Tazama katika picha watu walivyomiminika na kufurika kwa wingi katika Kumpokea Rais Samia Gairo Mkoani Morogoro

Tazama katika picha watu walivyomiminika na kufurika kwa wingi katika Kumpokea Rais Samia Gairo Mkoani Morogoro

Kufa tu ndugu yangu maana naona umekaa kibarazani kupiga umbeya ukisubiri uleteewe kila kitu ulipokaa hapohapo.

Kazi ni kipimo cha utu.
utaanza kufa wewe mkuu,, naona hadi povu la kingo za mdomo linavokumiminika,,kunywa maji then relaaaax
 
Watu wamesombwa kwa malori tangia alfajiri wameahidiwa pilau, buku tano tano na usafiri wa kuwarudisha wataachaje kujaa ?
Endelea kubwabwaja tu kama hayawani. Mama anapendwa na kukubalika ndio maana anapata mapokezi mazito na makubwa,.ambapo watu wanahudhuria kwa hiyari yao wenyewe
 
utaanza kufa wewe mkuu,, naona hadi povu la kingo za mdomo linavokumiminika,,kunywa maji then relaaaax
Kufa tu ndugu yangu na wala hakuna atakayesikitika maana huna faida yoyote ile
 
Kufa tu ndugu yangu na wala hakuna atakayesikitika maana huna faida yoyote ile
nife ili mh akose wa kumpigia kura,,nawewe utaongezewa cheo utakua chawa pro max,,mimi mpiga kura jitahid unibembeleze bwan
 
Pamoja Kuwa Na Dhiki, Mahangaiko Ya Maisha, Ugumu Ila Wananchi Wamejitokeza Mbele
Wakibubujikwa Machozi, Na Kuvimba Macho, Vifua Vyao Vikiwa Chapachapa Hawaamini
Shukrani Sana Uongozi Wetu
 
Wananchi wana furaha sana na Rais Samia na wanampendaa sana kwasababu wameona namna hali ya kiuchumi ilivyo nzuri na yenye kutia matumaini wakati huu wa uongozi
Wananchi wana furaha sana na Rais Samia na wanampendaa sana kwasababu wameona namna hali ya kiuchumi ilivyo nzuri na yenye kutia matumaini wakati huu wa uongozi wake.
Usiwalazimishe kuwa na furaha,Sura zao zinaonyesha kukata tamaa kabisa.
 
Endelea kubwabwaja tu kama hayawani. Mama anapendwa na kukubalika ndio maana anapata mapokezi mazito na makubwa,.ambapo watu wanahudhuria kwa hiyari yao wenyewe
Hayawani ni wewe unayejidhalilisha kwa huu uchwara unaojaza humu, naona deiwaka ya daftari la wapiga kura imekwisha umerudi kwenye ujinga wako tena. ephen_
 
Mbinu za kusomba tulisha zizoea.Hebu abadili location ghafla basi uone: Mbowe alitoka gerezani akaenda Ikulu,kutoka pale akaelekea kwake kuona familia na keshokutwa yake Mwanza,Jiji shughuli zikasimama: Furahisha ikaelemewa na kama kawaida ya CCM mlikatalia uwanja wenu wa Kirumba.
 
Wengine wamesombwa na malori, wakidaiwa kuwa eti ni wahamasishaji toka Morogoro mjini!

Siyo maneno yangu, hata Mama mwenyewe aliuliza wanyooshe mikono, waliokuja toka Morogoro mjini!😅
CCM ni wajinga sn wanapenda maigizo na siyo uhalisia
 
Labda wewe ndio mtoto wa shule.Mikutano ya Rais Samia unajaza watu wa kila aina ambao hufurika kwa wingi kama mchanga wa baharini kwenda kumlaki mama yetu kipenzi. Hata wanafunzi huenda kwa wingi maana wanajuwa kuwa mama yao Daktari Samia ndio anawafanya wanasoka bure bila shida yoyote ile.
Huna akili shetani mkubwa, watoto wanasoma bure na wakati tunalipa kodi zinajenga madarasa zinalipa mishahara walimu n.k, UWT acheni ujinga wenu, si achenge shule zake asomeshe bure kwa pesa ake na aache kuiba pesa za umma ajihuzulu.
 
Wakati wa kugawa 10k, kofia, khanga, vitenge na t-shirt imewadia. Na wananchi walivyo na utindio wa ubongo watahadaika kwa hivyo vijisenti.
 
Naleo mtapata ajenda mpya ya kufeli TLS hv wakili mwenye akili awezi mpa kura mwambukusi
 
Back
Top Bottom