kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Serikali inayojitekenya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Milioni 500 kwenye ujenzi mkubwa ni pesa ya kawaida sana"milioni 500 kwa ajili ya ujenzi wa nyumba ya Mkuu wa Wilaya Uvinza miaka mitano iliyopita"
Nataka nipate kazi huko TBA na mimi nile mema ya nchi.
Milioni 500 katika ujenzi mkubwa ni fedha ya kawaida mkuu"milioni 500 kwa ajili ya ujenzi wa nyumba ya Mkuu wa Wilaya Uvinza miaka mitano iliyopita"
Nataka nipate kazi huko TBA na mimi nile mema ya nchi.
TBA na SUMA JKT wamepewa miradi mingi ya ujenzi na mingi wanashindwa kuikamilisha.
Wapeni sekta binafsi hiyo miradi.
Mkuu nyumba ya mkuu wa wilaya kwa mil500 si sawa kwa nchi yetu, bado hatujafikia huko, unless wanajenga ikulu ndogo huko uvinza, kwa mikoani hasa vijijini kupata eneo zuri kwa kujenga ni rahisi sana mi nafikiri kwa nyumba ya mkuu wa wilaya mil150 zingetosha, wewe ukipewe mil75 huko uviza utashusha nyumba nzuri yenye nafasi hadi mkuu wa wilaya atahama kwenye kontena na kuja kupanga kwakoMilioni 500 katika ujenzi mkubwa ni fedha ya kawaida mkuu
Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
Sound true, maana kandarasi wanalipwa kwa certificates. Kama walilipwa 500M wakati value ya kazi si ya kiasi hicho tuanze na hao waliolipa. Unless the foundation was of the paid value.Uongo mtupu. Haiwezekani milioni 500 nyumba iwe kwenye msingi
Wewe na waziri mkuu aliyetembelea huo msingi Nani mkweli?Uongo mtupu. Haiwezekani milioni 500 nyumba iwe kwenye msingi
Kwa sisi wajasiliamali milioni 500 inatoa apartments 20 kwa kodi ya laki 500 kwa mwezi. Hili ni ghorofa la sakafu tatu kwenda juu.Jamani hivi nyumba ya mtumishi wa umma kugharimu milioni 500 ni jambo la kawaida hili?
Hii inamaanisha vijana tusitarajie kujenga au?
Huenda ikawa ghorofa mojaJamani hivi nyumba ya mtumishi wa umma kugharimu milioni 500 ni jambo la kawaida hili?
Hii inamaanisha vijana tusitarajie kujenga au?
MaguChato ana roho mbaya sana. Aliona sekta binafsi inafaidi.TBA na SUMA JKT wamepewa miradi mingi ya ujenzi na mingi wanashindwa kuikamilisha.
Wapeni sekta binafsi hiyo miradi.