gimmy's
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 3,312
- 3,345
Tunajua hiki kipindi cha Bongo Kama Ulaya kipo kwa ajili ya kukusanya kura tar 28 lakini kwa sasa hiki kipindi kinaboa.
Kila siku madaraja ya juu na treni za mwendo kasi, sidhani kama mmejipanga vizuri.
Habari inanoga kama huwezi kutabiri kabla ya kuiona/kuisikia lakini hiki kipindi kikifika tu tayari unajua kama si madaraja ya juu ni mwendokasi.
Yani mnatumia nguvu kubwa sana kumsaidia kusaka kura mpaka sasa mnafanya mambo pasipo kufikiri sawasawa.
Jitafakarini upya, hii Bongo Kama Ulaya kama mmeishiwa vyakuonesha futeni hiki kipindi.
Kila siku madaraja ya juu na treni za mwendo kasi, sidhani kama mmejipanga vizuri.
Habari inanoga kama huwezi kutabiri kabla ya kuiona/kuisikia lakini hiki kipindi kikifika tu tayari unajua kama si madaraja ya juu ni mwendokasi.
Yani mnatumia nguvu kubwa sana kumsaidia kusaka kura mpaka sasa mnafanya mambo pasipo kufikiri sawasawa.
Jitafakarini upya, hii Bongo Kama Ulaya kama mmeishiwa vyakuonesha futeni hiki kipindi.