Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
TBC Tanzania Broadcast Corporation ambapo zamani ilijulikana kama TvT katika hali ya kustaabisha na kushangaza ulimwengu inasemekana haipo hewani na habari kutoka vyanzo ambavyo bado havija dhibitishwa ni kwamba Maji yameingia ndani ya studio na tangu asubuhi imekuwa ikifanika jitihada ya kuvuta maji hayo bila mafanikio.
Chanzo cha maji hayo ni kile kile kujenga Studio bila kuwa na mipango mikakati wakijua kabisa pale lilikuwa shamba la mpunga, water table ipo karibu na hakuna drainage, sasa wanavuna walichopanda.
Habari zaidi zitawajia baadae baada ya kudhibitishwa.
Chanzo cha maji hayo ni kile kile kujenga Studio bila kuwa na mipango mikakati wakijua kabisa pale lilikuwa shamba la mpunga, water table ipo karibu na hakuna drainage, sasa wanavuna walichopanda.
Habari zaidi zitawajia baadae baada ya kudhibitishwa.