kisingefanya kazi kabisa!
Swali, hapo nani kacheza kitoto?
Kwamba wewe unafahamu Sheria kuliko Lissu? Rudi shule Kwanza.Ni kulipia cost of loss wasipolipa magari yatashikiliwa hadi walipe au yatapigwa mnada na madalali wa mahakama.
Ila gharama watatakiwa kulipa si kwa wamiliki kivuko tu Bali na wenye magari binafsi waliokuwa blocked
Ofisi ya dereva yeyote ni kwenye gari hao madereva wa Lisu waliondokaje na kuachia ofisi zao au magari yao kwa kivuko? Wenye kivuko andaeni invoice haraka wakija tu hapo loss yote walipe na wenye magari binafsi blocked daini fidia
Lissu anajua sheria gani za MIGA au?Kwamba wewe unafahamu Sheria kuliko Lissu? Ludi shule Kwanza.
Waulize akina Anna Semamba Makinda Lissu ni nani?lisu anajua sheria gani za MIGA au?
Ina maana kila Lissu anapotaka kutumia kivuko ndiyo kinsharibika?Kwanini Lisdu afunge njia?? Haoni kuwa anawakwamisha watu! Inawezekana kweli kivuko kilikuwa kibovu lakini kimetengamaa baada ya kutengenezwa
Pengine labda mimi siwezi kujuahuyo Anna makinda ndio nani mimi simjui ni mke wa Lisu au?
Na baada ya yeye kuondokaKwanini Lisdu afunge njia?? Haoni kuwa anawakwamisha watu! Inawezekana kweli kivuko kilikuwa kibovu lakini kimetengamaa baada ya kutengenezwa
HE IS NOT READY TO BE COMMANDER IN CHIEF......imagine Kuna mama anatakiwa kujifungua na kazuiliwa njia kwenda kujifungua Salama VIP kama Kuna wagonjwa Humo au Wazeee wenye umri mkubwa au watoto Wsiostahili Upumbavuu Huu dah HE IS SO SELFISH nimesikitika sana HAPO UNAMKOMOA MAGUFULI AU WANANCHI
Vimegoma au vimeagizwa?Sasa kama akina Lisu waliambiwa kibovu ikitakiwa washushe magari yao.Kwa nini waliyaacha kwenye ferry? Inahoonekana yalipoingia magari wao wkasepa kutafuta kick vyombo vya habari
Tuashukuru vyombo vingi vya habari kugoma kurusha kick zao feki
Si waliambiwa hakitakuwepo siku nzima?Ni jambo la kipuuzi sana hili, wapinzani wanajiona wao ndo wenye nchi hii peke yao. Kwani kivuko kuwa kibovu ina maana hakitatengenezwa ili kipone na kiendelee na shughuli za kijamii. Mambo mengine sijui wapinzani wanafikiria kwa kutumia nini?
Acha ufala japo kidogo basi, waliambiwa kivuko kibovu na hakitafanya kazi siku hiyo, pia mara ngapi anapopita magufuli tunasimamishwa barabarani masaa kibao halafu akitoka hapo anapiga magoti kuomba kura?Hivi unajua Lissu anagombea Urais na anataka awe Rais wa Jamhuri. Hiki alichofanya ni ujinga na amethibitisha Hana Busara hata kidogo. Sasa hapo amemkomoa nani Kama siyo hao Wananchi ambao anataka wampigie kura awaongoze
Sio kwa tz hii mzeeNi kulipia cost of loss wasipolipa magari yatashikiliwa hadi walipe au yatapigwa mnada na madalali wa mahakama.
Ila gharama watatakiwa kulipa si kwa wamiliki kivuko tu Bali na wenye magari binafsi waliokuwa blocked
Ofisi ya dereva yeyote ni kwenye gari hao madereva wa Lisu waliondokaje na kuachia ofisi zao au magari yao kwa kivuko? Wenye kivuko andaeni invoice haraka wakija tu hapo loss yote walipe na wenye magari binafsi blocked daini fidia
Acha uzuzu wewe, sasa kikipona kisifanye kazi, eti kisa mgombea wa mbowe kaambiwa kivuko kina hitilafu?Si waliambiwa hakitakuwepo siku nzima?