Tazama katika picha watu walivyomiminika na kufurika kwa wingi katika Kumpokea Rais Samia Gairo Mkoani Morogoro

Tazama katika picha watu walivyomiminika na kufurika kwa wingi katika Kumpokea Rais Samia Gairo Mkoani Morogoro

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Screenshot_20240802-120245_1.jpg

Ndugu zangu Watanzania,
Muwe Mnaelewa tunapowaambia ya kuwa Rais Samia anakubalika,kupendwa na kuungwa mkono ni haijapata Kutokea. Amekaa katika mioyo ya watu mpaka watu wanabubujikwa na machozi ya furaha wamuonapo. Watu wanakuwa na hamu na kiu kubwa sana ya kumsikiliza Mama ili wapate neno.

Embu angalia kwa picha tu namna alivyopokewa kwa wingi na maelfu ya wananchi waliofurika na kumiminika kwa wingi utafikiri mchanga wa bahari ,kumlaki Rais wetu mpendwa eneo la Gailo mkoani Morogoro ambako ameingia kwa ajili ya Ziara ya kikazi.

Ikumbukwe ni siku chache tu alikuwa na ziara ndefu mikoa ya nyanda za juu kusini ,ambako nako alipata mapokezi makubwa na ya kihistoria kwa kupokelewa na maelfu kwa maelfu ya wananchi kwa kila alipopita na kufika.

Kwa hakika nyota njema huonekana asubuhi na Rais Samia ni Nyota njema inayoendelea kung'ara, kuangaza na kuleta nuru na matumaini kwa mamilioni ya Watanzania.
Screenshot_20240802-154701_1.jpg


Kazi iendelee Mama ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya Watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa Mama anatosha kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Screenshot_20240802-154542_1.jpg

Soma zaidi: Rais Samia anatarajiwa kufanya ziara ya siku sita mkoani Morogoro mwanzoni mwa mwezi Agosti
 

Attachments

  • Screenshot_20240802-154542.png
    Screenshot_20240802-154542.png
    586.9 KB · Views: 5
View attachment 3059434Ndugu zangu Watanzania,

Muwe Mnaelewa tunapowaambia ya kuwa Rais Samia anakubalika,kupendwa na kuungwa mkono ni haijapata Kutokea. Amekaa katika mioyo ya watu mpaka watu wanabubujikwa na machozi ya furaha wamuonapo. Watu wanakuwa na hamu na kiu kubwa sana ya kumsikiliza Mama ili wapate neno.

Embu angalia kwa picha tu namna alivyopokewa kwa wingi na maelfu ya wananchi waliofurika na kumiminika kwa wingi utafikiri mchanga wa bahari ,kumlaki Rais wetu mpendwa Eneo la Gailo mkoani Morogoro ambako ameingia kwa ajili ya Ziara ya kikazi.

Ikumbukwe ni siku chache tu alikuwa na ziara ndefu mikoa ya nyanda za juu kusini ,ambako nako alipata mapokezi makubwa na ya kihistoria kwa kupokelewa na maelfu kwa maelfu ya wananchi kwa kila alipopita na kufika.

Kwa hakika nyota njema huonekana asubuhi na Rais Samia ni Nyota njema inayoendelea kung'ara, kuangaza na kuleta nuru na matumaini kwa mamilioni ya watanzania.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama anatosha kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
mbona hawaja bubujikwa na machozi? Watakuwa hawampendi
 
View attachment 3059434
Ndugu zangu Watanzania,
Muwe Mnaelewa tunapowaambia ya kuwa Rais Samia anakubalika,kupendwa na kuungwa mkono ni haijapata Kutokea. Amekaa katika mioyo ya watu mpaka watu wanabubujikwa na machozi ya furaha wamuonapo. Watu wanakuwa na hamu na kiu kubwa sana ya kumsikiliza Mama ili wapate neno.

Embu angalia kwa picha tu namna alivyopokewa kwa wingi na maelfu ya wananchi waliofurika na kumiminika kwa wingi utafikiri mchanga wa bahari ,kumlaki Rais wetu mpendwa eneo la Gailo mkoani Morogoro ambako ameingia kwa ajili ya Ziara ya kikazi.

Ikumbukwe ni siku chache tu alikuwa na ziara ndefu mikoa ya nyanda za juu kusini ,ambako nako alipata mapokezi makubwa na ya kihistoria kwa kupokelewa na maelfu kwa maelfu ya wananchi kwa kila alipopita na kufika.

Kwa hakika nyota njema huonekana asubuhi na Rais Samia ni Nyota njema inayoendelea kung'ara, kuangaza na kuleta nuru na matumaini kwa mamilioni ya Watanzania.

Kazi iendelee Mama ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya Watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa Mama anatosha kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Soma zaidi: Rais Samia anatarajiwa kufanya ziara ya siku sita mkoani Morogoro mwanzoni mwa mwezi Agosti
Watu wamesombwa kwa malori tangia alfajiri wameahidiwa pilau, buku tano tano na usafiri wa kuwarudisha wataachaje kujaa ?
 
Watoto wa shule wamesombwa kwa kulazimishwa
Labda wewe ndio mtoto wa shule.Mikutano ya Rais Samia unajaza watu wa kila aina ambao hufurika kwa wingi kama mchanga wa baharini kwenda kumlaki mama yetu kipenzi. Hata wanafunzi huenda kwa wingi maana wanajuwa kuwa mama yao Daktari Samia ndio anawafanya wanasoka bure bila shida yoyote ile.
 
Editing hio
Wivu utawaua mwaka huu maana Mama anaendelea kuchanja mbuga katika mioyo ya mamilioni ya watanzania.ndio maana anaendelea kupata mapokezi mazito na makubwa kila apitako.
 
Back
Top Bottom