Tazama msururu wa Usajili wa CHADEMA Digital huko Rukwa

Tazama msururu wa Usajili wa CHADEMA Digital huko Rukwa

[emoji123][emoji818]SULUHU YA UMASKINI WA TOZONIA SIYO KUWAFUKUZA MACHINGA ROAD ....WALA CCM NOR CHADEMA ........

elimu ya kujitambua na kuweza kujiongoza ndiyo suluhu ya huu umotherfu****kin

Ongezea na reformation of constitution.
 
Wasiojuwa maana ya mwitiko kama huo unaojionyesha kwenye hiyo picha ni vizuri waendelee kutoelewa maana yake ni nini.
Itakuwa vizuri sana CCM wakiendelea kudharau umati wa watu wachache kiasi kile, kwani wao ni CHAMA KUBWA!

Hata sielewi maana ya mleta mada kama hii hapa ni nini hasa! Kuwaamusha waliolala au kujitafutia maumivu zaidi?

Habari kama hizi zinafaa kuwa ndani ya chama kwa sasa, huku juhudi hizo zikisambaa kila sehemu kama moto nyikani.
Nimekuelewa. Tufanye mambo yetu chini kwa chini. Inagwa picha kama hizi zinaleta hamasa pia
 
Back
Top Bottom