Yani utafurahi binadamu mwenzako akipata matatizo!! Hii nchi watu wenye matatizo ya akili ni wengi sanawe jamaa mungu anakuona na speculation zako za kijinga. i have seen nothing wrong in the videos.
mimi huwa simkubali diamond na majanga yoyote atakayopitia kwangu itakuwa furaha. ila kwa hili umetupiga na kitu kizito kichwani.
we jamaa mungu anakuona na speculation zako za kijinga. i have seen nothing wrong in the videos.
mimi huwa simkubali diamond na majanga yoyote atakayopitia kwangu itakuwa furaha. ila kwa hili umetupiga na kitu kizito kichwani.
Hao walii loga wamefika level zake??Si bora angeroga kawaida tu kama wanavyo roga wenzake.
What has gained? Nothing..
We ni haiterI don't hate him.
He neither own wasafi media nor wasafi bet.
# siwezi kuwa inspired na teja..please accord me some respeck
ndio tumezoeshwa hivyoPesa kidogo tu amekuwa mjenzi huru bongo nyoso sana