Tazama vile viumbe tunavyotumia mbao kwa wingi! Lakini kuna mtu humu hajawahi hata kufikilia kupanda mti hata mmoja

Mti mmoja unakadiriwa kuchangia kuongeza afya na uhai wa mtu kwa asilimia 1%-2%!

Inamaanisha binadamu tukiwekeza msituni tunaweza ongeza umri wa kuishi kwa asilimia kubwa sana!
Tatizo ni haya yanayoongoza nchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…