TBC Television to Benefit CCM28 tunawakomesha tutamrudisha Tido Mhando
ule ni unafki tuLakini waliwai kurusha matangazo ya chadema mkawafukuza kwenye mkutano wenu pale zakiem mbagala mkuu so acha wafanyekazi na wanaotaka kutangaziwa mikutano yao
Unaona sasa tatizo linapoanzia wakionesha ukweli mnasema unafiki na mkataka kuwapigaule ni unafki tu
Wako kama yule aliyekuwa mgombea wa kawe aliyenyooshwa vilivyo na wajumbe.Kila mtu pale TBC anawaza ureuzi tu. Wapumbavu kabisa
Vipi mikutano ya vyama vingine kama DEMOKRASIA MAKINI,CHAUMA,ACT WAZALENDO NK mbona pia hawaoneshwiLakini waliwai kurusha matangazo ya chadema mkawafukuza kwenye mkutano wenu pale zakiem mbagala mkuu so acha wafanyekazi na wanaotaka kutangaziwa mikutano yao
Kwani chama cha upinzani ni CHADEMA tu? Mbona hawavitangazi vyama vingine?Lakini waliwai kurusha matangazo ya chadema mkawafukuza kwenye mkutano wenu pale zakiem mbagala mkuu so acha wafanyekazi na wanaotaka kutangaziwa mikutano yao
Kumbuka kuwa TBC waliomba msamaha kwa makosa waliyofanya kwenye mkutano wa kwanza wa Lissu.Lakini waliwai kurusha matangazo ya chadema mkawafukuza kwenye mkutano wenu pale zakiem mbagala mkuu so acha wafanyekazi na wanaotaka kutangaziwa mikutano yao
Unaijua sababu iliyofanya wafukuzwe?Lakini waliwai kurusha matangazo ya chadema mkawafukuza kwenye mkutano wenu pale zakiem mbagala mkuu so acha wafanyekazi na wanaotaka kutangaziwa mikutano yao