TBC hawajui tofauti ya taarifa ya habari na makala.

TBC hawajui tofauti ya taarifa ya habari na makala.

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
TBC huwa siwaelewi sehemu ya taarifa ya habari wao wanaweka makala
 
TBC huwa siwaelewi sehemu ya taarifa ya habari wao wanaweka makala
Nisaidie mkuu kati ya Taarifa na habari maana hivi ni vitu viwili tofauti kwa uelewa wangu.

NB; hapo tibisi sasa hivi wanachoweza ni uchawa tu tangu kipindi cha awamu ya tano kulikuwa na kipindi kinasema KISHINDO CHA AWAMU YA5. Nakubaliana nawewe hizi kazi za kupeana kwa kuangaliana usoni weredi unakuwa ni 0
 
Mara ya mwisho kuangalia TBC ni kipindi Tido Mhando yupo .

Alipohama akaja ayub rioba ndipo niliaga mashindano.

Sasa ukiweza kukumbuka kipindi hicho Hadi Leo sijawahi kuangalia TBC.
 
hizo ni Media House style hazina shida kabisa Mkuu. ila unapata wapi ujasiri wa kukaa na kuangalia TBC tena taarifa ya habari?
 
Ayoub ryoba alikuwa kichwa sana Enzi za kina magid mjengwa nk ila toka amehamia tbccm kwisha habari yake.
 
Back
Top Bottom