Mkiiba kura mtakiona cha mtema kundi
Kura za kuibiwa mnazo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkiiba kura mtakiona cha mtema kundi
Si mtashuhudiaKura za kuibiwa mnazo?
Tunasubiri kwa hamu sana!Si mtashuhudia
Mkiiba kura mtakiona cha mtema kundi
Kushinda kwa lufindo labdaccm itashinda kwa kishindo kama miaka yote mark my words
Itashinda asubuhi tu!Kushinda kwa lufindo labda
Ulikua unatafuta nn huko mpaka umeona? Mm siangaliagi kabisaNimesikitishwa na kitendo cha TBC1 kutumika kumfanyia kampeni mgombea Urais wa CCM.
Kumekuwa na vipindi kadhaa vya kumpigia kampeni Mgombea Urais wa CCM lakini kitendo cha kuweka vipindi kadhaa wakati huo huo kukiwa na background ya wimbo wa Zuku akiimba wapinzani wanyong'onyee ni kuwakosea Watanzania adabu.
Ni kuwakosea Watanzania adabu kwa sababu pesa ya kuendesha TBC ambacho ni chombo cha umma inatolewa na Watanzania wa vyama vyote ambao hawamuungi mkono huyo Mgombea wa CCM.
Anzeni mbona kila siku ngonjera kwenye keyboard tu na bado mnaendelea kupapaswaSoon tutawafanya kama Wanigeria walivyoifanya television ya aina hii! Dawa yao ni kiberiti tu
Kwa hiyo wanafanya hivyo kwa CUF, ACT, NCCR n.k....maana wametofautiana na Chadema tu?.Lakini waliwai kurusha matangazo ya chadema mkawafukuza kwenye mkutano wenu pale zakiem mbagala mkuu so acha wafanyekazi na wanaotaka kutangaziwa mikutano yao
nileteeeni gwajima in magufuli voiceKushinda kwa lufindo labda
Visenti vya CCM vinafanya Ayoub Rioba kuikana elimu yake na hekima yake. Huwezi amini kinachotokea na taswira ya Rioba.Nimesikitishwa na kitendo cha TBC1 kutumika kumfanyia kampeni mgombea Urais wa CCM.
Kumekuwa na vipindi kadhaa vya kumpigia kampeni Mgombea Urais wa CCM lakini kitendo cha kuweka vipindi kadhaa wakati huo huo kukiwa na background ya wimbo wa Zuku akiimba wapinzani wanyong'onyee ni kuwakosea Watanzania adabu.
Ni kuwakosea Watanzania adabu kwa sababu pesa ya kuendesha TBC ambacho ni chombo cha umma inatolewa na Watanzania wa vyama vyote ambao hawamuungi mkono huyo Mgombea wa CCM.