TBA waingia matatani kwa kutokamilisha miradi Kigoma

Serikali imara ni ile yenye viongozi walio tayari kuona makosa yao na ya watendaji wao na kuwajibika
Pongezi kwa mheshimiwa JafoπŸ’₯
Viva Rais John Pombe Magufuli πŸ‘
Lakini ukae ukijua fedha zilitolewa miaka mitano iliyopita, na watawala walikuwa ni hawa hawa uliowapa viva !!!
 
Yaani hayo magofu ndio milioni mia tisa??

Laiza kajenga shule kwa milioni mia nne??

Watupe mahesabu vizuri.
Mimi pia nimeshangaa ile shule ya Laiza ni kubwa na nzuri umegharimu 400M lakin hapa zimeenda 900m na hakuna nyumba ni gofu.
 
Kwahiyo
Serikali imara ni ile yenye viongozi walio tayari kuona makosa yao na ya watendaji wao na kuwajibika
Pongezi kwa mheshimiwa JafoπŸ’₯
Viva Rais John Pombe Magufuli πŸ‘
Jaffo na JPM wamewajibika kwa makosa yao.Kweli kuna wakati Masaburi yanatumika kufikiri
 
awamu nyingine tulichezewa sana, hii ni awamu ya kazi tu. Sasa haya yanatoka wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…