Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #61
Naona umetoka kujifukiza na kuingia humu bila breki.Unatoa sifa za kijinga tu wewe chawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona umetoka kujifukiza na kuingia humu bila breki.Unatoa sifa za kijinga tu wewe chawa
Naona umetoka kujifukiza na kuingia humu bila breki.Unatoa sifa za kijinga tu wewe chawa
Njaa unayo weweNjaaa na kukosa kazi..
Ujinga na umasikini..
Sawa uzuri ni kwamba wewe mwenyewe ni njaa imekufanya ukapandisha uzi.Njaa unayo wewe
View attachment 3059434
Ndugu zangu Watanzania,
Muwe Mnaelewa tunapowaambia ya kuwa Rais Samia anakubalika,kupendwa na kuungwa mkono ni haijapata Kutokea. Amekaa katika mioyo ya watu mpaka watu wanabubujikwa na machozi ya furaha wamuonapo. Watu wanakuwa na hamu na kiu kubwa sana ya kumsikiliza Mama ili wapate neno.
Embu angalia kwa picha tu namna alivyopokewa kwa wingi na maelfu ya wananchi waliofurika na kumiminika kwa wingi utafikiri mchanga wa bahari ,kumlaki Rais wetu mpendwa eneo la Gailo mkoani Morogoro ambako ameingia kwa ajili ya Ziara ya kikazi.
Ikumbukwe ni siku chache tu alikuwa na ziara ndefu mikoa ya nyanda za juu kusini ,ambako nako alipata mapokezi makubwa na ya kihistoria kwa kupokelewa na maelfu kwa maelfu ya wananchi kwa kila alipopita na kufika.
Kwa hakika nyota njema huonekana asubuhi na Rais Samia ni Nyota njema inayoendelea kung'ara, kuangaza na kuleta nuru na matumaini kwa mamilioni ya Watanzania.
Kazi iendelee Mama ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya Watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa Mama anatosha kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Soma zaidi: Rais Samia anatarajiwa kufanya ziara ya siku sita mkoani Morogoro mwanzoni mwa mwezi Agosti
Wewe zombie hata hujitambui kabisaNaona umetoka kujifukiza na kuingia humu bila breki.
Hmo kuna walimu 1000 walio sombwa na treni ya SGRView attachment 3059434
Ndugu zangu Watanzania,
Muwe Mnaelewa tunapowaambia ya kuwa Rais Samia anakubalika,kupendwa na kuungwa mkono ni haijapata Kutokea. Amekaa katika mioyo ya watu mpaka watu wanabubujikwa na machozi ya furaha wamuonapo. Watu wanakuwa na hamu na kiu kubwa sana ya kumsikiliza Mama ili wapate neno.
Embu angalia kwa picha tu namna alivyopokewa kwa wingi na maelfu ya wananchi waliofurika na kumiminika kwa wingi utafikiri mchanga wa bahari ,kumlaki Rais wetu mpendwa eneo la Gailo mkoani Morogoro ambako ameingia kwa ajili ya Ziara ya kikazi.
Ikumbukwe ni siku chache tu alikuwa na ziara ndefu mikoa ya nyanda za juu kusini ,ambako nako alipata mapokezi makubwa na ya kihistoria kwa kupokelewa na maelfu kwa maelfu ya wananchi kwa kila alipopita na kufika.
Kwa hakika nyota njema huonekana asubuhi na Rais Samia ni Nyota njema inayoendelea kung'ara, kuangaza na kuleta nuru na matumaini kwa mamilioni ya Watanzania.
Kazi iendelee Mama ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya Watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa Mama anatosha kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Soma zaidi: Rais Samia anatarajiwa kufanya ziara ya siku sita mkoani Morogoro mwanzoni mwa mwezi Agosti
Mimi ni mkulima kwa hiyo sina njaa kama wewe.Sawa uzuri ni kwamba wewe mwenyewe ni njaa imekufanya ukapandisha uzi.
Mtasema sana mwaka huu maana hiyo ni rasha rasha tu .mvua kubwa zinakuja .Watu wanaendelea kusimama na Rais Samia popote alipo.Hmo kuna walimu 1000 walio sombwa na treni ya SGR
Wewe ndiye hujitambui hata kidogo.Wewe zombie hata hujitambui kabisa
Wewe lini ulijitambimua na bado unaota njozi za kuteuliwa UDC?Wewe ndiye hujitambui hata kidogo.
Mjinga wewe huwa unanitafuta sn subiri utaonaNaona unafikiri wote ni walevi kama ulivyo wewe
Sababu unakuwa jangili wa mali za ummaukishakua mccm automatikale unakua na ma laana.
Nani akutafute wewe wakati inafahamika matatizo yako yanayokusumbuaMjinga wewe huwa unanitafuta sn subiri utaona
Muda siyo mrefu utapata matokeo ambayo siyo mazuri kwa upande wakoNani akutafute wewe wakati inafahamika matatizo yako yanayokusumbua
Najuwa siyo wewe unayezungumza bali ni hivyo ulivyopakia kichwani.Muda siyo mrefu utapata matokeo ambayo siyo mazuri kwa upande wako
Unatakiwa uni heshimu kama unataka kufanikiwaNajuwa siyo wewe unayezungumza bali ni hivyo ulivyopakia kichwani.
Watoto si luhusa kushiriki siasa IPO SIKU tutawapeleka The hangView attachment 3059434
Ndugu zangu Watanzania,
Muwe Mnaelewa tunapowaambia ya kuwa Rais Samia anakubalika,kupendwa na kuungwa mkono ni haijapata Kutokea. Amekaa katika mioyo ya watu mpaka watu wanabubujikwa na machozi ya furaha wamuonapo. Watu wanakuwa na hamu na kiu kubwa sana ya kumsikiliza Mama ili wapate neno.
Embu angalia kwa picha tu namna alivyopokewa kwa wingi na maelfu ya wananchi waliofurika na kumiminika kwa wingi utafikiri mchanga wa bahari ,kumlaki Rais wetu mpendwa eneo la Gailo mkoani Morogoro ambako ameingia kwa ajili ya Ziara ya kikazi.
Ikumbukwe ni siku chache tu alikuwa na ziara ndefu mikoa ya nyanda za juu kusini ,ambako nako alipata mapokezi makubwa na ya kihistoria kwa kupokelewa na maelfu kwa maelfu ya wananchi kwa kila alipopita na kufika.
Kwa hakika nyota njema huonekana asubuhi na Rais Samia ni Nyota njema inayoendelea kung'ara, kuangaza na kuleta nuru na matumaini kwa mamilioni ya Watanzania.View attachment 3059665
Kazi iendelee Mama ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya Watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa Mama anatosha kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.View attachment 3059670
Soma zaidi: Rais Samia anatarajiwa kufanya ziara ya siku sita mkoani Morogoro mwanzoni mwa mwezi Agosti
Nyie mnasomba kwa ndege sio?Mjinga mkubwa, kwamba wakati mnawasomba watu na malori tunakuwa tumelala?
Inatakiwa upokee ushauri wangu wa kupata matibabu ya dharura kwa haraka sana kabla hali yako haijawa mbaya na kushindikana kupata matibabu.Unatakiwa uni heshimu kama unataka kufanikiwa