granitized
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 3,249
- 7,948
mbona kama wanamshangaa, ephen_ mkuu kakataa ndoa aisee anaendelea na ishu zake huku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona kama wanamshangaa, ephen_ mkuu kakataa ndoa aisee anaendelea na ishu zake huku
Post za mtu mshamba utazijua tu, yaani Nchimbi kuongea na wachina ni bonge la ujiko?! Kwa mvuto gani alionao hadi tuone ni bonge la fahari ama la kuonewa wivu?Ndugu zangu Watanzania,
CCM ni chama kiongozi,ni chama kilicho beba Matumaini ya watanzania,ni chama kilichobeba hatima ya Taifa letu,Ni bima ya watanzania na chama kilicho na heshima na kuheshimika ndani ya bara la Afrika na Duniani Kwote.
Embu angalia katika picha hii chini hapa yenye kupendeza ikionyesha wachina wakiongozwa na Mjumbe wa kamati kuu ya chama cha kikomunisti cha China(CPC) ndugu Tang Dengjie wakimsikiliza kwa umakini na usikivu wa hali ya juu Sana katibu mkuu wa CCM Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi Nahodha imara.
Mazungumzo hayo yalifanyika katika ofisi ndogo za CCM Lumumba jijini Dar, Mwishoni kwa wiki hii katika Ziara ya siku tatu hapa Nchini.View attachment 3024025
Ni lini umewahi kuona CHADEMA ikapata nafasi ya kupokea ujumbe mzito kama huu? Kwanza ni nani ndani ya CHADEMA atafanya na kuongoza mazungumzo na watu wazito kama hawa? Kama chama kinaendeshwa na kuwategemea watu kama akina Mdude Nyagali na kuwaona mashujaa wake .sasa ni nani mwenye akili Timamu na anayejitambua ataweza kwenda kwenye chama kama hicho aina ya CHADEMA?
Kwanza watatumia ofisi zipi? Au watapelekwa nyumbani kwa Mheshimiwa Mbowe ndio kufanyike mazungumzo? Nani atakwenda CHADEMA kuitembelea chama kinachomtuhumu kiongozi wake wa juu kuwa alinyweshwa na kununuliwa Makreti ya Bia akanywa mpaka usiku wa manane? Au mmesahau mara hii vituko na vichekesho vya uchaguzi wa kanda ya Nyasa?😃😃😃.
CCM itaendelea kuongoza Taifa hili kwa kadri ya Uhai wake.huwezi ukaitengaisha CCM na Tanzania ,kwa kufanya hivyo itakuwa ni sawa na kusema umchune mtu ngozi halafu utegemee abakie kuwa salama. Huo ndio UKWELI japo ni mchungu kwelikweli na naweza kuonekana mimi kama mwendawazimu au kichaa kwa kusema UKWELI huu.
CCM haitoki madarakani leo wala kesho wala kesho kutwa .ni CCM jana ,leo ,kesho na kwa kadri ya uhai wa Taifa letu. Hakuna Mtu wala chama chenye ubavu wala uwezo wala nguvu wala ushawishi wa kuitikisa CCM katika sanduku la kura .mtu na chama hicho hayupo na wala chama hicho hakipo na wala hakitakuwepo KAMWE.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama anatosha kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Sawa bossWala hata sina hitaji wala uhitaji wa kwenda China.
Baba wa Taifa Mwl.J.Nyerere alituasa kuepuka watu wa kutuchaguliwa marafiki 🐒Kwa umakini wako na fikra zako zilivyopevu naona haupaswi kujifungamanisha na huyu mwamba hata kama unayo hulka y kukipenda chama na raisi wako , ni maoni yangu tu lakini.
Gentleman,Post za mtu mshamba utazijua tu, yaani Nchimbi kuongea na wachina ni bonge la ujiko?! Kwa mvuto gani alionao hadi tuone ni bonge la fahari ama la kuonewa wivu?
Ni ushauri tu , ndugu muheshiwa wala sina maana mbaya , ila siasa nyepesi kama hzo zinaondoa sifa hata ya raisi , inawezekana kabisa samia yupo vizuri tu sema wimbi la chawa ndio linamjengea picha mbaya kwa baadhi ya watu.Baba wa Taifa Mwl.J.Nyerere alituasa kuepuka watu wa kutuchaguliwa marafiki 🐒
acha upotoshaji bas mrangi 🐒Hapo hata hawaelewani
Kula mtu hapo kichwani anakuambia bora kikao kiishe tu
Ova
Nchimbi hapo anawapiga sound tu....acha upotoshaji bas mrangi 🐒
Wanasikiliza NONDO nzito nzito juu kuhusiana na CCM na serikali yake iliyopo madarakaniUnachekesha sana, wanamsikiliza au wanamlia timing kama kawaida watukopeshe.
Nchimbi anakipi chakuwaambia wachina wanaocompete na first world na ni kitisho Kwa the world first economy.
Wewe nilishasema kuwa hunaga akili kabisaWachina wakilisikiliza tapeli. Wewe uliyeandika ni zee jinga. Mungu chukua hili lishetani haraka Sana lichome moto liteketee
Kama ni rahisi basi nenda na kichwa panzi chako ukaongee naoPost za mtu mshamba utazijua tu, yaani Nchimbi kuongea na wachina ni bonge la ujiko?! Kwa mvuto gani alionao hadi tuone ni bonge la fahari ama la kuonewa wivu?
Acha ujinga wako wewe.Wanajiuliza hii black mamba sijui imepata vip uongozi.Akili zao hapo ziko kwenye maliasili na kumdanganya aingie mkataba wajenge kitu wapate maokoto.Maana huyo jamaaa akikutana hata na wanangu wakimpiga maswali anaweza kukimbia.
Kama ni rahisi basi nenda na wewe ukawapige sound.Nchimbi hapo anawapiga sound tu....
Siku zote nakuambiaga ukimjuwa
Mtu burdannn.....anyway sina baya na nchimbi,nje ya ccm namkubali
Ova
Sasa mimi wachina kila siku napambana nao na nawaona wezi tu janja janja tuKama ni rahisi basi nenda na wewe ukawapige sound.
kuna jamaa moja bana anaitwa Zito Zuber Kabwe aliitwa msaliti, mara muongo, mara sijui mla rushwa, mara mchawi, kumbe tatizo ilikua ana akili na maarifa zaidi ya waliokua wanamtuhumu, dah ubinadamu kazi sana aise🐒Nchimbi hapo anawapiga sound tu....
Siku zote nakuambiaga ukimjuwa
Mtu burdannn.....anyway sina baya na nchimbi,nje ya ccm namkubali
Ova