Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
na hicho ndicho kinachotokeakunguni wa kijani watajua hawajui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na hicho ndicho kinachotokeakunguni wa kijani watajua hawajui
AminaChadema ni mpango wa Mwenyezi Mungu ndiyo sababu iko mioyoni mwa Watanzania. Mwenyezi Mungu ibariki Chadema na Viongozi wake wote.
Tahadhari tu!mkuu Kalamu1 kulikoni ?
Watu kumi unakuwa msululu?
usihangaike na chawaAiseee!Halafu na wewe unajiita musomi wa CCM.Unaelewa ulicho kiandika.!!!Idiot.
Hana akili huyo jamaaWatu kumi unakuwa msululu?
Chadema chama cha magaidiChadema ni mpango wa Mwenyezi Mungu ndiyo sababu iko mioyoni mwa Watanzania wanaojitambua. Mwenyezi Mungu ibariki Chadema na Viongozi wake wote.
Hivi ni kweli umewaona kumi kweli ?Hana akili huyo jamaa
wewe unaipenda Chadema lkn ndo hivyo inakufa lkn hongera umeipigania mpaka tone la,mwishoHivi ni kweli umewaona kumi kweli ?
Jiwe alitenga hadi fungu la kuuwa Chadema , matokeo yake akafa yeye tena kizembe sana ! sasa zamu yako ndio imefika .wewe unaipenda Chadema lkn ndo hivyo inakufa lkn hongera umeipigania mpaka tone la,mwisho
Basi ni msalalaWatu kumi unakuwa msululu?
Watu kama vile wanapanga foleni ya ChanjoHii ndio Chadema na hapa ni Nkasi huko Rukwa leo tarehe 25/10/2021 , msululu huu ni wa wananchi walioamka alfajiri kupanga mistari mirefu ili kupata usajili wa Chadema digital .
Ni zaidi ya vitambulisho vya Nida.
View attachment 1986775
Nimekuelewa. Tufanye mambo yetu chini kwa chini. Inagwa picha kama hizi zinaleta hamasa piaWasiojuwa maana ya mwitiko kama huo unaojionyesha kwenye hiyo picha ni vizuri waendelee kutoelewa maana yake ni nini.
Itakuwa vizuri sana CCM wakiendelea kudharau umati wa watu wachache kiasi kile, kwani wao ni CHAMA KUBWA!
Hata sielewi maana ya mleta mada kama hii hapa ni nini hasa! Kuwaamusha waliolala au kujitafutia maumivu zaidi?
Habari kama hizi zinafaa kuwa ndani ya chama kwa sasa, huku juhudi hizo zikisambaa kila sehemu kama moto nyikani.
Wakishafika wanne tu ni Msululu in Kaijage's voiceHivi msururu huanzia watu wangapi?
Hawataweza kuzuia mafuriko kwa mikonoHii ndio Chadema na hapa ni Nkasi huko Rukwa leo tarehe 25/10/2021 , msululu huu ni wa wananchi walioamka alfajiri kupanga mistari mirefu ili kupata usajili wa Chadema digital .
Ni zaidi ya vitambulisho vya Nida.
View attachment 1986775