Tazama jinsi HAMAS inavyotumia mahandaki kushambulia wanajeshi wa Israel huko Gaza

Tazama jinsi HAMAS inavyotumia mahandaki kushambulia wanajeshi wa Israel huko Gaza

Mkuu hukuwa na haja ya kumkeleli unge muelewesha tu.
Nigemjibu hivyo unavyo taka ningekuwa sijamsahidia kitu ...ila ili jibu ndiyo linamjenga na litamsahidia sana.
 
Kiongozi wa Hezbullah anatoa tamko ijumaa,tutarajie Vita rasmi Sasa kutoka Hezbollah Lebanon, Houthi Yemen na Hamas, makundi makubwa matatu
nchi zilipigwa je makundi yatasurvive kwel?
 
Wana mgambo wa HAMAS hawamiliki kifaru hata kimoja wapa ndege ya jeshi,harakati zao dhidi ya Israel huzifanya kwa kutumia bunduki, rocket na makombora ya masafa mafupi na yale ya mkononi pamoja na drones.

Israel imekua ikipata tabu na kutumia gharama kubwa kupambana na HAMAS kiasi cha kwamba sasa imeanzisha Vita kwa kuua wanawake na watoto na kiumbe chochote pamoja na Majengo baadala ya kupambana na wana mgambo husika.

Hii imetokana na HAMAS kutumia miundo mbinu ya chini ya ardhi ambayo ni mahandaki yenye mtandao wa urefu upatao 400km ambayo wanayatumia kuhifadhi silaa,kushambulia na hata mateka wengi imewahifadhi kwenye mahandaki hayo.

Baadhi ya mahandaki ni makubwa kama metro za treni za umeme ambapo kuna mifumo ya umeme na pia huruhusu gari kutembea ndani ya mahandaki hayo.

Jionee wana mgambo wakishambulia kwa mapigo makali na kuangamiza wanajeshi wa Israel hapo jana na juzi ndani ya eneo la Gaza
View attachment 2800639
View attachment 2800640
View attachment 2800641

View attachment 2800656
Hizi ni mbinu walizopata toka afghanistan kwa mzee mwanazuoni ulamaa Osama bin laden mwamba!
 
Israel ina silaha bora za kuangusha majengo mazima mazima na kuchimbua ardhi kina kirefu.Silaha hizo ni ghali sana na wakati mwengine huwa hazilengi sawasawa.Na mahandaki hata yakijulikana yalipo yapo chini ambapo hizo silaha hazipenyi.
Msaada unaohitajika ni dua ili Hamas waweze kuhimili hiyo mikiki ya Israel mpaka hapo Israel itakapoishiwa na silaha zake na misaada ikakata kutoka kwa wafadhili wake waliokwisha kukumbwa na ukata wa fedha na silaha kutokana na vita vya Ukraine.Hapo kwa uwezo wa Allah tutashuhudia askari wa Israel wakikimbia na kukimbizwa mpaka na watoto wadogo wanawaowapiga sasa.
Huyo allah ana uwezo gani wakati yeye ni mvivu anataka watu ndio wampiganie eti wakifa anaenda kuwapa mabikra 72 na pombe za kwenye mito. Very hopeless.
 
Watafia humo kwenye mahandaki maana soon wataishiwa maji na chakula!
 
Kuna watu wanajiuliza kuhusu umbali wa njia hizi za ardhini. Kwakua Gaza ipo full control ya Israel, maisha yamekua magumu sana, kuanzia usafiri, biashara na uhusiano. Mambo haya yote yapo chini ya uangalizi wa serikali ya Israel.
Wapalestina Waka waza na kuwazua wakapata suruhisho Kwa kuanzisha mfumo wa mawasiliano na uchukuzi Kwa kupitia ardhini( Gaza Metro) au Gaza subterranean tunnels. Njia hizi zimeunganisha Gaza nzima na magharibi ya Gaza kupitia mpaka wa Rafah hadi Egypt. Inasemekana chini ya Gaza Kuna biashara inafanyika kuanzia usafiri wa watu, bidhaa za ujenzi, mafuta na gesi, vyakula, madawa, vifaa vya Kijeshi kutoka Egypt kwenda Gaza Ili kuukwepa mkono wa Israel .
Ingawa mpaka wa Rafah umefungwa, lakini wapalestina Kwa mamia Kila siku wanaingia Egypt.
GAZA METROPOLITAN
 
Yule gaidi ambaye maiti yake ilizikwa baharini.
America ni mwalimu mzuri sana wa kukaririsha watu upumbavu alimtumia miaka 11 kupambana na soviet hakuwaambia ni gaidi walipohitilafiana maslahi wakawakaririsha ni gaidi,saddamu Hussein walimtumia miaka 10 kupigana na iran walihitilafiana maslahi wakamvamia na kumnyonga wakawaririsha ni gaidi.America ni gaidi numero u ulimwenguni!
 
Baadhi ya mahandaki ni makubwa kama metro za treni za umeme ambapo kuna mifumo ya umeme na pia huruhusu gari kutembea ndani ya mahandaki hayo.
Duh!...haya mahandako wanayachimba kwa vifaa gani na muda gani mpaka wasijulikane na mahasimu wao ?
 
Unajua battle tactics? Hivi unafikiri wanaka mashimoni maisha yao yote
Hata buku hakai mashimoni Maisha YAKE yote!
Mbinu ya medani tunaitumia hata kumtoa Shimoni buku Kwa kuongoza maji Shimoni kwake lazima atoke tu!
Mbinu hiyo wanayo Yahudi Kwa kutumia mabomu hatarishi ya Sponge boms![emoji24][emoji24]
Hatuombei kuangamia watu!
Ilana Muda Utasema sababu!
Mungu wa deen ya Wayahudi Amewaagiza Wayaishi haya ili wawe Salamai!
[emoji116][emoji116]
Deuteronomy 19:20-21
[20]Na watakaosalia watasikia na kuogopa, wasifanye tena uovu mfano wa huo katikati yako.

[21]Wala jicho lako lisiwe na huruma; uzima kwa uzima, jicho kwa jicho, jino kwa jino, mkono kwa
mkono, mguu kwa mguu.
 
Hata buku hakai mashimoni Maisha YAKE yote!
Mbinu ya medani tunaitumia hata kumtoa Shimoni buku Kwa kuongoza maji Shimoni kwake lazima atoke tu!
Mbinu hiyo wanayo Yahudi Kwa kutumia mabomu hatarishi ya Sponge boms![emoji24][emoji24]
Hatuombei kuangamia watu!
Ilana Muda Utasema sababu!
Mungu wa deen ya Wayahudi Amewaagiza Wayaishi haya ili wawe Salamai!
[emoji116][emoji116]
Deuteronomy 19:20-21
[20]Na watakaosalia watasikia na kuogopa, wasifanye tena uovu mfano wa huo katikati yako.

[21]Wala jicho lako lisiwe na huruma; uzima kwa uzima, jicho kwa jicho, jino kwa jino, mkono kwa
mkono, mguu kwa mguu.
Ushaanza na mistari ya biblia ? Una nia gani wewe unataka unigombanishe na bwana Uesu wewe eeenh
 
mnapigwa mpaka kwenye mitaro yenu mliyo jichimbia dada deq naona ume paniki Auntie ITR
Tunapigwa akina nani kwani mm ni mpalestina ?

Usiniletee nyege zako mm sina muda na kundu lako maana linanuka.
 
Wana mgambo wa HAMAS hawamiliki kifaru hata kimoja wapa ndege ya jeshi,harakati zao dhidi ya Israel huzifanya kwa kutumia bunduki, rocket na makombora ya masafa mafupi na yale ya mkononi pamoja na drones.

Israel imekua ikipata tabu na kutumia gharama kubwa kupambana na HAMAS kiasi cha kwamba sasa imeanzisha Vita kwa kuua wanawake na watoto na kiumbe chochote pamoja na Majengo baadala ya kupambana na wana mgambo husika.

Hii imetokana na HAMAS kutumia miundo mbinu ya chini ya ardhi ambayo ni mahandaki yenye mtandao wa urefu upatao 400km ambayo wanayatumia kuhifadhi silaa,kushambulia na hata mateka wengi imewahifadhi kwenye mahandaki hayo.

Baadhi ya mahandaki ni makubwa kama metro za treni za umeme ambapo kuna mifumo ya umeme na pia huruhusu gari kutembea ndani ya mahandaki hayo.

Jionee wana mgambo wakishambulia kwa mapigo makali na kuangamiza wanajeshi wa Israel hapo jana na juzi ndani ya eneo la Gaza
View attachment 2800639
View attachment 2800640
View attachment 2800641

View attachment 2800656
Hawa Jihadist wanastahili kuuliwa wote na vizazi vyao. In fact, wapalestina wote ni terrorists
 
Akili za kuchambia ndiyo zinaweza kuuliza swali la kupumbavu kama ili .....maandaki yapo zigizaga kumchanganya adui. Na mengine yanajitegemea
Ngoja yanyunyiziwe sumu,hamas watapukutika
 
Back
Top Bottom