Tazama katika picha Wachina Wakimsikiliza Kwa Umakini Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi Katibu Mkuu wa CCM

Tazama katika picha Wachina Wakimsikiliza Kwa Umakini Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi Katibu Mkuu wa CCM

Wanasikiliza NONDO nzito nzito juu kuhusiana na CCM na serikali yake iliyopo madarakani

CCM inanini cha kuwafundisha CCP ya China?

yaani uwapige blahblah watu ambao wanajua kutengeneza kila kitu huku wewe hata sindano huwezi kutengeneza.
 
CCM inanini cha kuwafundisha CCP ya China?

yaani uwapige blahblah watu ambao wanajua kutengeneza kila kitu huku wewe hata sindano huwezi kutengeneza.
CCM imewasaidia wachina hadi kuingia umoja wa Mataifa. Kwa hiyo lazima ujue CCM ni baba na mtetezi wa wanyonge.
 
CCM imewasaidia wachina hadi kuingia umoja wa Mataifa. Kwa hiyo lazima ujue CCM ni baba na mtetezi wa wanyonge.

China ni moja ya Taifa lenye kura ya Veto pale UN council katika mataifa matano, Tanzania chini ya CCM pale UN-COUNCIL?.

Duniani watu hawaishi Kwa blahblah, Bali wanaishi kwa vitendo na mikakati imara.
 
Ndugu zangu Watanzania,

CCM ni chama kiongozi,ni chama kilicho beba Matumaini ya watanzania,ni chama kilichobeba hatima ya Taifa letu,Ni bima ya watanzania na chama kilicho na heshima na kuheshimika ndani ya bara la Afrika na Duniani Kwote.

Embu angalia katika picha hii chini hapa yenye kupendeza ikionyesha wachina wakiongozwa na Mjumbe wa kamati kuu ya chama cha kikomunisti cha China(CPC) ndugu Tang Dengjie wakimsikiliza kwa umakini na usikivu wa hali ya juu Sana katibu mkuu wa CCM Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi Nahodha imara.

Mazungumzo hayo yalifanyika katika ofisi ndogo za CCM Lumumba jijini Dar, Mwishoni kwa wiki hii katika Ziara ya siku tatu hapa Nchini.View attachment 3024025

Ni lini umewahi kuona CHADEMA ikapata nafasi ya kupokea ujumbe mzito kama huu? Kwanza ni nani ndani ya CHADEMA atafanya na kuongoza mazungumzo na watu wazito kama hawa? Kama chama kinaendeshwa na kuwategemea watu kama akina Mdude Nyagali na kuwaona mashujaa wake .sasa ni nani mwenye akili Timamu na anayejitambua ataweza kwenda kwenye chama kama hicho aina ya CHADEMA?

Kwanza watatumia ofisi zipi? Au watapelekwa nyumbani kwa Mheshimiwa Mbowe ndio kufanyike mazungumzo? Nani atakwenda CHADEMA kuitembelea chama kinachomtuhumu kiongozi wake wa juu kuwa alinyweshwa na kununuliwa Makreti ya Bia akanywa mpaka usiku wa manane? Au mmesahau mara hii vituko na vichekesho vya uchaguzi wa kanda ya Nyasa?😃😃😃.

CCM itaendelea kuongoza Taifa hili kwa kadri ya Uhai wake.huwezi ukaitengaisha CCM na Tanzania ,kwa kufanya hivyo itakuwa ni sawa na kusema umchune mtu ngozi halafu utegemee abakie kuwa salama. Huo ndio UKWELI japo ni mchungu kwelikweli na naweza kuonekana mimi kama mwendawazimu au kichaa kwa kusema UKWELI huu.

CCM haitoki madarakani leo wala kesho wala kesho kutwa .ni CCM jana ,leo ,kesho na kwa kadri ya uhai wa Taifa letu. Hakuna Mtu wala chama chenye ubavu wala uwezo wala nguvu wala ushawishi wa kuitikisa CCM katika sanduku la kura .mtu na chama hicho hayupo na wala chama hicho hakipo na wala hakitakuwepo KAMWE.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama anatosha kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wachina wanawasoma tu, na ni kweli kabisa wanajua CCM na Mwenyekiti wao ni "Useful IDIOTS"; umewahi kuona wapi wajinga kama sisi? Mchina Maendeleo yake yote, Technology na Biashara zake nono anafanya na WEST; sisi tunakataa WEST halafu tunaenda kuomba kwa Wachina. Unajua wanakuonaje? You're the Useful Idiots.

China Trade inategemea West 80%; Tanzania na west kwa sasa Negligible, upuuzi huu!!!!!!!!!

Hili Ramaphosa kaliona South Africa, yeye mwenyewe kawarudisha wazungu wafanye naye kazi. Unajua kwa nini; he doesn't want to be a useful idiot any longer!!
 
Ndugu zangu Watanzania,

CCM ni chama kiongozi,ni chama kilicho beba Matumaini ya watanzania,ni chama kilichobeba hatima ya Taifa letu,Ni bima ya watanzania na chama kilicho na heshima na kuheshimika ndani ya bara la Afrika na Duniani Kwote.

Embu angalia katika picha hii chini hapa yenye kupendeza ikionyesha wachina wakiongozwa na Mjumbe wa kamati kuu ya chama cha kikomunisti cha China(CPC) ndugu Tang Dengjie wakimsikiliza kwa umakini na usikivu wa hali ya juu Sana katibu mkuu wa CCM Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi Nahodha imara.

Mazungumzo hayo yalifanyika katika ofisi ndogo za CCM Lumumba jijini Dar, Mwishoni kwa wiki hii katika Ziara ya siku tatu hapa Nchini.View attachment 3024025

Ni lini umewahi kuona CHADEMA ikapata nafasi ya kupokea ujumbe mzito kama huu? Kwanza ni nani ndani ya CHADEMA atafanya na kuongoza mazungumzo na watu wazito kama hawa? Kama chama kinaendeshwa na kuwategemea watu kama akina Mdude Nyagali na kuwaona mashujaa wake .sasa ni nani mwenye akili Timamu na anayejitambua ataweza kwenda kwenye chama kama hicho aina ya CHADEMA?

Kwanza watatumia ofisi zipi? Au watapelekwa nyumbani kwa Mheshimiwa Mbowe ndio kufanyike mazungumzo? Nani atakwenda CHADEMA kuitembelea chama kinachomtuhumu kiongozi wake wa juu kuwa alinyweshwa na kununuliwa Makreti ya Bia akanywa mpaka usiku wa manane? Au mmesahau mara hii vituko na vichekesho vya uchaguzi wa kanda ya Nyasa?😃😃😃.

CCM itaendelea kuongoza Taifa hili kwa kadri ya Uhai wake.huwezi ukaitengaisha CCM na Tanzania ,kwa kufanya hivyo itakuwa ni sawa na kusema umchune mtu ngozi halafu utegemee abakie kuwa salama. Huo ndio UKWELI japo ni mchungu kwelikweli na naweza kuonekana mimi kama mwendawazimu au kichaa kwa kusema UKWELI huu.

CCM haitoki madarakani leo wala kesho wala kesho kutwa .ni CCM jana ,leo ,kesho na kwa kadri ya uhai wa Taifa letu. Hakuna Mtu wala chama chenye ubavu wala uwezo wala nguvu wala ushawishi wa kuitikisa CCM katika sanduku la kura .mtu na chama hicho hayupo na wala chama hicho hakipo na wala hakitakuwepo KAMWE.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama anatosha kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kwani Chadema ni Chama tawala?
 
Back
Top Bottom