genius
JF-Expert Member
- Mar 15, 2011
- 428
- 337
TB Joshua alitabiri hili janga la corona tangu mwaka 2008 na amekuwa akikumbusha kila baada ya muda fulani.
Kwasasa yuko anaomba Mungu kwajili ya ulimwengu mzima ili Mwenyezi Mungu aturehemu na kutuponya na janga hili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwasasa yuko anaomba Mungu kwajili ya ulimwengu mzima ili Mwenyezi Mungu aturehemu na kutuponya na janga hili.
Sent using Jamii Forums mobile app