TB Joshua kuzikwa Julai 11

TB Joshua kuzikwa Julai 11


Mwili wa TB Joshua unatarajiwa kuzikwa Mwezi huu, Nchini Nigeria

Kwa Mujibu wa ripoti kutoka Nchini Humo TB Joshua atapumzishwa kwenye Makazi yake ya Milele Siku ya Jumapili (julai 11, 2021).

Ikumbukwe TB Joshua alifariki dunia akiwa na umri wa miaka 57 mwaka huu juni, 5 nchini humo.

Taratibu za mazishi zitaanza hii leo saa 12 jioni kwa saa za Nigeria na kuruka live kupitia runinga ya Kanisa hilo ambayo ni Emmanuel TV.

TB Joshua ndiye mwanzilishi wa kanisa la Synagogue Church of All Nations (Scoan) na kituo cha televisheni cha Emmanuel TV ambacho amekuwa akikitumia katika mahubiri yake na kuwavutia watu wa mataifa mbalimbali.

PIA SOMA:
Yaani bado hajazikwa?
 
5 bila mkuu, sio mbili bila.

Heaven Sent ameelezea vizuri sana. Kuna jamaa tulikua tunafanya nae kazi, tukatumiwa email amefiwa na Mama yake, kwenda asubuhi kazini, namkuta yupo na anaendelea na kazi. Tukashtuka, kumbe wao mazishi sio ghafla kama kwetu, wanaweza kukaa hata miezi miwili au mitatu.

Na wakati huo hapo katikati ni full ubwabwa na finyango za kutosha kutegemea na hadhi ya aliyefariki na uwezo wa familia.

Huo utamaduni nikasema sasa hapo unakuta mtu kafiwa na jamaa wa mbali hafiki ofisini anatuma sms tu, ukikuta boss kama huyo si anakushangaa?
Ndio nikaona umuhimu wa kujifunza na kuelewa tamaduni za wengine.
 
5 bila mkuu, sio mbili bila.

Heaven Sent ameelezea vizuri sana. Kuna jamaa tulikua tunafanya nae kazi, tukatumiwa email amefiwa na Mama yake, kwenda asubuhi kazini, namkuta yupo na anaendelea na kazi. Tukashtuka, kumbe wao mazishi sio ghafla kama kwetu, wanaweza kukaa hata miezi miwili au mitatu.

Na wakati huo hapo katikati ni full ubwabwa na finyango za kutosha kutegemea na hadhi ya aliyefariki na uwezo wa familia.

Huo utamaduni nikasema sasa hapo unakuta mtu kafiwa na jamaa wa mbali hafiki ofisini anatuma sms tu, ukikuta boss kama huyo si anakushangaa?
Ndio nikaona umuhimu wa kujifunza na kuelewa tamaduni za wengine.
Pia inaleta matabaka na conflict bila sababu,kama familia uwezi mdogo na mtu mmoja anataka kujitutumua atawapa stress za bure maana hapo ni hela zinatumika na kifo huja ghafla sio kama harusi
 
Pia inaleta matabaka na conflict bila sababu,kama familia uwezi mdogo na mtu mmoja anataka kujitutumua atawapa stress za bure maana hapo ni hela zinatumika na kifo huja ghafla sio kama harusi

Waislam kuna mambo mawili walishachukua ushindi mapema sana.

1. Hili la mazishi, ukishafariki kinachoangaliwa ni uhifadhiwe haraka iwezekanavyo bila mbwembwe.

2. Ndoa, wao hapo wanaangalia wazazi wameridhia? Mahari na kisha shughuli ikamilike mbele ya mashahidi, iwepo chai ys rangi na kashata au maandazi, twende, wao wanachojali itifaki imezingatiwa unakabidhiwa mlimbwende.

Stress free
 
Waislam kuna mambo mawili walishachukua ushindi mapema sana.

1. Hili la mazishi, ukishafariki kinachoangaliwa ni uhifadhiwe haraka iwezekanavyo bila mbwembwe.

2. Ndoa, wao hapo wanaangalia wazazi wameridhia? Mahari na kisha shughuli ikamilike mbele ya mashahidi, iwepo chai ys rangi na kashata au maandazi, twende, wao wanachojali itifaki imezingatiwa unakabidhiwa mlimbwende.

Stress free
Kweli hapo walitupiga bao ,kuna vijana wengi wa kikristo wanashindwa kuoa sababu ya urasimu na gharama
 
Kweli hapo walitupiga bao ,kuna vijana wengi wa kikristo wanashindwa kuoa sababu ya urasimu na gharama

Wengi wanaamua ku shake well before use, wanasogezana maisha yanaendelea. Kuna haja ya kuangalia upya utaratibu wa haya mambo katika jamii zetu.
 

Mwili wa TB Joshua unatarajiwa kuzikwa Mwezi huu, Nchini Nigeria

Kwa Mujibu wa ripoti kutoka Nchini Humo TB Joshua atapumzishwa kwenye Makazi yake ya Milele Siku ya Jumapili (julai 11, 2021).

Ikumbukwe TB Joshua alifariki dunia akiwa na umri wa miaka 57 mwaka huu juni, 5 nchini humo.

Taratibu za mazishi zitaanza hii leo saa 12 jioni kwa saa za Nigeria na kuruka live kupitia runinga ya Kanisa hilo ambayo ni Emmanuel TV.

TB Joshua ndiye mwanzilishi wa kanisa la Synagogue Church of All Nations (Scoan) na kituo cha televisheni cha Emmanuel TV ambacho amekuwa akikitumia katika mahubiri yake na kuwavutia watu wa mataifa mbalimbali.

PIA SOMA:
Kama taifa la Tanzania, habari hii inatuhusu nini?
 
Ukiacha suala la mahari ambalo kwetu inabidi mtu ajipange; nafikiri suala la sherehe kubwa au ndogo linategemea zaidi na utashi wa mtu binafsi. Two of my friends wamefunga ndoa mwaka huu; mmoja ndoa ilifungwa kanisani, tukala ubweche hapohapo na mambo yakaisha. Wa pili yeye baada ya kufunga ndoa, alitualika dinner jioni mahali, tukaufinya yakawa yameisha. So anayetaka sherehe kubwa ni yeye tu, kwa sababu hata Waislam wenye titles wengi, naonaga wanafanya wedding receptions za kukata na shoka

Ngono imekuwa rahisi sana, so vijana wanaona wasogezane waendelee kushake well kwa urahisi. As a matter of fact suala la ndoa, sio issue ya mtu kuwa na utayari wa kifedha; linahitaji utayari wa kiroho, kiakili na kimwili pia. So wapo waislamu wanaishi pamoja, na ndoa hawajafunga. Unajiuliza hawa wenzetu ndoa zao zilivyo rahisi hivyo, ni nini kinawazuia kufunga ndoa? Possibly mwingine hayupo tayari kufunga ndoa kwa wakati huo, ila mbususu anaitaka kwa raha zake.
Kweli hapo walitupiga bao ,kuna vijana wengi wa kikristo wanashindwa kuoa sababu ya urasimu na gharama
Wengi wanaamua ku shake well before use, wanasogezana maisha yanaendelea. Kuna haja ya kuangalia upya utaratibu wa haya mambo katika jamii zetu.
 
Eeh yaani maandalizi ya mazishi yanaendele; ila maisha mengine ya kawaida yanaendelea pia kama kawaida.
5 bila mkuu, sio mbili bila.

Heaven Sent ameelezea vizuri sana. Kuna jamaa tulikua tunafanya nae kazi, tukatumiwa email amefiwa na Mama yake, kwenda asubuhi kazini, namkuta yupo na anaendelea na kazi. Tukashtuka, kumbe wao mazishi sio ghafla kama kwetu, wanaweza kukaa hata miezi miwili au mitatu.

Na wakati huo hapo katikati ni full ubwabwa na finyango za kutosha kutegemea na hadhi ya aliyefariki na uwezo wa familia.

Huo utamaduni nikasema sasa hapo unakuta mtu kafiwa na jamaa wa mbali hafiki ofisini anatuma sms tu, ukikuta boss kama huyo si anakushangaa?
Ndio nikaona umuhimu wa kujifunza na kuelewa tamaduni za wengine.
 
Ukiacha suala la mahari ambalo kwetu inabidi mtu ajipange; nafikiri suala la sherehe kubwa au ndogo linategemea zaidi na utashi wa mtu binafsi. Two of my friends wamefunga ndoa mwaka huu; mmoja ndoa ilifungwa kanisani, tukala ubweche hapohapo na mambo yakaisha. Wa pili yeye baada ya kufunga ndoa, alitualika dinner jioni mahali, tukaufinya yakawa yameisha. So anayetaka sherehe kubwa ni yeye tu, kwa sababu hata Waislam wenye titles wengi, naonaga wanafanya wedding receptions za kukata na shoka

Ngono imekuwa rahisi sana, so vijana wanaona wasogezane waendelee kushake well kwa urahisi. As a matter of fact suala la ndoa, sio issue ya mtu kuwa na utayari wa kifedha; linahitaji utayari wa kiroho, kiakili na kimwili pia. So wapo waislamu wanaishi pamoja, na ndoa hawajafunga. Unajiuliza hawa wenzetu ndoa zao zilivyo rahisi hivyo, ni nini kinawazuia kufunga ndoa? Possibly mwingine hayupo tayari kufunga ndoa kwa wakati huo, ila mbususu anaitaka kwa raha zake.
Ni kweli ulosema ika wazazi toka moshi too much.kuna binti nilmpenda ile kuniambia dada yake alilipiwa mahari milioni tano niliogopa
 
Hahaha ungeenda tu ukazijue mbivu na mbichi. Wakati mwingine sisi mabinti tunakomaa home hadi mahari inashushwa aisee.
Ni kweli ulosema ika wazazi toka moshi too much.kuna binti nilmpenda ile kuniambia dada yake alilipiwa mahari milioni tano niliogopa
 
Hahaha ungeenda tu ukazijue mbivu na mbichi. Wakati mwingine sisi mabinti tunakomaa home hadi mahari inashushwa aisee.

Sent from my SM-P601 using JamiiForums mobile app
Nilimtafutia visa nikamtema kimasihara,huyo jamaa aliyelipa milioni tano angekuwa anajiweza ningesema walifanya vile sababu ana pesa ,jamaa ana life ya kawaida tu,nikajua na mimi sichomoki humo kwenye mil 5
 
Wewe ungemwambia binti huna hiyo 5M, kama angekuwa anataka kuolewa na wewe, angepambana home hadi wangekubali. Brod angu kaoa mchagan, binti alipambana kwao akawaambia kabisa, mkimtajia hela kubwa ndiyo siolewi, sitowaelewa.
Nilimtafutia visa nikamtema kimasihara,huyo jamaa aliyelipa milioni tano angekuwa anajiweza ningesema walifanya vile sababu ana pesa ,jamaa ana life ya kawaida tu,nikajua na mimi sichomoki humo kwenye mil 5
 
Wewe ungemwambia binti huna hiyo 5M, kama angekuwa anataka kuolewa na wewe, angepambana home hadi wangekubali. Brod angu kaoa mchagan, binti alipambana kwao akawaambia kabisa, mkimtajia hela kubwa ndiyo siolewi, sitowaelewa.
Dingi yake mkoloni na mshika mila hodari sidhani kama angeshusha nilikuwa nafanya kazi taasisi kubwa ila mshahara mdogo plus mkopo juu,yule mzee asingeelewa
 
Wengi wanaamua ku shake well before use, wanasogezana maisha yanaendelea. Kuna haja ya kuangalia upya utaratibu wa haya mambo katika jamii zetu.
Mbona wakristo huoana ibada ya asubuhi bila mbwembwe ukiona watu wasingizia gharama hao sio waoaji, hafu ndoa za waiskamu kutoa talaka ni easy tu wanaoana na kuachana easily tofauti na wakristo ukioa mara Moja ni nitolee.
 
Dingi yake mkoloni na mshika mila hodari sidhani kama angeshusha nilikuwa nafanya kazi taasisi kubwa ila mshahara mdogo plus mkopo juu,yule mzee asingeelewa
Hawa wazazi wengine; ndiyo unakuta binti anaamua kujihamishia kwa mwanaume kwa mkopo.
 
Nigeria hukaa mda mrefu na marehemu wao Hadi hata miezi sita na huwa sherehe kubwa hamna lia lia na kujigaragaza ka huku bongo

Okay,
Wapopo wana mila mila sana, ni kama sherehe za harusi wanaweza fanya hata tatu na mbwembwe kibao za kuenzi tamaduni za makabila yao
 
Back
Top Bottom