Mavipunda
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 7,072
- 7,891
Unamaanisha Bilioni? Acha hizo bhanaKwa makadilio ya watu wa majengo wanasema inaweza kuanzia 1.5 B mpk 2 sabb hiyo nyumba amejenga mbezi beach
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamaanisha Bilioni? Acha hizo bhanaKwa makadilio ya watu wa majengo wanasema inaweza kuanzia 1.5 B mpk 2 sabb hiyo nyumba amejenga mbezi beach
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna wapuuzi hapa wanasema kajenga! Wanajua sisi vilaza, wananikumbusha nyumba ya Wema Sepetu pale KijitonyamaNyumba yenyewe ya kupanga. Ikitokea Coronavirus ikaendelea,hakuna show,muda si mrefu anarudi Madale.
😂😂😂😂Wasanii hawa maisha yao ni usanii tu.Kuna wapuuzi hapa wanasema kajenga! Wanajua sisi vilaza, wananikumbusha nyumba ya Wema Sepetu pale Kijitonyama
Aliwahi kuwadanganya wa Tandale wenziwe kwamba ana nyumba S.A eti unamiliki nyumba South afu kwenu unajenga Madale unsurveyed areaNdio umegundua Leo !!!
Tanzania nzima hakuna watu waongo kama diamond na meko
Is it true? Amejenga?Kwa makadilio ya watu wa majengo wanasema inaweza kuanzia 1.5 B mpk 2 sabb hiyo nyumba amejenga mbezi beach
Sent using Jamii Forums mobile app
Kodi bei gani kwa mweziKuna watu wanadanganyana wanasema mziki wa bongo haulipi ila kwa wasanii wenye akili na malengo kama bwana Platnumz hapo ameamua kutuprove wrong. View attachment 1426473
Sent using Jamii Forums mobile app
Me naona ni uwekezaji wa ccmKuna watu wanadanganyana wanasema mziki wa bongo haulipi ila kwa wasanii wenye akili na malengo kama bwana Platnumz hapo ameamua kutuprove wrong. View attachment 1426473
Sent using Jamii Forums mobile app
MmhAliwahi kuwadanganya wa Tandale wenziwe kwamba ana nyumba S.A eti unamiliki nyumba South afu kwenu unajenga Madale unsurveyed area
Mbona ndoto yake ya kumiliki Rolls Royce amekamilisha, pia aliahidi kuja na kampuni ya kubet na tunaiyona Wasafibet katika maisha sio kila ndoto utaitimiza sometimes pia kipaumbele kinabadilikaMwamba anatupanga vingi sana
1. Bentley
2. Lamborghini
3. Jet
4. Nyumba ufukweni
By the way pesa anayo anaweza kufanya sema akiahidi ni miaka inapita
Hii picha nilikuwa sijawahi iyona kumbe hadi nyumba yangu ya pembeni pale inanionekana nimefarijika sana, wadau pale ndo Nyumbani msisite kukaribia, eeh ndio ndio ni jirani yake na huyu bwana mdogoKuna watu wanadanganyana wanasema mziki wa bongo haulipi ila kwa wasanii wenye akili na malengo kama bwana Platnumz hapo ameamua kutuprove wrong. View attachment 1426473
Sent using Jamii Forums mobile app