Zuhuraz
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 510
- 422
Atakuwa ana pigwa back to sender basi. Kama.anaroga basi ule uchawi anao waroga watoto wa wenzake utakuwa una mrudia yeye
Aamina [emoji2972]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakuwa ana pigwa back to sender basi. Kama.anaroga basi ule uchawi anao waroga watoto wa wenzake utakuwa una mrudia yeye
He is just dancing. Stop being a hater and get life bro ...He demonstrates the look of a person whose aura has been ganked.
# no hope for the future
# Lord have mercy.
Ukitazama choreography zake, it is either he is high or he is possessed.
# something has to be done now now now.
# bora Alubadiri ya mbayana kuliko Alubadiri ya kipakistani
we jamaa mungu anakuona na speculation zako za kijinga. i have seen nothing wrong in the videos.He demonstrates the look of a person whose aura has been ganked.
# no hope for the future
# Lord have mercy.
Ukitazama choreography zake, it is either he is high or he is possessed.
# something has to be done now now now.
# bora Alubadiri ya mbayana kuliko Alubadiri ya kipakistani
Nikiona mtoto wa kiume anaongea hv, najua hamna marinda kabisa.He can own your arss. Hater!!
Kwahiyo siku hizi ukibambia unatumia unga kama ni hivyo wengi tutakuwa tunatumia unganikiangalia na huyoo zuchu nae atakuwa ameanza kutumia unga.
Huwezi kuona kwa sababu huna macho ya kuona.we jamaa mungu anakuona na speculation zako za kijinga. i have seen nothing wrong in the videos.
mimi huwa simkubali diamond na majanga yoyote atakayopitia kwangu itakuwa furaha. ila kwa hili umetupiga na kitu kizito kichwani.
Ndio hivyo mnavyoamini, He can be kicked out kwenye hizo ventures na asiondoke na hata kumi unafanya mchezo na watoto wa mjini... kama washauri wake ni akina babu tale watu ambao hawana any corporate management skills zaidi ya kubwabwaja na kuloga...HAPO ALIPO UNAWEZA UKAKUTA hata hajalipia share na hana share certificate...wahuni wanamuacha tuu afurahie jina kwenye kitabuHuyo ndio Diamond Platnumz, CEO and owner of Wasafi Media, Wasafi Bet, Chota Mihela etc. A person who had every excuse to give up but persisted until he found success.
You can decide whether to hate him or be inspired!
Upo sawa Diamond amekua na muonekano wa wala unga,..."anatomy" ya fuvu lake la kichwa na "facial muscles".He demonstrates the look of a person whose aura has been ganked.
# no hope for the future
# Lord have mercy.
Ukitazama choreography zake, it is either he is high or he is possessed.
# something has to be done now now now.
# bora Alubadiri ya mbayana kuliko Alubadiri ya kipakistani
View attachment 2278332
View attachment 2278333
Hivi unadhani hela ya kununua Rolls Royce ambayo thamani yake si chini ya 1.5B hapo ujazungumzia kodi ya TRA diamond hiyo hela anaipatia wapi? Kanunua hotel pale mikocheni unadhani hela anatoa wapi?Ndio hivyo mnavyoamini, He can be kicked out kwenye hizo ventures na asiondoke na hata kumi unafanya mchezo na watoto wa mjini... kama washauri wake ni akina babu tale watu ambao hawana any corporate management skills zaidi ya kubwabwaja na kuloga...HAPO ALIPO UNAWEZA UKAKUTA hata hajalipia share na hana share certificate...wahuni wanamuacha tuu afurahie jina kwenye kitabu
Huyu jamaa awe makini, namshauri kwa upande wake aajiri the biggest corporate consulting firms zimuwekee mambo yake sawa mapema. Hapa nnaongelea makampuni kama Deloite, PWC au EY
Wewe jamaa unaongozwa na chuki badala ya hoja ila kumbuka aliyekuzidi hela kakuzidi tuI say
Yes jamaa ana muonekano wa teja kabisa without missing a wordUpo sawa Diamond amekua na muonekano wa wala unga,..."anatomy" ya fuvu lake la kichwa na "facial muscles".
Tuombe isiwe kweli,lakini kwa wajuzi wa mjini na wenye exposure ya "Drug addicts" people wanaelewa
We ndo msukuma wa ugaibuni Nyani Ngabu ?Obviously nothing wrong at all with the Bongoflava singer. He’s just doing his thing. You must the one high on some cheap beer; making up stuff including words that have no real meaning. What does «ganked» mean?