Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #41
Acha uongo wako hapa weweIla zile pikipiki alilalamika hadi wakampatia, naamini na hii mitungi watamkumbuka tu😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uongo wako hapa weweIla zile pikipiki alilalamika hadi wakampatia, naamini na hii mitungi watamkumbuka tu😅
Ondoa ukabila wako hapa weweNamwashambwa ukunyalisya!
Wivu, ubaguzi na chuki binafsi vinakusumbuaAna machungu na kwao Kizimkazi ambako anasisitiza ijengwe bandari kubwa kwa hela za Tanganyika.
Unguja na Pemba matibabu ni bure kwa asilimia mia, gharama zao za matibabu zinalipiwa na FEDHA za Watanganyika.
Unasemaje Madudu wakati unaona matokeo Chanya yaliyopatikanaSasa ilikuwaje wakasign madudu DP world?
Kwani Zanzibar ni bandari gani kawapa Waarabu?Wivu, ubaguzi na chuki binafsi vinakusumbua
Nani kakuambia kufumba macho? Kwani wewe huoni kuwa kasinzia?Hizo nyaraka hakupewa kabla na kuziangalia ili kwenye mkutano a concentrate na kinachoendelea ? Huenda nimekosea ila mara nyingine kufanya kitu pekee ni jambo moja ila kufanya kitu kwa wakati muafaka ni more beneficial (huenda huyo aliyefumba macho na full concentration bila distraction ndio akawa anafuatilia zaidi)
Looks can be deceiving especially kama zikichukuliwa out of context....
Kwani bandari gani hapa Nchini iliyogawiwa kwa wageni kama karanga za kuonja?Kwani Zanzibar ni bandari gani kawapa Waarabu?
Rais wetu anaelewa na ndio maana unaona mambo yote yakifanyika kwa ufanisi na umakiniishu sio kupitia Bali kuelewa
unaweza pitia na Ikawa ziro vilevile
Kwa watu ambao huwa tuna meditate hio pose inaweza kuonyesha umakini yaani unaondoa all disruptions zinazokusunguka yanabakia masikio ndio yanafanya kazi...; Nachotaka kukuonyesha ni kwamba picha kama hio inaweza ikatafsiriwa vyovyote vile hata unayesema ndio yupo tentative huenda ndio akaonekana anafanya yake badala ya kusikilizaNani kakuambia kufumba macho? Kwani wewe huoni kuwa kasinzia?
Bandari ya DSM. Amewapa DP WORLD bure kabisaKwani bandari gani hapa Nchini iliyogawiwa kwa wageni kama karanga za kuonja?
Hapo siyo Gest wala chumbani. Hapo ni mkutanoniKwa watu ambao huwa tuna meditate hio pose inaweza kuonyesha umakini yaani unaondoa all disruptions zinazokusunguka yanabakia masikio ndio yanafanya kazi...; Nachotaka kukuonyesha ni kwamba picha kama hio inaweza ikatafsiriwa vyovyote vile hata unayesema ndio yupo tentative huenda ndio akaonekana anafanya yake badala ya kusikiliza
Wivu tu ndio unakutesaHii nchi nina mashaka sana imevamiwa na wageni wengi, kuna mambo wanabisha kumpamba huyo maza enu mpaka unajiuliza hivi mtanzania anaweza fanya haya? Nadhani ile operation kimbunga ni muhimu CDF asisubiri maelekezo ya maza kunusuru hii nchi
I appreciate your concern, but you can't change the fact😁Acha kutetea uongo wa wazi
Yaani Mwashambwa unatabirika.Ndugu zangu Watanzania,
Kwa hakika tuna Rais Imara,kwa hakika Ikulu yetu Imepata Mtu Makini,shupavu , madhubuti,imara,hodari na Mwenye Utimamu wa Akili na Mwili. Tanzania tumepata Neema ya kuwa na Rais Anayejua nini anapaswa kufanya katika kuwakilisha Taifa letu .
Tumepata Neema na upendeleo wa kuwa na Rais Ambaye anajua wajibu wake na majukumu yake katika kutetea na kulinda Maslahi na heshima ya Taifa letu. Huyu Mama kwa hakika ni Mpango wa Mungu Mwenyewe. Siyo Binadamu wa kawaida . Ni mtu na Nusu. Anafanya kazi kwa umakini Utafikiri kafungiwa Mfumo wa kompyuta kichwani mwake.
Huwezi ukaona Rais wetu akizubaa zubaa awapo katika vikao muhimu na vya kimkakati.muda wote utaona Akipitia nyaraka neno kwa neno na kurasa moja baada ya nyingine. Ndio sababu hapitwi na jambo lolote lile,ndio maana Tanzania tumefaidika na mengi sana wakati huu wa uongozi wake.
Ndio maana Ushawishi wa Tanzania umeongezeka sana Duniani kwote ,ndio maana ya Mama yetu kuorodheshwa kuwa Miongoni Mwa wanawake mia moja wenye ushawishi na nguvu zaidi Duniani Kwote.
Embu Tazama kwa umakini pichani Rais wetu akiwa katika mkutano huko Addis Ababa Ethiopia akiwa makini akipitia nyaraka zake kurasa baada ya kurasa na neno baada ya neno kwa umakini wa hali ya juu sana. Lakini pia angalia mkono wa kulia wa Mama yetu kipenzi uone nini anakifanya huyo Mwingine.
Kama una macho mazuri yasiyo na upofu wa aina yoyote ile au matatizo ya aina yoyote ile utagundua kuwa huyo Mwingine pembeni ya RAIS wetu kipenzi anasinzia na wala hana habari na hizo nyaraka zilizopo mezani pake. Lakini ukitupa jicho kwa nyuma hapo unaona kuna mwingine yupo Bize na simu yake. Na wengine ni kama hata hawajui kama kuna karatasi na nyaraka wanazopaswa kuzipitia mezani pao kabla ya kuanza na kutoa michago yao.
Hapo ni lazima utegemee Rais wetu Mpendwa kuwa na mchango chanya na wenye tija na wenye kujenga kwelikweli,huku wengine wakiamka usingizini watakuja kuunga tu mkono hatuba na hoja za Mama yetu Mpendwa. Hii ndio maana Tanzania kwa kipindi hiki hatuwezi kuburuzwa na mtu yeyote yule kwa sababu tuna Rais na kiongozi makini na mwenye kuzungukwa na watu makini ambao wote wanakesha usiku na mchana kupigania maslahi ya Taifa letu na ustawi wa watanzania.
Kwa hakika CCM Imewapa kile watanzania wanahitaji katika mioyo yao . Imewapatia chaguo bora sana katika uchaguzi ujao.View attachment 3237142View attachment 3237143
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Natabirika nini.Yaani Mwashambwa unatabirika.
Kwani uchawa upo wapi hapo? Kwamba huoni aliyesinzia hapo?Uchawa ukizidi sana unakuwa kero Kwa jamii ya jamii forum