Tazama picha 10 za jamaa aliyeangua kilio kikubwa kisa ataka kupiga picha na Diamond Platnumz

mkuu unajua kumeintein uselebrity ni kazi ngumu sana,

hata huyu wema kwenda GPL kufanya fujo nako najua ni mipango tu, hakuna zaidi!
 
Na utakuta hata kwenye msiba hua halii kabisa mchizii
Falaa kabisaa mamaeeee kilichomlizaa ni kipi sasa hapo akiombwa atatosa aisee kawaibishaa wanaume wenzieee

Ahahahaaaaaaa we ni hataree,kweli hapo akiambiwa ainame ni fasta anaokota karanga.
 
Huyu bila kupepesa macho ni shoga
 
Yaani huyu angekuwa ndugu yangu ningempa kichapo cha haja...bado sijaona kwa Tanzania celebrity wa kukufanya umuone utoe machozi ....
Ingawa nawarespect kwa kazi zao wanazofanya!
 
mkuu unajua kumeintein uselebrity ni kazi ngumu sana,

hata huyu wema kwenda GPL kufanya fujo nako najua ni mipango tu, hakuna zaidi!

Hata mi nahisi utakuwa mpango tu maana hata wema sepetu Kwenye kipindi chake eti kuna Mtoto alikuwa anashinda getini kumsubiria amuone tu ...
There 's sick people on this world.
 
Yaani pamoja na kuonekana daily ktk magazeti ya udaku bado anammiss domo kiasi hicho. Wana lao jambo sio bure
 
Da dume zima linamwaga chozi kwa shababi mwenziwe,jamaa amemuaibisha demu wake sana.
 

Uliona kwenye DVD ya UP IN SMOKE TOUR au?
 
Mmh kazi kweli kweli aisee, ukubwa toto tabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…