MAPITO Mwanza
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 4,236
- 5,907
Tupo hapa kuwafanya mjitambue na muepukane na UCHAWA ambao HAUNA faida Kwa Taifa letuNaona umepaniki kama kawaida yenu ma CHADEMA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupo hapa kuwafanya mjitambue na muepukane na UCHAWA ambao HAUNA faida Kwa Taifa letuNaona umepaniki kama kawaida yenu ma CHADEMA
Sema huwa unawaibia mafuta kwenye site zaoSasa mimi wachina kila siku napambana nao na nawaona wezi tu janja janja tu
Ova
Tangia lini na wewe ukawa na akili ya kumfundisha mtuTupo hapa kuwafanya mjitambue na muepukane na UCHAWA ambao HAUNA faida Kwa Taifa letu
HapanaLucas kwenye hiyo picha huyo aliyeshika peni ndio wewe?
Acha moshi dogoShetani mkubwa wewe
Saa 2 Katibu anafika urudishe modem yakeAcha moshi dogo
Acha utoto dogoSaa 2 Katibu anafika urudishe modem yake
Mchuna ngozi katika ubozi wako
CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu.Wapinzani kama CHADEMA ni wachumia tumbo na wasaka Tonge tu.
CCM ni Chama Cha MataahiraHakuna mwenye akili Timamu na anayejitambua vyema anayeweza kupoteza kura yake kwa kuwapigia kura CHADEMA.
TeteteteteAcha utoto dogo
Wanasikiliza NONDO nzito nzito juu kuhusiana na CCM na serikali yake iliyopo madarakani
CCM imewasaidia wachina hadi kuingia umoja wa Mataifa. Kwa hiyo lazima ujue CCM ni baba na mtetezi wa wanyonge.CCM inanini cha kuwafundisha CCP ya China?
yaani uwapige blahblah watu ambao wanajua kutengeneza kila kitu huku wewe hata sindano huwezi kutengeneza.
Mchina mwizi sana kona kona nyingiWanapanga namna ya kuidalalia nchi, mchina ni mzee wa madili.
CCM imewasaidia wachina hadi kuingia umoja wa Mataifa. Kwa hiyo lazima ujue CCM ni baba na mtetezi wa wanyonge.
Wachina wanawasoma tu, na ni kweli kabisa wanajua CCM na Mwenyekiti wao ni "Useful IDIOTS"; umewahi kuona wapi wajinga kama sisi? Mchina Maendeleo yake yote, Technology na Biashara zake nono anafanya na WEST; sisi tunakataa WEST halafu tunaenda kuomba kwa Wachina. Unajua wanakuonaje? You're the Useful Idiots.Ndugu zangu Watanzania,
CCM ni chama kiongozi,ni chama kilicho beba Matumaini ya watanzania,ni chama kilichobeba hatima ya Taifa letu,Ni bima ya watanzania na chama kilicho na heshima na kuheshimika ndani ya bara la Afrika na Duniani Kwote.
Embu angalia katika picha hii chini hapa yenye kupendeza ikionyesha wachina wakiongozwa na Mjumbe wa kamati kuu ya chama cha kikomunisti cha China(CPC) ndugu Tang Dengjie wakimsikiliza kwa umakini na usikivu wa hali ya juu Sana katibu mkuu wa CCM Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi Nahodha imara.
Mazungumzo hayo yalifanyika katika ofisi ndogo za CCM Lumumba jijini Dar, Mwishoni kwa wiki hii katika Ziara ya siku tatu hapa Nchini.View attachment 3024025
Ni lini umewahi kuona CHADEMA ikapata nafasi ya kupokea ujumbe mzito kama huu? Kwanza ni nani ndani ya CHADEMA atafanya na kuongoza mazungumzo na watu wazito kama hawa? Kama chama kinaendeshwa na kuwategemea watu kama akina Mdude Nyagali na kuwaona mashujaa wake .sasa ni nani mwenye akili Timamu na anayejitambua ataweza kwenda kwenye chama kama hicho aina ya CHADEMA?
Kwanza watatumia ofisi zipi? Au watapelekwa nyumbani kwa Mheshimiwa Mbowe ndio kufanyike mazungumzo? Nani atakwenda CHADEMA kuitembelea chama kinachomtuhumu kiongozi wake wa juu kuwa alinyweshwa na kununuliwa Makreti ya Bia akanywa mpaka usiku wa manane? Au mmesahau mara hii vituko na vichekesho vya uchaguzi wa kanda ya Nyasa?😃😃😃.
CCM itaendelea kuongoza Taifa hili kwa kadri ya Uhai wake.huwezi ukaitengaisha CCM na Tanzania ,kwa kufanya hivyo itakuwa ni sawa na kusema umchune mtu ngozi halafu utegemee abakie kuwa salama. Huo ndio UKWELI japo ni mchungu kwelikweli na naweza kuonekana mimi kama mwendawazimu au kichaa kwa kusema UKWELI huu.
CCM haitoki madarakani leo wala kesho wala kesho kutwa .ni CCM jana ,leo ,kesho na kwa kadri ya uhai wa Taifa letu. Hakuna Mtu wala chama chenye ubavu wala uwezo wala nguvu wala ushawishi wa kuitikisa CCM katika sanduku la kura .mtu na chama hicho hayupo na wala chama hicho hakipo na wala hakitakuwepo KAMWE.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama anatosha kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kwani Chadema ni Chama tawala?Ndugu zangu Watanzania,
CCM ni chama kiongozi,ni chama kilicho beba Matumaini ya watanzania,ni chama kilichobeba hatima ya Taifa letu,Ni bima ya watanzania na chama kilicho na heshima na kuheshimika ndani ya bara la Afrika na Duniani Kwote.
Embu angalia katika picha hii chini hapa yenye kupendeza ikionyesha wachina wakiongozwa na Mjumbe wa kamati kuu ya chama cha kikomunisti cha China(CPC) ndugu Tang Dengjie wakimsikiliza kwa umakini na usikivu wa hali ya juu Sana katibu mkuu wa CCM Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi Nahodha imara.
Mazungumzo hayo yalifanyika katika ofisi ndogo za CCM Lumumba jijini Dar, Mwishoni kwa wiki hii katika Ziara ya siku tatu hapa Nchini.View attachment 3024025
Ni lini umewahi kuona CHADEMA ikapata nafasi ya kupokea ujumbe mzito kama huu? Kwanza ni nani ndani ya CHADEMA atafanya na kuongoza mazungumzo na watu wazito kama hawa? Kama chama kinaendeshwa na kuwategemea watu kama akina Mdude Nyagali na kuwaona mashujaa wake .sasa ni nani mwenye akili Timamu na anayejitambua ataweza kwenda kwenye chama kama hicho aina ya CHADEMA?
Kwanza watatumia ofisi zipi? Au watapelekwa nyumbani kwa Mheshimiwa Mbowe ndio kufanyike mazungumzo? Nani atakwenda CHADEMA kuitembelea chama kinachomtuhumu kiongozi wake wa juu kuwa alinyweshwa na kununuliwa Makreti ya Bia akanywa mpaka usiku wa manane? Au mmesahau mara hii vituko na vichekesho vya uchaguzi wa kanda ya Nyasa?😃😃😃.
CCM itaendelea kuongoza Taifa hili kwa kadri ya Uhai wake.huwezi ukaitengaisha CCM na Tanzania ,kwa kufanya hivyo itakuwa ni sawa na kusema umchune mtu ngozi halafu utegemee abakie kuwa salama. Huo ndio UKWELI japo ni mchungu kwelikweli na naweza kuonekana mimi kama mwendawazimu au kichaa kwa kusema UKWELI huu.
CCM haitoki madarakani leo wala kesho wala kesho kutwa .ni CCM jana ,leo ,kesho na kwa kadri ya uhai wa Taifa letu. Hakuna Mtu wala chama chenye ubavu wala uwezo wala nguvu wala ushawishi wa kuitikisa CCM katika sanduku la kura .mtu na chama hicho hayupo na wala chama hicho hakipo na wala hakitakuwepo KAMWE.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama anatosha kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.