Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #81
Kajifunze kwanza kuandika ndio uje tena hapa. luhusa ndio mdudu gani.Watoto si luhusa kushiriki siasa IPO SIKU tutawapeleka The hang
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kajifunze kwanza kuandika ndio uje tena hapa. luhusa ndio mdudu gani.Watoto si luhusa kushiriki siasa IPO SIKU tutawapeleka The hang
Wewe ndiye umejikatia Tamaa ,lakini mamilioni ya watanzania wana matumaini makubwa sana na uongozi wa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.Usiwalazimishe kuwa na furaha,Sura zao zinaonyesha kukata tamaa kabisa.
Watanzania wanafahamu ni nani na chama kipi kinafaa kuwaongoza. Watanzania wanafahamu ya kuwa ni CCM na Rais Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan mwenye uwezo wa kuwaongoza na kuwaletea maendeleo endelevuWakati wa kugawa 10k, kofia, khanga, vitenge na t-shirt imewadia. Na wananchi walivyo na utindio wa ubongo watahadaika kwa hivyo vijisenti.
FiksiWengine wamesombwa na malori, wakidaiwa kuwa eti ni wahamasishaji toka Morogoro mjini!
Siyo maneno yangu, hata Mama mwenyewe aliuliza wanyooshe mikono, waliokuja toka Morogoro mjini!😅
Tunashangaa mnavyohatarisha maisha ya wapiga kura wenu!Naona mnaanza kuweweseka baada ya kuona upepo mkali unaendelea kuvuma na kuteka mioyo ya mamilioni ya watanzania.
Tunahatarisha vipi .Tunashangaa mnavyohatarisha maisha ya wapiga kura wenu!
Binadamu siyo magunia ya viazi, wapewe heshima yao!Tunahatarisha vipi .
Sawa chief, upitie Lumumba ukusanye kitita cha wiki.Watanzania wanafahamu ni nani na chama kipi kinafaa kuwaongoza. Watanzania wanafahamu ya kuwa ni CCM na Rais Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan mwenye uwezo wa kuwaongoza na kuwaletea maendeleo endelevu
Pitia wewe ndugu yangu.mimi naendelea na kazi ya kilimo mikoani huku.Sawa chief, upitie Lumumba ukusanye kitita cha wiki.
Hatari sanaWatu wamesombwa kwa malori tangia alfajiri wameahidiwa pilau, buku tano tano na usafiri wa kuwarudisha wataachaje kujaa ?
Kwani wapi umeona wamepakiwa kama magunia.Binadamu siyo magunia ya viazi, wapewe heshima yao!
Mbona watoto wa shule ni wengi sana?View attachment 3059434
Ndugu zangu Watanzania,
Muwe Mnaelewa tunapowaambia ya kuwa Rais Samia anakubalika,kupendwa na kuungwa mkono ni haijapata Kutokea. Amekaa katika mioyo ya watu mpaka watu wanabubujikwa na machozi ya furaha wamuonapo. Watu wanakuwa na hamu na kiu kubwa sana ya kumsikiliza Mama ili wapate neno.
Embu angalia kwa picha tu namna alivyopokewa kwa wingi na maelfu ya wananchi waliofurika na kumiminika kwa wingi utafikiri mchanga wa bahari ,kumlaki Rais wetu mpendwa eneo la Gailo mkoani Morogoro ambako ameingia kwa ajili ya Ziara ya kikazi.
Ikumbukwe ni siku chache tu alikuwa na ziara ndefu mikoa ya nyanda za juu kusini ,ambako nako alipata mapokezi makubwa na ya kihistoria kwa kupokelewa na maelfu kwa maelfu ya wananchi kwa kila alipopita na kufika.
Kwa hakika nyota njema huonekana asubuhi na Rais Samia ni Nyota njema inayoendelea kung'ara, kuangaza na kuleta nuru na matumaini kwa mamilioni ya Watanzania.View attachment 3059665
Kazi iendelee Mama ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya Watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa Mama anatosha kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.View attachment 3059670
Soma zaidi: Rais Samia anatarajiwa kufanya ziara ya siku sita mkoani Morogoro mwanzoni mwa mwezi Agosti
Nimeona wakipakuliwa kwenye uwanja wa mkutano!Kwani wapi umeona wamepakiwa kama magunia.
Naona mnaendelea kuhamisha magoli tu.Mkutano ulifanyika kwenye uwanja wa shule. Wanafunzi walikuwa wengi mno.
Pia watu walisombwa kama kawaida. Bila kusomba watu na kutumia wasanii mkutano unakuwa na watu wachache mno.
Mpaka uwanja unahamishwa.Naona mnaendelea kuhamisha magoli tu.
Jinga mkubwa weweNyie mnasomba kwa ndege sio?
Umeanza ujinga wako?Inatakiwa upokee ushauri wangu wa kupata matibabu ya dharura kwa haraka sana kabla hali yako haijawa mbaya na kushindikana kupata matibabu.
Umeonana na daktari????Umeanza ujinga wako?