Tetesi: TBC hakukaliki, muda wowote Zuhura Yunus anakuja na mkeka!

Vipi kuhusu sudani kusini?
 
Hata Azam,iliyoanzishwa juzi, ni Bora Mara, 100 zaidi ya, tbc
 
Alikuwepo mahali hapo kwa wakati muafaka na ikawa ndondokela.
 
Kila Kona nchini wafanyakazi wengi wanaohusika na serikali au WA serikali wanafunga biashara zao kufanya mengi. Ni fashion serikalini, ulishindwa mnajiunga mnatenda, ukiwahiwa tafuta lako. Ndio maana wanajua kuchekeana dansi za kijadi kwa sana. Nami niliambiwa.. 😃
 
TBC wanadhani kuwa MACHAWA ndio guarantee ya ya matumbo yao!
WANAKINAISHA MATANGAZO YAO!
HAWAKO RATIONAL
WAKUMBUKE NI CHOMBO CHA HABARI CHA TAIFA NA SIYO CHAMA TAWALA!
MIFANO IPO. WAIGE BBC CNN CBS NK NK
 
TBC wanadhani kuwa MACHAWA ndio guarantee ya ya matumbo yao!
WANAKINAISHA MATANGAZO YAO!
HAWAKO RATIONAL
WAKUMBUKE NI CHOMBO CHA HABARI CHA TAIFA NA SIYO CHAMA TAWALA!
MIFANO IPO. WAIGE BBC CNN CBS NK NK
Hawawezi kuiga hizo media za mbele zinazo jitambua . Sababu kwa kufanya wafanyayo wana zawadiwa ukuu wa mikoa na u DC.
 

Tido Muhando ndiye aliivusha TBC kaanan; nafikiri angekuwepo hadi sasa Ingekuwa imechukua takribani 85% ya watazamaji na hivyo kujiletea faida kubwa na kujiendesha....
Tuombe Mungu aipatie Tido Muhando mwingine.....
 
Tido Muhando ndiye aliivusha kaanan; nafikiri angekuweo hadi sasa Ingekuwa imechukua takribani 85% ya watazamaji na hivyo kujiletea faida kubwa na kujiendesha....
Tuombe Mungu aipatie Tido Muhando mwingine.....
Hata 85% ni ndogo, lakini nimegundua viongozi hawajali hasara, they care of their party and stomch ambazo zitaliwa na funza tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…