Tazama vile ubunifu wa maendeleo Tanzania unavyokwamishwa na Polisi na TRA kwa kuendekeza Ukoloni

Naomba kujua jinsia yako .... Kama ni Dada ndio unaongea hivi nakusamehe ila kama ni wakiume aisee hicho kizazi ulichonacho kiunoni unakwenda kukitesa bora ubaki na kichwa kuliko huo ubongo ulionao.... HAUNA THAMANI
 
Naomba kujua jinsia yako .... Kama ni Dada ndio unaongea hivi nakusamehe ila kama ni wakiume aisee hicho kizazi ulichonacho kiunoni unakwenda kukitesa bora ubaki na kichwa kuliko huo ubongo ulionao.... HAUNA THAMANI
 
Nadhani hili limekaa kinidhamu zaidi.
 
Na wengine ni BANK... issue ndogo tu.. utaskia... NENDA TAWI ULILOFUNGULIA ACCOUNT... hapo upo Mtwara... Tawi ulofungulia lipo BIHARAMULO...

Ebhana eeeeh hii inchi ina vituko. kuna account ya bank fulan nilifungulia Tanga. sasa nikahamia dodoma. sku moja nikatama kubadili namba yangu ya simbanking, nkaenda kwny bank yao.pale dodoma et wakanambia kubadili namba n lazma uende tawi ulilofungulia account!!!!asww nilimwangalia yule dada mpaka nikachoka ghafla.
 
yaan huyu ana tatzo moja tu! n kwamba KAZALIWA KIJIJINI,KAKULIA KIJIJIN NA BADO ANAISHI KIJIJINI. hana exposure yyte kama alivokuwa babake jiwe
 
Naomba kujua jinsia yako .... Kama ni Dada ndio unaongea hivi nakusamehe ila kama ni wakiume aisee hicho kizazi ulichonacho kiunoni unakwenda kukitesa bora ubaki na kichwa kuliko huo ubongo ulionao.... HAUNA THAMANI

yan huyu jamaa sjui yuko shinyanga sehem gan mana sio kwa akili za kijima hizi asee
 
Yaan wamekariri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…