TBC haipo hewani, Mafuriko ya leo yasababishwa izimwe

Sasa tushauriane tufanyeje ili wajirekebishe?
Au wamebaki tu kuweka wanwake akina Mkabesah na wengine kuuza sura bila contents?
au kwasababu wana maelekezo ya kuto onyesha habari za lissu?
 
Ila TBC no utopolo...hata wasiporudi hewani ni sawa tu ..Yaani tanzania haitakuwa a kitu chochote ilicho kipoteza 😂 😂 😂
eh, sijaona positive comment kuhusu TBC, kutakuwa na shida pale, ijui ni mkurugenzi ndio tatizo?
 
Kumbe ni kweli imezima, vipi Radio yao?
 
Kumbe ni kweli imezima, vipi Radio yao?
Radio ipo, studio za Radio zipo TAZARA-NYERERE ROAD, studio za TV ndiyo zipo kwenye Shamba la Mpunga mikocheni.
Nahisi aliyetoa wazo la kujenga zile studio pale shamba la mpunga ndiyo huyo huyo aliyeshauri kujenga Kituo cha mwendokasi pale jangwani.
 
eh, sijaona positive comment kuhusu TBC, kutakuwa na shida pale, ijui ni mkurugenzi ndio tatizo?
Channel inaendeshwa kizee sana Content zake zimekaa kizee mnoo ubunifu 0..wakati katika taifa lolote lile generation yenye nguvu ni ya vijana ..ukifanikiwa kuwateka vijana basi umefanikiwa katika project yako ..kubwa zaidi na ambalo ndio baya kabisa TBC ni mali ya wananchi lakini imekuwa ikitumiwa vibaya na chama tawala kwaajili ya kueneza propaganda zao ambazo wakati mwingine zina kandamiza vyama pinzani
 
na habari kutoka vyanzo ambavyo bado havija dhibitishwa ni kwamba Maji yameingia ndani ya studio na tangu asubuhi imekuwa ikifanika jitihada ya kuvuta maji hayo bila mafanikio[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Radio ipo, studio za Radio zipo TAZARA-NYERERE ROAD, studio za TV ndiyo zipo kwenye Shamba la Mpunga mikocheni.
Nahisi aliyetoa wazo la kujenga zile studio pale shamba la mpunga ndiyo huyo huyo aliyeshauri kujenga Kituo cha mwendokasi pale jangwani.
Kwahiyo atakuwa ni meko!??😂
 
Safi sana,hayo maji yaendelee kuwepo na mitambo ipate kutu ili wasirudi hewani hadi novemba au disemba kabisa.Maana wamezidi bias kwenye kurusha matangazo ya kampeni,wao wapo na JIWE tu asbh hadi usiku!!
 
Mbona Kama umefurahi badala ya kusikitika?
 
Kama imefikia kipindi watanzania tunafutahia majanga basi ujue uzalendo umefika ukomo.
Mkuu. Uzalendo unaisha kutokana na serikali inavyo wa treat raia wake. Unakumbuka kipindi Cha awamu ya pili? Rais alikua anatembea na defender amekaa mbele kushoto huku amefushusha vioo anasalimia wananchi.
Msafara wake ilikua wakati mwingine magari mawili tu.
 
Hicho chombo hata kizimike milele wala sina muda nao kabisa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…