Tazama namna Rais wetu akipitia nyaraka kwa umakini mkubwa wakati wengine wakionekana pichani wakisinzia huko Ethiopia

Huo uzushi wenu ulishapitwa na wakati na watanzania wanaelewa ukweli ni upi. Ni Ninyi mlikuwa mnazusha uzushi kuwa bandari zote zimeuzwa kwa Mwarabu . Lakini leo kila mtanzania anafahamu kuwa ukweli ni upi.
 
Kila nikiwaza kutoka kuwa sijui office attendant mpaka kuwa rais wa Nchi. Mungu ni mkubwa hapo ulipo jipige kifuani kwamba Mungu hpo siku. Yani Professa Shivji, Dkt Bashiru wameshindwa kuwa Marais Nchi kachukua Mama. Acheni Mungu aitwe Mungu.
Rais wetu ni akili kubwa na ni Mpango wa Mungu Mwenyewe ambaye hutoa uongozi. Huoni Odinga wa Kenya kila akigombea nafasi yoyote ile ndani ya nje ya Nchi anaishia kushindwa
 
Acha uongo wako hapa wewe. Mtu anasinzia zake hapo halafu na wewe unaleta uongo wako hapa.
Mbona Wassira akisinzia mna sema hajasinzia isipokuwa anatafakari mambo mazito!!
Samia anasema hizo unataka, je anaelewa kilichoandikwa?
 
Rais wetu ni akili kubwa na ni Mpango wa Mungu Mwenyewe ambaye hutoa uongozi. Huoni Odinga wa Kenya kila akigombea nafasi yoyote ile ndani ya nje ya Nchi anaishia kushindwa
Samia aliwahi kugombea uchaguzi gani akashinda?
Hajawahi na ndio maana anaogopa kushindanishwa!
 
Haelewi kilichoandikwa...anatos macho kama umeingia paper hujui uanzaje....hata jina hajasndika hapo...kilaza mwa mwi....huruma teleee
 
Mbona Wassira akisinzia mna sema hajasinzia isipokuwa anatafakari mambo mazito!!
Samia anasema hizo unataka, je anaelewa kilichoandikwa?
Kwa sasa RAIS Samia ndio Nembo ya Afrika na ndiye kiongozi anayetegemewa kutoa mwelekeo katika masuala mazito.
 
Punguza sifa za kijinga

Halafu yeye atakuwa anategemea mbeleko ya vyombo vya dola.
Hata ije Tume ya uchaguzi kutoka Marekani bado CCM na Rais wetu Mpendwa Mama Samia atapita na kushinda kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…