TBC haipo hewani, Mafuriko ya leo yasababishwa izimwe

TBC haipo hewani, Mafuriko ya leo yasababishwa izimwe

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
15,835
Reaction score
23,776
TBC Tanzania Broadcast Corporation ambapo zamani ilijulikana kama TvT katika hali ya kustaabisha na kushangaza ulimwengu inasemekana haipo hewani na habari kutoka vyanzo ambavyo bado havija dhibitishwa ni kwamba Maji yameingia ndani ya studio na tangu asubuhi imekuwa ikifanika jitihada ya kuvuta maji hayo bila mafanikio.

Chanzo cha maji hayo ni kile kile kujenga Studio bila kuwa na mipango mikakati wakijua kabisa pale lilikuwa shamba la mpunga, water table ipo karibu na hakuna drainage, sasa wanavuna walichopanda.

TBC.jpg

Habari zaidi zitawajia baadae baada ya kudhibitishwa.
 
Hivi wao hawahamii dodoma? Waondoke ili msongamano dar upungue, na hela za fly over ziajiri watoto wa maskini
 
Uchumi wa kati oyeeee!
TBC Tanzania Broadcast Corporation ambapo zamani ilijulikana kama TvT katika hali ya kustaabisha na kushangaza ulimwengu inasemekana haipo hewani na habari kutoka vyanzo ambavyo bado havija dhibitishwa ni kwamba Maji yameingia ndani ya studio na tangu asubuhi imekuwa ikifanika jitihada ya kuvuta maji hayo bila mafanikio.

Chanzo cha maji hayo ni kile kile kujenga Studio bila kuwa na mipango mikakati wakijua kabisa pale lilikuwa shamba la mpunga, water table ipo karibu na hakuna drainage, sasa wanavuna walichopanda.


Habari zaidi zitawajia baadae baada ya kudhibitishwa.
 
TBC Tanzania Broadcast Corporation ambapo zamani ilijulikana kama TvT katika hali ya kustaabisha na kushangaza ulimwengu inasemekana haipo hewani na habari kutoka vyanzo ambavyo bado havija dhibitishwa ni kwamba Maji yameingia ndani ya studio na tangu asubuhi imekuwa ikifanika jitihada ya kuvuta maji hayo bila mafanikio.

Chanzo cha maji hayo ni kile kile kujenga Studio bila kuwa na mipango mikakati wakijua kabisa pale lilikuwa shamba la mpunga, water table ipo karibu na hakuna drainage, sasa wanavuna walichopanda.


Habari zaidi zitawajia baadae baada ya kudhibitishwa.
Waambie wampigie kura Lissu.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Kwa hiyo wanaofuatilia majanga wamekosa uzalendo siyo? Kwa hiyo majanga mbali mbali ya Kitaifa Watanzania ili kuonyesha uzalendo wetu ULIOTUKUKA tupige kimya tu! 😳😳😳
Kama imefikia kipindi watanzania tunafurahia majanga basi ujue uzalendo umefika ukomo.
 
Nadhano kati ya taasisi ambazo hazina faida yoyote kwa umma wa watanzania, mojawapo ni hii tbc.

Ni chombo kinachotumia pesa yetu lakini kinatumika kama chombo cha watawala na CCM.

Sidhani kama kuna mtanzania mzalendo wa kweli anayeweza kusikitika kama tbc itashindwa kurusha matangazo, na huenda ikawa ni faraja kwa walio wengi.

Tunahitaji vyombo vya habari vinavyoendeshwa kwa maadli na weledi, na siyo vyombo vya hovyo kama tbc. Ukisikia chochote kupitia tbc unalazimika kufuatilia habari kutoka vyombo vingine ili kuthobitisha ukweli wa habari iliyotangazwa au kusikika kupitia tbc.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom