Binadam tunalalia vitanda asilimia kubwa ni mbao! Ebu waza idadi ya kaya mtaani kwako halafu uzidishe kwa taifa zima utagundua ni miti mingi imepotea kutengenezea hivyo vitanda!
Waza idadi ya majumba, kila nyumba ina milango ya mbao, kenchi za mbao, madilisha ya mbao na makabati ya mbao hakika utaona miti inavyotufaa wanadam!
Wakati unawaza utaenda kulewa wapi, ebu fikilia ni bar ngapi zinakaunta ya miti na mbao!
Wale mabaharia wenzangu tunaokula kwa mamalishe, ebu waza kuni na mkaa wa mama lishe vimetokana na miti ile ile enzi na enzi!
Ebu waza tena kwa idadi ya watu waliopo ambapo tz kama 60mil jaribu kufikilia nusu yao 30mil mathalani ni wakristo wakija kufariki watahitaji kuzikwa na jeneza la mbao!
SASA JIULIZE hivi kwa umhimu wote huu kwanini usipande hata mti mmoja na wewe hapo ulipo?
Hata kama hautakusaidia wewe jaribu kuwaza hata ndege utawasaidia pa kutua!
Unapofurahi kivuli cha mti wakati huu wa jua Kali, kumbuka kuna mtu kama wewe aliupanda mti huo, kama hakuupanda basi alizuia usikatwe!
Kwa umri huo ni aibu sana kuwa miongoni mwa watu ambao hawajawahi kupanda mti hata mmoja hapa duniani!
Ukitaka umri mrefu penda miti&misitu, miti na misitu inachangia uhai kuongezeka, miti ni chakula, dawa na ni chanzo kikuu cha oksjeni!
Ukitaka kujua umhimu wa oksjeni ilivyo na gharama kubwa muulize mtu aliyeugua covid akawekewa mitungi ya hewa!
Sasa unashindwaje kupanda mti hata mmoja!
Hata kama eneo siyo lako nakushauri panda mti hata kando ya njia;
Usiogope mti wako kuja kukatwa, wewe panda kwanza hayo mengi baadae!
Waza idadi ya majumba, kila nyumba ina milango ya mbao, kenchi za mbao, madilisha ya mbao na makabati ya mbao hakika utaona miti inavyotufaa wanadam!
Wakati unawaza utaenda kulewa wapi, ebu fikilia ni bar ngapi zinakaunta ya miti na mbao!
Wale mabaharia wenzangu tunaokula kwa mamalishe, ebu waza kuni na mkaa wa mama lishe vimetokana na miti ile ile enzi na enzi!
Ebu waza tena kwa idadi ya watu waliopo ambapo tz kama 60mil jaribu kufikilia nusu yao 30mil mathalani ni wakristo wakija kufariki watahitaji kuzikwa na jeneza la mbao!
SASA JIULIZE hivi kwa umhimu wote huu kwanini usipande hata mti mmoja na wewe hapo ulipo?
Hata kama hautakusaidia wewe jaribu kuwaza hata ndege utawasaidia pa kutua!
Unapofurahi kivuli cha mti wakati huu wa jua Kali, kumbuka kuna mtu kama wewe aliupanda mti huo, kama hakuupanda basi alizuia usikatwe!
Kwa umri huo ni aibu sana kuwa miongoni mwa watu ambao hawajawahi kupanda mti hata mmoja hapa duniani!
Ukitaka umri mrefu penda miti&misitu, miti na misitu inachangia uhai kuongezeka, miti ni chakula, dawa na ni chanzo kikuu cha oksjeni!
Ukitaka kujua umhimu wa oksjeni ilivyo na gharama kubwa muulize mtu aliyeugua covid akawekewa mitungi ya hewa!
Sasa unashindwaje kupanda mti hata mmoja!
Hata kama eneo siyo lako nakushauri panda mti hata kando ya njia;
Usiogope mti wako kuja kukatwa, wewe panda kwanza hayo mengi baadae!