Mimi Niko huku kijijini, naambiwa TBC ndiyo mwenye haki ya matangazo ya radio, lakini mpira inaanza wao wanasema mambo mengine kabisaaa. Baada ya dk tano mpira kuanza wao ndio wanaanza kutangaza mpira na katikati ya mpira unaendelea wao wanatangaza mambo mengine kabisaaa. Wakati mwingine bao linafungwa wakiwa wanatangaza mambo mengine kabisaaa.Tatizo linaanzia kwako wewe mtazamaji kuchukua uamuzi wa kuangalia TBC
Hawaonyeshi wanatangaza kupitia TBC redio.Kwani TBC wanaonesha Ligi Kuu?
Sio kweli, Kuna wakati goli linafungwa wakati wao wakiwa kwenye matangazo yao mengine. Kuna wakati timu inafanya sub wakati wao wakiwa kwenye matangazo yao mengine. Kuna wakati wanaja lineups baada ya dk 5 mpira kuanzaSikia nikwambie, hawa azam tv hakunaga matangazo wakati mechi inaendelea? yapo lakn hutolewa kwa njia ya maandishi,je unataka TBC nao watoe matangazo kwa njia ya maandsh ili hali ni kwa njia ya redio? TBC hutoa matangazo wakati mechi ikiendelea wakati either, mchezaji ameumia,mpira umetoka au hakuna mashambulizi yeyote kwa timu zote mbili.
ni TBC RadioKwani TBC wanaonesha Ligi Kuu?
TBC inaendeshwa na Kodi zetu, hakuna mfanyakazi wa TBC analipwa kwa fedha za matangazo hayo ya viwembe butu. Wenye radio yao wanataka kupata huduma ya kusikiliza kandanda kupia Kodi zao. Hizo biashara waachwe wafanye Radio One, Clouds, abood FM, RFA, UFM, etc badala ya TBC kuhodhi ukiritimba wa matangazo.Mkuu, TBC ana bills za kulipa,
Unataka hizo bills alipe vipi? Matangazo ya dakika 1-5 kati ya dakika 90+ za match sio mbaya,
Au unadhani TBC ata recoup vipi hizo pesa za udhamin?
Unataka matangazo before match wakati watu wengi hawasikilizi radio muda huo?
Ukiona hutaki matangazo feel free kwenda uwanjani ukaangalie mwenyewe
Tulitarajia Radio itufanyie uchambuzi wa kuhusu mechi, timu, wachezaji, makocha na matukio yooote muhimu ya uwanjani kwakuwa sisi hatujui, hatuoni na hatuko uwanjani. Lakini kwa TBC loooo!! siyo hivyo.Wewe ndiyo haujui taratibu. Kila kipindi kina taratibu zake. Hauwezi kukatisha matangazo ya mpira kwa matangazo ya biashara kisa mpira umetoka maana hakuna tangazo la sekunde 5. Yaani eti kisa timu hazishambuliani zinacheza mpira eneo la kati, wewe paaah unaweka tangazo la colgate, aisee. Na si ajabu uko humohumo TBC.
Vipindi vinawekwa kwenye ratiba. Ukisema saa 10:30 matangazo yanaanza, hata uchambuzi na matangazo ni sehemu ya hiyo program hata kama mechi yenyewe inaanza saa 11:00.
Usilalamike kwani umechaguliwa au kulazimishwa kuangalia hiyo channel?Msikilizaji anataka kusikilizwa mpira kuanzia mwanzo hadi mwisho na Kila tukio uwanjani. Kuna wakati mpira umenza lakini TBC hawatangazi mpira bali wanatangaza vitu vyao vingine kabisaaaaaa (wadhamini wao). Wanakuja kutangaza hata orodha ya wachezaji wakati mpira una dk 5.
Kwanini matangazo ya wadhamini wasiyafanye kabla ya mechi, wakati wa mapunziko na baada ya mpira?
Exactly!! Ladha ya mpira kupitia radio siku hizi hakuna. Tofauti na zama zile za akina Chilambo, Hillary, Nkamia, mbonde, mikidadi, TIDO. Siku hizi ni vuluvulu TU. Goli linafungwa watu wanatangaza rungu.Ni kweli ni miaka mingi sijakaa kusikiliza mpira kwenye redio na nashangaa kuna watu bado wanafanya hivyo. Nilivyomuelewa mleta mada anasema matangazo ya mpira yanakatwa kwa ajili ya matangazo ya biashara wakati mpira unaendelea.
Sisi wanyonge tusio na Azam tv Wala simu janja tunaitegemea sana TBC Radio kwenye starehe ya mpira ndiyo maana tunayasema haya yanayotukeraKule YouTube kuna redio nyingi hutangaza Mpira, Kumbuka TBC hawalazimishi mtu kuwasikiliza
Nakiliza sana mpira kupitia radio TBC hasa radio ya kwenye gari pale ambapo muda wa kuingalia mechi kwenye luninga sina. Matangazo yanakatwa sana. Hebu fikiria mtu anakutajia list ya wachezaji wakati mpira unaendelea kuchezwa na baada ya dk 5 za mchezo kupita.Mkuu mala ya mwisho kusikiliza mpira kwa njia ya redio ni mwaka gani, maana naweza kuwa nabishana na mtu hata redio hasikilizi, matangazo ya mpira hukatwa mwanzoni mwa kipindi cha kwanza na mwanzoni mwa kipindi cha pili pekee, kinachofuata,mtangazaji huangalia hali ya mchezo, mpira umetoka,mchezo umesimama au hakuna mashambulizi ndipo husoma tangazo (kumbuka hapo hajakata matangazo ya mpira) na ikitokea timu inashambulia alafu anasoma tangazo basi huacha mala moja kusoma ili kusimulia kinachojiri uwanjani. umeelewa sasa?
Mara ya mwisho kusikiliza mpira katika radio ni mwaka jana niligonganga na hayo matangazo ya TBC mjini Youtube. Nikasikia mtangazaji anasema "vijana wanasema amefinyia kwa ndani". Hapo hapo nikaamua kusave bando langu.matangazo ya mpira hukatwa mwanzoni mwa kipindi cha kwanza na mwanzoni mwa kipindi cha pili pekee, kinachofuata,mtangazaji huangalia hali ya mchezo, mpira umetoka,mchezo umesimama au hakuna mashambulizi ndipo husoma tangazo (kumbuka hapo hajakata matangazo ya mpira) na ikitokea timu inashambulia alafu anasoma tangazo basi huacha mala moja kusoma ili kusimulia kinachojiri uwanjani. umeelewa sasa?
Hao watoto wa juzi hawawezi kukuelewa, tulioanza fatilia mpira kabla ya tv hatushangazwi na anachofanya TBC leoMkuu, TBC ana bills za kulipa,
Unataka hizo bills alipe vipi? Matangazo ya dakika 1-5 kati ya dakika 90+ za match sio mbaya,
Au unadhani TBC ata recoup vipi hizo pesa za udhamin?
Unataka matangazo before match wakati watu wengi hawasikilizi radio muda huo?
Ukiona hutaki matangazo feel free kwenda uwanjani ukaangalie mwenyewe
Ni redio sio tvTatizo linaanzia kwako wewe mtazamaji kuchukua uamuzi wa kuangalia TBC
Kuna magoli yanafungwa dk ya kwanza hadi Tano za kwanza ya kipindi na dk za majeruhi kabisa lakini mtangazaji Yuko bize na maokoto na upuuzi mwingine. Msikilizaji anachanganyikiwa akisubiri tangazo liishe.Mara ya mwisho kusikiliza mpira katika radio ni mwaka jana niligonganga na hayo matangazo ya TBC mjini Youtube. Nikasikia mtangazaji anasema "vijana wanasema amefinyia kwa ndani". Hapo hapo nikaamua kusave bando langu.
Unaposema matangazo hukatwa mwanzoni mwa kipindi cha kwanza na mwishoni mwa kipindi cha pili, hapo mpira unakuwa umeanza/umeisha?
Pia kwa maelezo ya mleta mada amesisitiza kuwa matukio mengi wanayamiss ikiwemo ya magoli kwa kuwa radio inakuwa kwenye matangazo. Sasa nani mkweli kati yenu nyie wawili?
Kama ni hivyo, huo ni upuuzi wa hali ya juu.Kuna magoli yanafungwa dk ya kwanza hadi Tano za kwanza ya kipindi na dk za majeruhi kabisa lakini mtangazaji Yuko bize na maokoto na upuuzi mwingine. Msikilizaji anachanganyikiwa akisubiri tangazo liishe.