Tazama Ramani ndiyo uwe Wimbo wa Taifa, Mungu iwe Sala ya Taifa

Tazama Ramani ndiyo uwe Wimbo wa Taifa, Mungu iwe Sala ya Taifa

Hapo inaonyesha destination (kwamba utumwa wa nchi umekomeshwa) na pili kusema mtu mmoja ameokomesha tena ambae hayupo kwa sasa inaweza kuleta ukakasi,

Tatu naweza kukwambia haujakomeshwa na sasa hivi ndio kuna utumwa wa fikra ambao ni maradufu...

Nadhani wimbo wa Taifa haongelei destination bali continuotion ya mambo kwahio yaani una hope kuendelea kupata baraka.... ila tukija kwenye tune nadhani hakuna wimbo bora kwa sauti kama Italin Anthem ingawa lyrics zake leaves a lot to be desired.... (Hao ndio ungewashauri wabadilishe lyrics ziendane na 21st century); Ingawa likipigwa kabla ya mechi na timu yoyote pinzani lazima upandishe mzuka na morali....


View: https://youtu.be/vU_-IvNbfQ0?si=nF4V3rMINXxt78W3
 
Nyerere atolowe kwenye huo mwimbo badala yake wawekwe wananchi ndiyo wameukomesha utumwa wa nchi
 
Wabariki viongozi wake( ma dikteta, wahujumu uchumi, mafisadi, hawataki kuachia madaraka nk)
 
Mimi napendekeza ubaki ule ule ila pale kwenye Wabariko Viongozi tufute tuseme mbariki mama🐼
 
Hapo inaonyesha destination (kwamba utumwa wa nchi umekomeshwa) na pili kusema mtu mmoja ameokomesha tena ambae hayupo kwa sasa inaweza kuleta ukakasi,

Tatu naweza kukwambia haujakomeshwa na sasa hivi ndio kuna utumwa wa fikra ambao ni maradufu...

Nadhani wimbo wa Taifa haongelei destination bali continuotion ya mambo kwahio yaani una hope kuendelea kupata baraka.... ila tukija kwenye tune nadhani hakuna wimbo bora kwa sauti kama Italin Anthem ingawa lyrics zake leaves a lot to be desired.... (Hao ndio ungewashauri wabadilishe lyrics ziendane na 21st century); Ingawa likipigwa kabla ya mechi na timu yoyote pinzani lazima upandishe mzuka na morali....


View: https://youtu.be/vU_-IvNbfQ0?si=nF4V3rMINXxt78W3

Wanaweza kubadili baadhi ya maneno.
 
Back
Top Bottom