Tazama namna Rais wetu akipitia nyaraka kwa umakini mkubwa wakati wengine wakionekana pichani wakisinzia huko Ethiopia

Hata ije Tume ya uchaguzi kutoka Marekani bado CCM na Rais wetu Mpendwa Mama Samia atapita na kushinda kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima
Kinachowafanya mpate jazba ikidaiwa tume huru ni nini?
 
Kwani Mbowe na Lissu walipita ubunge 2010 na 2015 kwa Tume ipi ya uchaguzi?
Wakati huo tume ilikuwa na aibu kwa mbali, toka aingie dhalimu magufuli, na sasa mama wa kambo tume imekuwa machawa ww ccm waziwazi. Usidhani kama wakati akina Lisu wakiwa wabunge kuwa watu walikuwa na imani na hiyo tume maana bado ilipindisha matokeo mengi tu, kama sio wananchi wa maeneo hayo kujitoa muhanga bado wasingekuwa wabunge.
 
Acha porojo zako hapa wewe . Mbona Mbowe aliposema muandamane hamkutoa pua zenu kuandamana. Unajua kwanini hamkuandamana? Kwa sababu hata nyie mnajua kuwa katiba mpya siyo kipaombele cha watanzania na wala halijawahi kuwa hitaji la muhimu kwa watanzania. Lakini pia Tume ya uchaguzi haiwezi kukupa ushindi kama hujashinda . Sasa Ninyi CHADEMA hamna hata sera wala ajenda za kugusa Maisha ya watu . Ni vipi sasa atapata kura za ndio na kuungwa mkono na watanzania hawa ambao wana imani kubwa na CCM na ambao wameahidi kuipa ushindi CCM kila uchaguzi mpaka mwisho wa Dunia
 
Naona unaandika ukhanithi mwingi ukidhani hayo matokeo ya kishenzi yanapotolewa tunakuwa hatujui ukweli. Ulitaka watu wakaandamane wakati polisi wameaigizwa kuwaua, mngetokea wanaccm mzuie cdm kuandamana na sio kuagiza polisi wenye silaha wakati wananchi hawana silaha. Tunapotaka tume huru ni ili uchaguzi halisi wa wananchi watakacho ili uje na huu upuuzi wako vizuri.
 
Kwa hiyo unaogopa kufa?
 
Kwa hiyo unaogopa kufa?
Kufa sio sifa. Ndio maana nataka wapinzani wakitangaza kuandamana kwakuwa hawana silaha, nyie wanaccm mjitokeze kuwazuia, kisha ww na mama Samia mkae mbele tuone jeuri yenu. Baada ya hapo kitakachokupata uone utachukua muda gani kuja kupost haya mashudu yako unayopost hapa.
 
Hahahahaa! Aisee, maisha ya uchawa ni magumu sana. Yaani hata akinya lazima tu useme tazama anavyokunya vizuri. Yaani, mtihani mkubwa sana. Ila kwakuwa mtu anakuwa kaamua maisha yake ni hivyo, sawa tu. Hongera sana Lucas Mwashambwa, kazi nzuri
 
Vip ile ya bandar nayo aliipitia kwa umakin hiv au alilala kama wenzie
 
Epuka kujadili wakuu wa nchi kama unazungumza na mashoga wenzio kina Mwijaku.

Unataka kupitiliza bwana mdogo!!
 
Epuka kujadili wakuu wa nchi kama unazungumza na mashoga wenzio kina Mwijaku.

Unataka kupitiliza bwana mdogo!!
Embu Toa ujinga wako hapa Wewe. Kuna NCHI wananchi wake walimtuma Rais wao Akasinzie huko ? Unajua kuwa mamlaka yote ya viongozi yanatoka kwa wananchi?
 
Kwanini huandamani yakitangazwa Maandamano? Kwanini unaogopa kufa kutetea unachokiamini? Je hutakufa siku moja hata usipoandamana? Wewe si huwa unajifanya huogopi kitu? Sasa unataka nani waandamane kwa niaba yako wewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…