Tazama vile ubunifu wa maendeleo Tanzania unavyokwamishwa na Polisi na TRA kwa kuendekeza Ukoloni

Tazama vile ubunifu wa maendeleo Tanzania unavyokwamishwa na Polisi na TRA kwa kuendekeza Ukoloni

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Maendeleo yoyote husukumwa na ubunifu! (Creativity)

Ili mwanasayansi agundue lazima asukumwe kufanya ubunifu!

Ili mfanya biashara atambulishe fursa lazime atangulize ubunifu!

Ubunifu ni Imani ya kutarajia suruhisho!

Endapo watu wakiongozwa kwa vitisho na sheria mbovu Imani hiyo ya ubunifu Hufa katika mioyo yao!

Nitatoa mfano!

Huko marekani wabunifu waliobuni gari ambalo likiwa kwenye foleni linachomoza matairi yake kunyanyuka zaidi halafu linatembea kwenye korridor ya foleni bila kuathiri magari mengine yaliyopo kwenye foleni.

Ukitazama chimbuko ya ubunifu huo unatokana na weledi Na sheria za kipolisi kuwa rafiki inchini kwao!

Ingekuwa hapa Tanzania bongo ufanye hayo kwenye foleni, Polisi watakuandama hata ikiwezekana utafuatiliwa na difenda kama zote na kuhojiwa kibabe.....Arooh inamaana unaharaka sana kuliko wenzako!....paki pembeni...Toa leseni yako...ruka kichurachura na hata gari lenyewe wataling'oa na plate number kabisa!

Hapo utaona kabisa! Hata kama wabunifu wakiwepo, hawawezi kuwekeza project kama hii kwasababu ya kuhisi haitapokelewa sokoni na hao polisi

Mfano wa pili ni biashara!

Leo hii mhitimu wa chuo akitaka kufungua kampuni, Brela watamchaji pesa kibao ili kumsajili wakati hata biashara yenyewe wakati huo hajaanza!
Akitoka hapo atakwenda TRA, huko nako kabla ya kupata TIN watampa fomu kibao ajaze, na wanayohoji ni yaleyale ambayo yalijazwa brela! na watampa makadirio ambayo atatakiwa kulipa kabla hata biashara yenyewe hajaanza!

Sasa mtu anayekuja kujisajili unamwambia Alipe makadirio yepi wakati hajaanza hata hiyo biashara yenyewe?

Wakati kwanza ilitakiwa TRA wawe Automatically link na BRELA, Ili kampuni ikishasajiliwa brela na kupewa certificate, moja kwa moja huko TRA nao waione na kuipa TIN ya msamaha wa mda (Online and automatic process)! ili baadae ndipo TRA wakachukue chao baada ya mteja wao kuanza biashara!

Mtu huyo tena akitoka TRA akiwa tax clearance aende kwenye mamlaka za leseni nako atozwe pesa wakati biashara bado!

Akitoka hapo aende kwenye taasisi husika kujisajili nako wamkamue pesa na mambo kedekede ya kuambatanisha!

Hapo ndipo utagundua ubunifu upo sana afrika lakini Tunauwana wenyewe kwa sheria za kikoloni kutoka kwenye mamlaka! Na haya ndiyo huchangia rushwa na udanganyifu!
 
Siku moja tulikuwa singida, kukawa kuna msafara gari zilisimamishwa, lakini pembeni kuna service road kama njia ya ng'ombe! Ambayo inakwenda kipande kirefu tu.

Jamaa mmoja akasema tupite njia hii ya ng'ombe ili kuokoa muda.

Polisi walitufuata huko huko kwenye njia ya ng'ombe na kuamuru tusubili msafara hadi upite, wakati msafara unapita juu kwenye lami, na sisi tulikuwa pembeni kabisa njia ya ng'ombe.
 
hii nchi kwny suala la technolojia bado sana,,nilishangaa cku nimeenda makao makuu ya NIDA pale nawaambia majna yamekosewa kwny ID yangu wao wananambia eti system zao haziko linked nationalwide yan wao hapa dar hawana taarifa za raia ambae kajiandikishia Dodoma. how comes mshindwe???
 
hii nchi kwny suala la technolojia bado sana,,nilishangaa cku nimeenda makao makuu ya NIDA pale nawaambia majna yamekosewa kwny ID yangu wao wananambia eti system zao haziko linked nationalwide yan wao hapa dar hawana taarifa za raia ambae kajiandikishia Dodoma. how comes mshindwe???
Aisee kwa hawana system moja! Na unakuta wame ridhika kabisa na matisheti yao ya NIDA
 
hii nchi kwny suala la technolojia bado sana,,nilishangaa cku nimeenda makao makuu ya NIDA pale nawaambia majna yamekosewa kwny ID yangu wao wananambia eti system zao haziko linked nationalwide yan wao hapa dar hawana taarifa za raia ambae kajiandikishia Dodoma. how comes mshindwe???
Watanzania tunapenda sana anasa. Teknolojia kwetu ya nini? Mbona kabla ya hizi Teknolojia tuliishi vizuri tu tena maisha yalikuwa nafuhu na yenye furaha na uhalifu ulikuwa chini sana.

Tusiendekeze anasa
 
Watanzania tunapenda sana anasa. Teknolojia kwetu ya nini? Mbona kabla ya hizi Teknolojia tuliishi vizuri tu tena maisha yalikuwa nafuhu na yenye furaha na uhalifu ulikuwa chini sana.

Tusiendekeze anasa

kumbe kutumia technolojia ni anasa duh. watu mlozaliwa vijijin mna akili za kibushmen sana. yaan zaman waziri alikua anasafiri na gar kutoka dar-dodoma ili kupeleka barua (anajaziwa mafta gar,dereva analipwa posho,yy mwenywe analipwa posho plus pesa za malazi na chakula safarini) lakn leo hii hyo hyo barua inatumwa kutoka dar-dom kwa email (kitendo cha sekunde 2 tu na bando la buku) kwa sababu ya technolojia. Huon hapi kuna gharama kibao zimeokolewa?

watu kama wewe mkipewaga madaraka ndo mnakuaga na maamuz ya ajab ajab kama alivokuwa jiwe sabab ya ushamba na ulimbukeni wenu wa kuyajulia mambo ukubwani. mwenzako jiwe alizuia paypal akiamin kwamba ni njia ya watu kutakatika fedha. hayo yote ilikuwa n sababu ya ushamba wake na lack of exposure! BADILIKENI
 
kumbe kutumia technolojia ni anasa duh. watu mlozaliwa vijijin mna akili za kibushmen sana. yaan zaman waziri alikua anasafiri na gar kutoka dar-dodoma ili kupeleka barua (anajaziwa mafta gar,dereva analipwa posho,yy mwenywe analipwa posho plus pesa za malazi na chakula safarini) lakn leo hii hyo hyo barua inatumwa kutoka dar-dom kwa email (kitendo cha sekunde 2 tu na bando la buku) kwa sababu ya technolojia. Huon hapi kuna gharama kibao zimeokolewa?

watu kama wewe mkipewaga madaraka ndo mnakuaga na maamuz ya ajab ajab kama alivokuwa jiwe sabab ya ushamba na ulimbukeni wenu wa kuyajulia mambo ukubwani. mwenzako jiwe alizuia paypal akiamin kwamba ni njia ya watu kutakatika fedha. hayo yote ilikuwa n sababu ya ushamba wake na lack of exposure! BADILIKENI
Usiombe ndo awe kiongozi wa taasisi
 
kumbe kutumia technolojia ni anasa duh. watu mlozaliwa vijijin mna akili za kibushmen sana. yaan zaman waziri alikua anasafiri na gar kutoka dar-dodoma ili kupeleka barua (anajaziwa mafta gar,dereva analipwa posho,yy mwenywe analipwa posho plus pesa za malazi na chakula safarini) lakn leo hii hyo hyo barua inatumwa kutoka dar-dom kwa email (kitendo cha sekunde 2 tu na bando la buku) kwa sababu ya technolojia. Huon hapi kuna gharama kibao zimeokolewa?

watu kama wewe mkipewaga madaraka ndo mnakuaga na maamuz ya ajab ajab kama alivokuwa jiwe sabab ya ushamba na ulimbukeni wenu wa kuyajulia mambo ukubwani. mwenzako jiwe alizuia paypal akiamin kwamba ni njia ya watu kutakatika fedha. hayo yote ilikuwa n sababu ya ushamba wake na lack of exposure! BADILIKENI
Hamna bana, watanzania tunaendekeza sana anasa kwa mambo ya kijingajinga tu. Teknojia kwetu ni anasa baas. Tunapenda vitu vikubwavikubwa uwezo hatuna.

Tuna mapori makubwa so vast and virgin yako kibwerebwerere tu badala ya kwenda kuyaclear na kufanya shughuli za kilimo na ufugaji. Tunabakia kukimbilia anasa.
 
Hamna bana, watanzania tunaendekeza sana anasa kwa mambo ya kijingajinga tu. Teknojia kwetu ni anasa baas. Tunapenda vitu vikubwavikubwa uwezo hatuna.

Tuna mapori makubwa so vast and virgin yako kibwerebwerere tu badala ya kwenda kuyaclear na kufanya shughuli za kilimo na ufugaji. Tunabakia kukimbilia anasa.

Ipo sku hyo akili yako ya kishamba itabadilika na ndo utailewa hii comment. mabilionaire wanaoongoza kwa utajiri dunian wote n watu wa mitandao check bill get,mark zuberg,Ellon musk,Jeff bezos kat ya hao kuna yyte anayelima huko porini unakosemea ww?
 
Ipo sku hyo akili yako ya kishamba itabadilika na ndo utailewa hii comment. mabilionaire wanaoongoza kwa utajiri dunian wote n watu wa mitandao check bill get,mark zuberg,Ellon musk,Jeff bezos kat ya hao kuna yyte anayelima huko porini unakosemea ww?

isingekuwa technolojia ww ungeweza kuandika hapa jukwaan? ungeweza kutumia Jamii Forum? ungeeweza kuunga band0? au unajikosha kujisahaulisha?
 
Unachanganya mambo mkuu, Tanzania tunatumia mfumo wa Self Assessment kwa makampuni na mtu binafsi mwenye mauzo zaidi ya 100mil au chini yake ila akawa amechagua kutengeneza ritani za mizania.

Self assessment system inahitaji mfanyabiashara kujikadiria mwenyewe mwaka wa biashara unapoanza, na kuleta ritani za mizania ndani ya miezi sita baada ya mwaka kuisha. Sheria pia imetoa ukomo wa mtu kutunza kumbukumbu kuwa ziwe miaka mitano, na ukaguzi wa hizo ritani za kipindi cha miaka mitano.

Naishia hapo kwa leo.
 
Ipo sku hyo akili yako ya kishamba itabadilika na ndo utailewa hii comment. mabilionaire wanaoongoza kwa utajiri dunian wote n watu wa mitandao check bill get,mark zuberg,Ellon musk,Jeff bezos kat ya hao kuna yyte anayelima huko porini unakosemea ww?
Sawa hao uliowataja ni wa huko. Usiwe na jazba sana bwana mdogo unapojibizana na aliyekuzidi umri, hela, exposure na elimu.

Ukilinganisha maisha ya Watanzania wa zamani na wa sasa hivi ni tofauti kabisa.

Hizi teknolojia uchwara zimewafanya watanzania wawe maskini zaidi ukilinganisha na zamani ka za hizi teknolojia sijui mainternet sijui nini.

Mtanzania haitaji teknolojia ni anasa kwake penda usipende ukweli ni huo. Tujikite kwenye kilimo uvuvi na ufugaji ndo njia pekee itatukomboa.

Too young to understand how serious things are!
 
Unachanganya mambo mkuu, Tanzania tunatumia mfumo wa Self Assessment kwa makampuni na mtu binafsi mwenye mauzo zaidi ya 100mil au chini yake ila akawa amechagua kutengeneza ritani za mizania.

Self assessment system inahitaji mfanyabiashara kujikadiria mwenyewe mwaka wa biashara unapoanza, na kuleta ritani za mizania ndani ya miezi sita baada ya mwaka kuisha. Sheria pia imetoa ukomo wa mtu kutunza kumbukumbu kuwa ziwe miaka mitano, na ukaguzi wa hizo ritani za kipindi cha miaka mitano.

Naishia hapo kwa leo.
Sasa anapoanza analipia makadirio kwa faida IPI? Mtu anaanza hizo assessment analipiaje kutoka wapi
 
Sawa hao uliowataja ni wa huko. Usiwe na jazba sana bwana mdogo unapojibizana na aliyekuzidi umri, hela, exposure na elimu.

Ukilinganisha maisha ya Watanzania wa zamani na wa sasa hivi ni tofauti kabisa.

Hizi teknolojia uchwara zimewafanya watanzania wawe maskini zaidi ukilinganisha na zamani ka za hizi teknolojia sijui mainternet sijui nini.

Mtanzania haitaji teknolojia ni anasa kwake penda usipende ukweli ni huo. Tujikite kwenye kilimo uvuvi na ufugaji ndo njia pekee itatukomboa.

Too young to understand how serious things are!
Wote tuwe wakulima halafu mahindi utamuuzia nani!? Utasaga mahindi wapi ili yawe unga
 
Na wengine ni BANK... issue ndogo tu.. utaskia... NENDA TAWI ULILOFUNGULIA ACCOUNT... hapo upo Mtwara... Tawi ulofungulia lipo BIHARAMULO...
hii nchi kwny suala la technolojia bado sana,,nilishangaa cku nimeenda makao makuu ya NIDA pale nawaambia majna yamekosewa kwny ID yangu wao wananambia eti system zao haziko linked nationalwide yan wao hapa dar hawana taarifa za raia ambae kajiandikishia Dodoma. how comes mshindwe???
 
Bado tuna safari ndefu sana ukishaona Faini za barabarani na zenyewe ni chanzo cha mapato na wanafurahia kabisa kutoa taarifa eti mwezi huu tumekusanya sijui bilioni kadhaa huu ni upuuzi,Mungu atusamehe tu hii nchi inashida sana ,ubunifu zero tulibakia kujipendekeza tu na kumwimbia bwana yule mkuu wa malaika wa chattle , hakuna strategies hakuna mikakati by the way hakuna succession plan ilimradi tunaenda tu ,watu hawaamini tena kwenye professionalism bali kujipendekeza tu
 
Bado tuna safari ndefu sana ukishaona Faini za barabarani na zenyewe ni chanzo cha mapato na wanafurahia kabisa kutoa taarifa eti mwezi huu tumekusanya sijui bilioni kadhaa huu ni upuuzi,Mungu atusamehe tu hii nchi inashida sana ,ubunifu zero tulibakia kujipendekeza tu na kumwimbia bwana yule mkuu wa malaika wa chattle , hakuna strategies hakuna mikakati by the way hakuna succession plan ilimradi tunaenda tu ,watu hawaamini tena kwenye professionalism bali kujipendekeza tu
Usipolipa wanayafata magari gereji na parking wanabandua plate number
 
Watanzania tunapenda sana anasa. Teknolojia kwetu ya nini? Mbona kabla ya hizi Teknolojia tuliishi vizuri tu tena maisha yalikuwa nafuhu na yenye furaha na uhalifu ulikuwa chini sana.

Tusiendekeze anasa
Ili kuprove hilo ungeanza na kutupa hiyo simu na kufuta account yako ya jf kama technology ni anasa.

no offense.
 
Back
Top Bottom