Program Manager
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 2,763
- 3,955
Thinking out loud, labda mleta mada kachanganya picha ya jengo la Diamond na ofisi za chama tawala.
Kweli aisee na yeye amefanya Jambo zuri kumuachia mama yake nyumba ya madale.cha msingi mama yake asimuingilie abaki huko huko madale.sasa mama ake aache kumbana hapo.
Hiyo sio picha nyumba yake kabisa ya kweli video kashakuwekea kabisa angalia vizuriBonge la picha.
Wewe Ni Kama nani? Akuoneshe hatiWeka na hati ya nyumba hapa kusupport unachotaka kutuaminisha
Unadhani ni watanzania wangapi wanauwezo wa kujenga Nyumba ya 900 millions tukiacha uongo wa kila mtu kujisifia!!!...Yes naweza nikasema anayo kwa kuangalia tuu mauzo yake ya music namaanisha online platform, shows alizofanya , matangazo kweny makampuni makubwa . Kama anawalipa TRA 40M kwa mwezi kwann asiwe na billion
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sifa za DOMONDI kama angekuwa anamiliki huo mjengo angekuwa kashouonyesha kila kwenye social media zake!!
Weka posts ya ilo jumba lake mkuu!! maana madale alikuwa anaipost sana.
Wapo wengi bro ila shida wasanii wetu wansemwa sana kwamba wao ni choka mbayaUnadhani ni watanzania wangapi wanauwezo wa kujenga Nyumba ya 900 millions tukiacha uongo wa kila mtu kujisifia!!!...
Mbona ameonesha teyali kwenye insta storyKwa sifa za DOMONDI kama angekuwa anamiliki huo mjengo angekuwa kashouonyesha kila kwenye social media zake!!
Mzee baba mbona wivuJamaa limbukeni kama Niggas.
Anyway hizo ndio mbinu za kupatia totos.
wewe Nyumba yako umechora..Lakini bado ni nyumba.
naishi kwenye nyumba ambayo nilichora.wewe Nyumba yako umechora..
Rudi karantini plznaishi kwenye nyumba ambayo nilichora.