Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uoande wa pili huuoni kabisa maanapengine huna uwezo wa kuliona hilo.Huo mfano wako hauna mantiki kabisa kwenye hili swala tafuta mfano mwingine.Suala la malori linagusa maisha ya watu wengi moja kwa moja tofauti na hiyo treni.
Unapolazimisha uwe sahihi,je umezingatia suala LA bei? Mzigo ukichukuliwa na lorry unakuwa na bei kubwa vs treni ambapo bei ni ndogo.Huo mfano wako hauna mantiki kabisa kwenye hili swala tafuta mfano mwingine.Suala la malori linagusa maisha ya watu wengi moja kwa moja tofauti na hiyo treni.
Mimi nashangaa Bunge letu, hasa wabunge wa mikoa reli inapita kuanzua Morigiri, Iringa, Njombe, Mbeya na Singwe.Hujuma tu
Its as if viongozi wetu hawalioni hilo.Nchi zote cargo train ndo hulipa zaidi reli kuliko passenger
Viongozi wengi wa Serikali ni mabepari! Hivyo usikute hata hayo malori yakawa mengi ni ya kwao.Kwa kweli sielewi. Kama ni hujuma basi ni kubwa sana. Kwamba Serikali haioni jinsi malori ya wafanyabiashara wanavyoirarua babara ya TANZAM , haingii akilini.
Kwamba Serikali haioni jinsi TAZARA inavyozidi kudorora huku mizigo inachukuliwa na wafanyabiashara, haingii akilini.
Wafanyabiashara wa usafirishaji na viongozi fulani inaelekea wako dugu moja.
Kwamba Serikali ipo, na viongozi wapo na hakuna hatua yoyote inachukuliwa, haingii akilini.
Lawama zangu ni kwa viongozi wangu, tena wa kitaifa.
Ukweli na Uwazi.
Acha uzwazwa wewe, huko duniani matreni yapo na maroli yapo vilevileMnafahamu hayo malori yanatoa ajira kwa watu wengi kiasi gani??kuanzia madereva,mafundi,wauza mafuta,matairi,spare parts,mama ntilie,waosha magari na wengineo.Mizigo yote ikibebwa na treni hiyo workforce yote mna sehemu ya kuipeleka???
Unadhani hujuma kwa TAZARA ikifanyika itakuwa inafananaje?Kwahiyo mleta mada ulitaka serikali ipigd marufuku malori kubeba mizigo ndipo uridhike? Ukiritimba ktk biashara siyo fasheni ya karne hii.
TAZARA wanapaswa kujiongeza kwa kupunguza bei, kupunguza mlolongo wa upakiqji mizigo na kuongeza usalama wa mizigo. Vinginevya reli hiyo itaingia kwenye vyuma chakavu.
Tatizo akili zako fupi,Mimi sijapinga uwepo wa treni kubeba mizigo.Njia zote za usafirishaji zinaexist kwa pamojaAcha uzwazwa wewe, huko duniani matreni yapo na maroli yapo vilevile
Nadhani una ufahamu mdogo kuhusu kinachoongelewa hapa.Mnafahamu hayo malori yanatoa ajira kwa watu wengi kiasi gani??kuanzia madereva,mafundi,wauza mafuta,matairi,spare parts,mama ntilie,waosha magari na wengineo.Mizigo yote ikibebwa na treni hiyo workforce yote mna sehemu ya kuipeleka???
Inasikitisha, hakuna mtu wa kuusemea huu mradi.Sasa ni dhahiri inamopita reli hiyo hakuna viongozi
Kuchelewa si hoja, suala la msingi hapa ni serikali ina mipango ipi kufufua TAZARA.Mbona umechelewa sana kung'amua hili ?
Ni suala la kujiuliza kwa kweli.Kwa kweli sielewi. Kama ni hujuma basi ni kubwa sana. Kwamba Serikali haioni jinsi malori ya wafanyabiashara wanavyoirarua babara ya TANZAM , haingii akilini.
Kwamba Serikali haioni jinsi TAZARA inavyozidi kudorora huku mizigo inachukuliwa na wafanyabiashara, haingii akilini.
Wafanyabiashara wa usafirishaji na viongozi fulani inaelekea wako dugu moja.
Kwamba Serikali ipo, na viongozi wapo na hakuna hatua yoyote inachukuliwa, haingii akilini.
Lawama zangu ni kwa viongozi wangu, tena wa kitaifa.
Ukweli na Uwazi.
Inaelekea kuna viongozi wako mifukoni mwa wafanyabiashara wakubwa wa sekta ya usafirishaji.Huu udumila kuwili wa viongozi ndio unakera.
Iko hivo hujuma ndio deal, huoni hata copper inasafirishwa Kwa maloriKwa kweli sielewi. Kama ni hujuma basi ni kubwa sana. Kwamba Serikali haioni jinsi malori ya wafanyabiashara wanavyoirarua babara ya TANZAM , haingii akilini.
Kwamba Serikali haioni jinsi TAZARA inavyozidi kudorora huku mizigo inachukuliwa na wafanyabiashara, haingii akilini.
Wafanyabiashara wa usafirishaji na viongozi fulani inaelekea wako dugu moja.
Kwamba Serikali ipo, na viongozi wapo na hakuna hatua yoyote inachukuliwa, haingii akilini.
Lawama zangu ni kwa viongozi wangu, tena wa kitaifa.
Ukweli na Uwazi.
TAZARA kila mtu achukue kipande chake. Kule Zambia waziri anayehusika na hii reli, akiingia tu madarakani, husemekana hupewa vipande vya fedha. Sisi huku tumeitupa.Kwa kweli sielewi. Kama ni hujuma basi ni kubwa sana. Kwamba Serikali haioni jinsi malori ya wafanyabiashara wanavyoirarua babara ya TANZAM , haingii akilini.
Kwamba Serikali haioni jinsi TAZARA inavyozidi kudorora huku mizigo inachukuliwa na wafanyabiashara, haingii akilini.
Wafanyabiashara wa usafirishaji na viongozi fulani inaelekea wako dugu moja.
Kwamba Serikali ipo, na viongozi wapo na hakuna hatua yoyote inachukuliwa, haingii akilini.
Lawama zangu ni kwa viongozi wangu, tena wa kitaifa.
Ukweli na Uwazi.
Ni wazo jema.TAZARA kila mtu achukue kipande chake. Kule Zambia waziri anayehusika na hii reli, akiingia tu madarakani, husemekana hupewa vipande vya fedha. Sisi huku tumeitupa.