Mara nyingi wapenda mpira wa miguu huwa wanazichukia bidhaa zinazotangazwa kwa aina hii. Kuna vyombo vya kutoa huduma na Kuna vyombo vya kibiashara, TBC ni watoa huduma TU ya kuhabarisha, kufurahisha nabkuelimisha wananchi bila kujali gharama. Sio sawa kuhodhi matangazo ya mpira.Kama ni hivyo, huo ni upuuzi wa hali ya juu.
Na mimi nilitaka kusema. Wanawaharibia hao wanaowatangaza, wao wanadhani wanawasaidia kwa kuwalazimisha wasikilizaje wasikilize matangazo yao kwa nguvu.Mara nyingi wapenda mpira wa miguu huwa wanazichukia bidhaa zinazotangazwa kwa aina hii.
sikumbuki mara ya mwisho ni lini niliwaangalia hao tbccmMsikilizaji anataka kusikilizwa mpira kuanzia mwanzo hadi mwisho na Kila tukio uwanjani. Kuna wakati mpira umenza lakini TBC hawatangazi mpira bali wanatangaza vitu vyao vingine kabisaaaaaa (wadhamini wao). Wanakuja kutangaza hata orodha ya wachezaji wakati mpira una dk 5.
Kwanini matangazo ya wadhamini wasiyafanye kabla ya mechi, wakati wa mapunziko na baada ya mpira?
Goli limefungwa wakati tangazo la biashara linaendelea halafu mtangazaji anajishebedua kwa kusema Wacha nihadithie namna goli lilivyotokea wakati mdhamini wetu Yuko hewani. Maloon!!Sikia nikwambie, hawa azam tv hakunaga matangazo wakati mechi inaendelea? yapo lakn hutolewa kwa njia ya maandishi,je unataka TBC nao watoe matangazo kwa njia ya maandsh ili hali ni kwa njia ya redio? TBC hutoa matangazo wakati mechi ikiendelea wakati either, mchezaji ameumia,mpira umetoka au hakuna mashambulizi yeyote kwa timu zote mbili.
Kwani tangazo moja linachukua muda gani kutangaza, na je, ni lazima shida ya mchezaji aliyeumia ichukue muda sawa na urefu wa tangazo, unakatisha tangazo baada ya mchezaji kuendelea kucheza, na je msikilizaji hataki kujua mchezaji aliyeumia ni nani na ameumiaje na anatibiwaje?Sikia nikwambie, hawa azam tv hakunaga matangazo wakati mechi inaendelea? yapo lakn hutolewa kwa njia ya maandishi,je unataka TBC nao watoe matangazo kwa njia ya maandsh ili hali ni kwa njia ya redio? TBC hutoa matangazo wakati mechi ikiendelea wakati either, mchezaji ameumia,mpira umetoka au hakuna mashambulizi yeyote kwa timu zote mbili.
TBC kama wameamua kuhodhi ukiritimba wa matangazo ya mpira basi watenge muda kama nusu saa au dk 15 kabla ya mpira kuanza kuuzungumzia mpira na matangazo. Watu wengi watavutika kusikia uchambuzi uliotukuka unaoambatana na matangazo ya wadhamini. Half-time hivyohivyo.Sikia nikwambie, hawa azam tv hakunaga matangazo wakati mechi inaendelea? yapo lakn hutolewa kwa njia ya maandishi,je unataka TBC nao watoe matangazo kwa njia ya maandsh ili hali ni kwa njia ya redio? TBC hutoa matangazo wakati mechi ikiendelea wakati either, mchezaji ameumia,mpira umetoka au hakuna mashambulizi yeyote kwa timu zote mbili.