Nisaidie mkuu kati ya Taarifa na habari maana hivi ni vitu viwili tofauti kwa uelewa wangu.TBC huwa siwaelewi sehemu ya taarifa ya habari wao wanaweka makala
Tunakushangaa ww unayetazama tibisii, kumbe hiyo TV channel ipoge?TBC huwa siwaelewi sehemu ya taarifa ya habari wao wanaweka makala
Taarifa za CCM ndio wanaita taarifa za habari.TBC huwa siwaelewi sehemu ya taarifa ya habari wao wanaweka makala
Waandishi wa ccm haoTBC huwa siwaelewi sehemu ya taarifa ya habari wao wanaweka makala