😂😂naona umebeti mkeka ambao unajua ni lazima uteme iwe isiwe.asante, ngoja tumsubiri maana korona ku subside in the pandemic epidemiological sense ni kama miaka 2 hivi
a real GTHii noma sana, yani jamaa kaishajua kua kanisani kwake ambako alikua anawafanyia waumini miujiza sio sehemu salama kaamua kuingia chaka
Na huyo ni mjanja wengi wanajua kaingia chaka kwa ajili ya kuomba lakini ukweli ni kwamba jamaa kajitenga na jamii ili kunusuru afya yake. Nyomi ya watu pale lagos ingeweza kumsababishia maambukizi kwaiyo namna pekee ya kuepuka ni kuingia mitini
Mkitaka kuona kua jamaa anajitenga na wananchi ili kuukwepa ugonjwa basi raia waongezeke huko milimani utaona kama hajatafuta chimbo lingine
Hakuna manabii sku hizi wizi tu hao unabii wao unaelekezwa tumboni nakujilimbikizia mali tuSijui kwanini mie siwaamini hawa manabii wa siku hizi, heri nife na dhambi zangu tu.
Kazi kweli kweli mkuuHakuna manabii sku hizi wizi tu hao unabii wao unaelekezwa tumboni nakujilimbikizia mali tu
shame...
Sent using My COVID-19
🤣🤣🤣🤣Haya makanisa mengine mchungaji anakuambia nitafunga kwaajili yako. Unamnunulia juice ya Ribena na tray ya mayai kwa kufungulia.
Msanii huyu dua lake haliwezi kusababisha Corona Virus ipate kuondoka duniani anajidanganya huyu.Kiongozi na Mwanzilishi wa Kanisa la 'The Synagogue Church of All Nations', Temitope Balogun Joshua maarufu kama T. B. Joshua ameamua kupambana na #COVID19 kwa maombi
Inadaiwa T. B. Joshua alipata upungufu mkubwa wa uaminifu kutoka kwa Watu siku chache baada ya utabiri wake kuwa Machi 27, 2020 virusi vya Corona vitapotea duniani kutotimia
Hata hivyo, licha ya kukaa kimya juu ya masuala yanayohusu #CoronaVirus yasiyotabirika, kiongozi huyo wa dini inaonekana alikuwa akipambana na virusi kimya kimya
Picha zinazozunguka mtandaoni zinamuonesha akiwa katika harakati kubwa za kufunga na kusali Milimani akidaiwa ni ili kuhakikisha Ulimwengu unarejea katika hali ya awali